Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMENEJA BARCLAYS KORTINI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MILIONI 479/-

Watu saba wakiwemo mameneja wawili wa Benki ya Barclays, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI!! MAFUTA YA KULA YANAYOPIGWA JUA NI SUMU

Wananchi wametakiwa kuacha kununua mafuta ya kula, yanayouzwa yakiwa yamewekwa juani, kutokana na kuwa na athari kubwa kiafya, ikiwemo kusababisha ugonjwa wa saratani.Mkaguzi wa Chakula kutoka Mamlaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAYWEATHER, ELLERBE COMPLAIN ABOUT MAIDANA'S GLOVES, THREATEN TO CANCEL FIGHT

LAS VEGAS– A bizarre controversy erupted late Friday afternoon following the weigh-in for the Floyd Mayweather-Marcos Maidana fight at the MGM Grand Garden that a Mayweather team executive said put the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUNDERLAND STUN MAN UNITED AWAY TO CONTINUE RACE FOR SURVIVAL

Manchester United captain Nemanja Vidic (C) and his players react after conceding a goal to Sunderland during their English Premier League soccer match at Old Trafford in Manchester, May 3,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCELONA TITLE HOPES IN TATTERS AS GETAFE EARN LAST-GASP DRAW

Lionel Messi opened the scoring in the 23rd minute, rounding off a neat passing move to convert Dani Alves’ pull-back. The Argentine, unmarked on the penalty spot, timed his run perfectly to meet the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULHAM RELEGATED AFTER LACKLUSTRE DEFEAT TO STOKE

Scott Parker, Steve Sidwell and Darren Bent of Fulham react as their side concedes a second goalFulham have been relegated with a whimper after being battered 4-1 by Stoke City at the Britannia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI

  

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Diwani wa Viti Maalum wa Wiliya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani, Valeriana Mkoka akizungumza na wana kijiji Cha Masanganya wakati wa Mkutano wao uliokuwa ukijadili kufukunzwa kwa Mwenyekiti wa Kijiji hicho,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Magole, iliyopo  wilaya ya  Kilosa, Mkoani Morogoro ,juzi wakiwa wameketi kwenye  dawati yaliyotolewa msaada na Benki ya Posta Tanzania (TPB), Tawi la Morogoro,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Eneo la Soko la Buguruni Dar es Salaam likiwa limezungukwa na Lundo kubwa la takataka huku wafanyabiashara wakiwa wanaenderea Shughuli zao jambo ambalo ni hatari kwa Afya zao na kwa wateja wanao nunua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi hundi ya Shilingi Milioni 150/- kwa wawakilishi wa kituo cha kulea watoto yatima cha Moyo wa Huruma kilichopo mkoa wa Geita, Jacob Musa (watatu kushoto) na Julitha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS KUPEPETANA NA MALAWI LEO

Timu ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo itakuwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya Malawi, The Flames.Huo utakuwa mchezo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM, CALVARY ZAUNGANISHA NGUVU YA MAWASILIANO

Kampuni za Vodacom Group Limited na Cavalry Holdings Limited zimeungana baada ya Tume ya Ushindani (FCC) kuridhia maombi ya muungano wa kampuni hizo.Muungano wa Vodacom na Cavalry Holdings Limited...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATAKA SEKTA BINAFSI KUKABILI UKIMWI

Rais Jakaya Kikwete ameitaka sekta binafsi kujihusisha zaidi katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi, kwa sababu ugonjwa huo unaathiri uchumi, biashara na kuongeza mzigo wa gharama za uzalishaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAMILIA YA MAREHEMU YAHAMAKI MTUHUMIWA KUTOSHITAKIWA

Familia ya marehemu Chacha Silas (59), mkazi wa kitongoji cha Bumangi, kijiji cha Wegero, wilaya ya Butiama, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha jeshi la polisi wilayani humo, kutomfikisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKEMEA WANAOPOTOSHA KATIBA MPYA

Siku moja baada ya viongozi wa kile kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuondoka Pemba, wakidai kuelezea sababu za wao kususa Bunge Maalumu la Katiba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

    

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANA HARAMU ZA UVUVI ZA MILIONI 68.6/- ZATEKETEZWA

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel  Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA LIPUMBA ANG'ANG'ANIA HOJA YA UKAWA

Pamoja na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEREVA WA DALADALA ADAIWA KUUA MPIGADEBE AKIJIHAMI

Jeshi la Polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya linamsaka dereva wa basi dogo la abiria `daladala’ linalofanya kazi kati ya mji mdogo wa Sirari, Tarime na Mugumu wilayani Serengeti akihutumiwa...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live