Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4623

Article 16

$
0
0
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Magole, iliyopo  wilaya ya  Kilosa, Mkoani Morogoro ,juzi wakiwa wameketi kwenye  dawati yaliyotolewa msaada na Benki ya Posta Tanzania (TPB), Tawi la Morogoro, Majengo ya shule hiyo yameharibiwa na mafuriko ya mvua  , ambapo wanafunzi kwa sasa wanasomea katika vyumba vya majengo ya shule ya Sekondari Magole.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4623

Trending Articles