Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 19

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakijadiliana jambo kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa siku moja wa  wakuu wa nchi za  Jumuiya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati wa kupitia mpango wa Bajeti ya 2014/2015 jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMII YATAKIWA KUPUNGUZA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA

Jamii imetakiwa kupambana na kupunguza matumizi ya  dawa za kulevya, ambazo zimekuwa zikiathiri nguvu kazi kwa vijana.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATUMA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI SINGIDA

Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Singida, Parseko Kone kutokana na vifo vya watu 19, wakiwemo polisi wanne na viongozi watatu wa Kijiji.Watu hao walikufa katika ajali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AAGIZA MADENI YA WALIMU YALIPWE KABLA YA JUNI 30

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameiagiza Wizara ya Fedha kuhakikisha  madeni ya walimu yamelipwa hadi kufikia Juni 30 mwaka huu, ili Serikali isiingie na madeni katika Bajeti ijayo.Mbali na madeni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI

   

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AKUTWA AMEKUFA UFUKWENI MWA BAHARI

Mwanaume ambaye bado hajafahamika amekutwa amekufa  pembeni mwa ufukwe wa Bahari ya Hindi huku mwili wake ukiwa hauna jeraha lolote.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema maiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZINDAKAYA AKERWA KIKWETE KUFITINISHWA NA KAGAME

Mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amekemea baadhi ya vyombo vya habari nchini, kuacha kuandika habari za uchochezi kwamba kutohudhuria kwa Rais Paul Kagame wa Rwanda kwenye sherehe za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMUIYA AFRIKA MASHARIKI KUKABILI UGAIDI KWA NGUVU ZOTE

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais  Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema nchi wanachama katika jumuiya hiyo, zitatumia  rasilimali zao kukabiliana  na  ugaidi na uhalifu unaozikabili....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YAZINDUA HUDUMA YA JIHUDUMIE

Benki ya NMB imezindua kampeni mpya ya Jihudumie, yenye lengo la kuwezesha upatikanaji wa haraka wa huduma mbalimbali za benki hiyo.Akizindua kampeni hiyo Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJAWAZITO 100,000 WANUFAIKA NA MRADI WA NHIF

Mradi wa huduma za afya kwa akinamama wajawazito wasio na uwezo na watoto, unaotekelezwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Benki ya Maendeleo ya Watu wa Ujerumani (KfW), umevuka lengo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATETEA TUZO YAKE KWA JAJI WARIOBA

Nishani ya  Kuuenzi Muungano aliyopewa Jaji Joseph Warioba, haikumaanisha kumkejeli,  bali amepewa kwa heshima kama ilivyo kwa viongozi wengine waliopewa nishani hiyo.Mkurugenzi wa Idara ya Habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA DAR ASISITIZA MSHIKAMANO MEI MOSI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik amewaomba wananchi  kuonesha upendo na mshikamano kwa wageni kutoka nchi nyingine katika sherehe za  Mei Mosi.Alisema hayo wakati akizungumza na waandishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KORTI YAOMBWA MKURUGENZI MSD AKASOMEWE MASHITAKA NYUMBANI

Upande wa mashitaka katika kesi ya kuingiza nchini vipimo bandia vya kupima virusi vya Ukimwi (HIV),  umeiomba Mahakama kwenda kumsomea mashitaka nyumbani Mkurugenzi wa Operesheni Kanda ya Kaskazini wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA SHEHE PONDA YAKWAMA TENA

Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro kwa mara nyingine jana, imeshindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa, kutokana na jadala  la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIGOGO WALIOTIMULIWA MALIASILI WAREJESHWA

Vigogo wa Wizara ya Maliasili na Utalii, waliotimuliwa kazi hivi karibuni na Waziri Lazaro Nyalandu, wamerejeshwa kazini.Taarifa za ndani ya Wizara zilizofikia gazeti hili jana, zilieleza kuwa vigogo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI YA SERIKALI 2014/2015 SHILINGI TRILIONI 19.7

Serikali imepanga kutumia Sh trilioni 19. 7 katika mwaka wa fedha 2014/2015, kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo, tofauti na Sh trilioni 18.2 ya mwaka huu wa fedha unaoishia Juni 30.Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPYA YAIBUKA AJALI YA BASI LA SUMRY ILIYOUA WATU 19

Mapya yameibuka katika ajali iliyoua watu 19 waliokufa papo hapo wakiwemo askari Polisi wanne katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATLETICO SMASH CHELSEA TO MAKE HISTORIC CHAMPIONS LEAGUE FINAL

By Callum Hamilton - EurosportAtletico Madrid booked their place in the Champions League final to face their cross-town rivals with a stunning result at Stamford Bridge.José Mourinho's men set up to...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live