Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATANGAZA NEEMA KWA MAJAJI NA MAHAKIMU

Serikali inatarajiwa kuajiri mahakimu wapya zaidi ya 300 katika mwaka ujao wa fedha 2014/ 2015 na mwaka unaofuata wa 2015 /2016, itaajiri mahakimu wengine 300. Rais Jakaya Kikwete alisema hayo jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI WANYAMAPORI WAUA NG'OMBE 150 BIHARAMULO

Ng’ombe 150 wameuawa na askari wa Wanyama Pori katika Hifadhi ya Biharamulo, kutokana na mgogoro uliokuwepo wa kuwaondoa baadhi ya wafugaji, waliovamia eneo la hifadhi.Waziri wa Ardhi, Nyumba na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DALADALA 1,800 KUONDOLEWA NJIA KUU

Daladala 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE FUPI LA BAJETI LEO, KILA WIZARA KUJADILIWA SIKU MOJA TU

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo linaanza kikao chake cha Bajeti, ambapo muda wa kuchangia na kuwasilisha bajeti za wizara mbalimbali, umepunguzwa.Katika mkutano wake na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIGERIAN FIRST LADY ALLEGEDLY ACCUSES PROTESTERS OF MAKING UP KIDNAPPINGS

Nigerian First Lady Patience Jonathan reportedly demanded the arrest of the woman who has been leading protests denouncing the government's response to terrorist kidnapping of more than 200...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Kampuni ya Airtel Tanzania imezindua duka lake Mlimani City mwishoni mwa wiki baada ya lifanyia matengenezo makubwa na kulipatia muonekano wa kisasa zaidi.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Geoffrey Mgimwa akiingia bungeni kwenda kuapa huku akisindikizwa na wapambe wake, mjini Dodoma jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wapambwe wake kuingia bungeni kwenda kuapa mjini Dodoma jana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 12

Mbunge wa Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chadema, Joshua Nassari akijumuika na wadu wengine katika uzinduzi wa duka la Fifi Premium Bakery mjini Arusha mwishoni mwa wiki.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEBUTANT WILSON’S DOUBLE FIRES UNITED TO VICTORY OVER HULL CITY

Manchester United's 18-year-old debutant James Wilson scored twice on his debut as United beat Hull City1-0 at Old Trafford to bounce back from their shock home defeat against Sunderland at the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKONGO WAFURAHIA UFUNGUZI WA OFISI YA TPA LUBUMBASHI

Wafanyabiashara wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), wameelezea na matumaini yao kwa hatua ya Tanzania kufungua ofisi ndogo ya mawasiliano ya Mamlaka ya Bandari (TPA) mjini Lubumbashi, Katanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFARIKI KWA CHAKULA KINACHODHANIWA KUWA NA SUMU

Mkazi wa Kitunda aliyetambuliwa kwa jina la Shabani Linus (35) amekufa baada ya kula chakula kinachodhaniwa kuwa na sumu.Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala Marietha Minangi, tukio hilo ni la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACT-TANZANIA KUMSHAWISHI ZITTO KUJIUNGA NAO

Mwanachama wa chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), Dk Kitila Mkumbo, amesema atahakikisha anazungumza na viongozi wa chama hicho, ili wamshawishi mbunge wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KORONGO KUTOWEKA ZIWA MANYARA KWA KUNYWA MAJI YA SUMU

Viumbe hai vinavyotumia maji katika ziwa Manyara lililopo ndani ya mbuga ya Hifadhi ya Taifa ya Manyara wakiwemo ndege aina ya korongo huenda wakatoweka kwa kufa kufuatia kunywa maji yanayodaiwa kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HESLB WAFUNGUA MAOMBI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WAPYA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imefungua maombi ya mikopo kwa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na Taasisi za Elimu ya Juu zinazotambulika, kwa masomo ya shahada mbalimbali kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAKILI WAOMBA FUIME KUFUTIWA KESI YA MAUAJI

Mawakili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (61), wameiomba  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuta kesi ya mauaji ya watu 27  inayomkabili Fuime na wenzake 11.Wakiwasilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE DAR KUSITISHA OPERESHENI SAFISHA JIJI

Umoja wa wabunge  jijini Dar es Salaam,  umesema utasitisha operesheni ya safisha Jiji ambayo inaendelea, na  kuendeshwa kibabe ambapo ni kinyume na makubaliano yao na Mkuu wa Mkoa.Akitoa kauli hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU WA ALAT WAAHIRISHWA

Mkutano mkuu wa 30 wa kitaifa wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), uliokuwa uanze leo jijini Tanga, umeahirishwa kutokana na kuingiliwa na ratiba za Bunge la Bajeti lililoanza shughuli zake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITABU CHA KERO ZA MUUNGANO CHAANDALIWA

Wakati Muungano ukiwa hoja kuu katika mchakato wa Katiba mpya uliofikia katika ngazi ya mjadala wa Bunge Maalumu, Serikali imeandaa kitabu maalumu kinachoelezea historia, utekelezaji wa mambo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAGOMA KUWABEMBELEZA WAJUMBE WA UKAWA

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushawishi viongozi wa Serikali au viongozi wa kitaifa,  wawalazimishe au wawabembeleze wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live