$ 0 0 Wafanyakazi wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar wakimsikiliza kwa makini mkufunzi, Peter Ssali (hayupo pichani) katika mafunzi ya siku tatu kuhusu utoaji huduma bora kwa Bodi hiyo ili kuwa sambamba na bodi za vyakula Afrika Mashariki jana.