Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4529 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU AUAWA KWA KUDAIWA MWIZI

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) cha jijini hapa, Helma Michael (22)  ameuawa kwa kupigwa mawe na wanafunzi wenzake, wakimhisi kuwa ni mwizi wa kompyuta ndogo za mkononi na deki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIYE KINARA WA WIZI KWENYE MABENKI

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limefanikiwa kubaini mtuhumiwa kinara wa wizi wa mabenki, Ronald Mollel (37), ambaye ni mume wa Meneja wa Benki ya Barclays tawi la Kinondoni, Alune...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LAJIBAMIZA KWENYE LORI NA KUUA WATU 10 MWANZA

Watu 10 wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa na kokoto  lililoegeshwa kando ya barabara kasha kupinduka katika eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBE 1X3 NI SAWA NA 3X1

Mwanafunzi mdadisi kambana mwalimu wake wa Hisabati kwenye kona na mambo yakawa hivi. MWANAFUNZI: Mwalimu, umesema 3X1 ni sawa na 1X3? MWALIMU: Haswaa, umenielewa vizuri kabisa. MWANAFUNZI: Kwahiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa huduma ya M-PAWA ya kampuni ya Vodacom wakifuatilia kwa makini hotuba ya Rais Jakaya Kikwete katika uzinduzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

Waziri wa Fedha, Omar Yussuf Mzee akionesha begi lenye Bajeti ya Serikali ya Zanzibar kwa mwaka 2014/2015 jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

Sehemu iliyojengwa na wezi wa maji kama Kituo cha Kusambaza Maji (Pumping Station) kwa wateja waliofanya maungio kinyume cha utaratibu eneo la Kimara Michungwani.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO), Raymond Benjamin (kulia) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa ndege...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOGORO ZIWA NYASA WASUBIRI UCHAGUZI MKUU WA MALAWI

Jopo la marais wa zamani wanaoshughulikia mgogoro wa Ziwa Nyasa baina ya Tanzania na Malawi, linasaubiri kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa Malawi unaotarajia kufanyika Jumanne ijayo, ili kuingia katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ABEBESHA WAKUU WA MIKOA MZIGO

Rais Jakaya Kikwete, amewaagiza wakuu wa mikoa kupunguza vifo vya watoto na akina mama vinavyotokana na uzazi katika mikoa yao, huku akiwahadharisha kwamba atafuatilia kwa karibu utendaji wao kuona...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITENDAWILI CHA USAFIRI TRENI YA TAZARA BADO KUTEGULIWA

Abiria wa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), ambayo inatakiwa kuondoka leo kwenda Zambia, wako njia panda kutokana na wafanyakazi wa shirika hilo kuendelea na mgomo wakidai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEREMA AOMBA RADHI KWA KAULI YAKE YA KIBAGUZI

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema, jana aliomba radhi Bunge baada ya kutoa kauli, iliyoonesha ubaguzi kwa wabunge kutoka Zanzibar.Kabla ya kuomba radhi, kauli hiyo ilisababisha wabunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YASEMA UDA NI 'MALI YA UMMA'

Hadi sasa mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali kupitia Msajili wa Hazina.Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima alisema hayo jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA MAKINDA AMPASHA NYALANDU WIZARA ITAMSHINDA

Spika wa Bunge, Anne Makinda ameshauri Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu  kuwa kitu kimoja na watendaji wake vinginevyo, wizara itamshinda.  Ushauri huo aliutoa baada ya Bunge kupitisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

Warembo wanaoshiriki Shindano la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa habari jana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

Wafanyakazi wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakimsikiliza kwa makini mkufunzi, Peter Ssali (hayupo pichani) katika mafunzi ya siku tatu kuhusu utoaji huduma bora kwa Bodi hiyo ili kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mhandisi Stellah Manyanya akizungumza na watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo ya Uyole iliyopo mkonia Mbeya walipomtembelea ofisini kwake jana kutambulisha mpango wa SARD...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Baadhi ya washiriki wa tamasha la "Mtu Kwao" wakipita mbele ya jukwaa kuu wakati wa uzinduzi wa tamasha hilo kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ETO’O SLAMS ‘FOOL’ MOURINHO OVER AGE JIBE

Samuel Eto'o has described Chelsea manager Jose Mourinho as a "fool" for questioning his age and vowed to play on at the highest level for some time to come. Mourinho, who was also Eto'o's manager at...

View Article

BAJETI YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA

HOTUBA YA WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LAKUJENGA TAIFAMHE. Dkt. HUSSEIN ALI MWINYI (MB) AKIWASILISHA BUNGENIMAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZIYA FEDHA KWA MWAKA  2014/15UTANGULIZI1.    Mheshimiwa Spika,...

View Article
Browsing all 4529 articles
Browse latest View live