Article 16
Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi wa pili kutoka kulia pamoja na Babu wa Kijiji cha Maisha Plus akiwasalimia akina mama Shujaa wa Chakula ambao wameingia Rasmi...
View ArticleArticle 15
Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Dk Julie Makani akihojiwa na waandishi wa habari katika hafla ya kuhamsidha jamii kuhusu ufahamu wa ugonjwa wa sikoseli 'seli mundu' iliyofanyika jijini...
View ArticleTERRY FIT TO FACE ATLETICO TODAY, CECH RULED OUT
Chelsea manager Jose Mourinho has confirmed Petr Cech is not in contention to play today's Champions League semi-final second leg with Atletico Madrid, but has confirmed that captain John Terry will...
View ArticleRONALDO BREAKS RECORD AS BRILLIANT REAL SCORE FOUR TO REACH FINAL
Real Madrid booked their place in the Champions League final with a hugely impressive 4-0 victory against Bayern Munich.Three first-half goals shocked the home side, who were constantly at risk from...
View ArticleLAKE OIL YATOA MISAADA KWA HOSPITALI TATU
Kampuni ya Lake Oil imetoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya milioni 11.3 katika hospitali tatu za halmashauri za manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Msaada huo kwa hospitali za Mwananyamala...
View ArticleRAIS KIKWETE AMTUMIA SALAMU MFALME WA UHOLANZI
Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za pongezi Mfalme wa Uholanzi, Willem Alexander kwa kutimiza umri wa miaka 47 jana. Taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Mataifa,...
View ArticleMKUU WA WILAYA ILALA ATAKA WATENDAJI KUWA WAAMINIFU
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi amewataka watendaji wa kata, mitaa na wenyeviti , kutanguliza mbele suala la uaminifu katika ukusanyaji kodi za majengo ili kuiwezesha wilaya hiyo kufikia...
View ArticleMFUKO WA SEKTA BINAFSI WAZINDULIWA
Rais Jakaya Kikwete amezindua mfuko wa sekta binafsi wa kuwezesha wawekezaji nchini katika kupata mtaji, utakaokuza biashara na kukuza uchumi nchini.Mfuko huo unajulikana kama Mkoba, unalenga kutoa...
View ArticleMRADI WAPONGEZWA KWA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI
Serikali imepongeza juhudi zilizofanywa na Mradi wa Champion katika kupunguza maambukizi ya Ukimwi.Hayo yalisemwa jana na Mganga Mkuu wa Serikali, Donan Mmbando katika mkutano wa kufunga mradi huo...
View ArticleLHRC YATAKA CHOMBO KUDHIBITI MASHARTI YA KUKOPA
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeiomba Serikali iunde mamlaka ya kudhibiti taasisi za mikopo, kutoa riba nafuu na masharti rahisi, wananchi wa sekta zisizo rasmi waweze kunufaika....
View ArticleKAMPUNI TISA ZA MAFUTA ZAFUTIWA LESENI
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imefuta leseni za kufanya biashara ya mafuta kwa kampuni tisa, zinazojihusisha na biashara hiyo hapa nchini.Uamzi huo...
View ArticleWAFANYAKAZI STRABAG WAENDELEA NA MGOMO WAO
Wafanyakazi wa Kampuni ya ujenzi ya Strabag, wameingia siku ya pili ya mgomo wao huku wakishinikiza kulipwa marupurupu mbalimbali, wanayoyadai kwa zaidi ya miezi saba hadi sasa.Awali, wakizungumza nje...
View ArticleWAKILI ADAI KESI YA MWALE ILIFUNGULIWA KIMAKOSA
Upande wa utetezi kwenye kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu ya kutakatisha fedha haramu, umedai mashitaka hayo dhidi ya washitakiwa, yalifunguliwa kimakosa kabla ya...
View ArticleWANAWAKE 100 SALAMA DHIDI YA SARATANI YA KIZAZI
Zaidi ya wanawake 100 waliojitokeza kupima maambukizi ya ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi katika Jukwaa la Familia Kitchen Party Gala, lililofanyika Dar es Salaam juzi, wamethibitika kutokuwa na...
View ArticleMLIBERIA ALIYEKAMATWA NA HEROIN ANYIMWA DHAMANA
Raia wa Liberia, Deocntee Togbah (28) anayekabiliwa na mashitaka ya kuingiza dawa za kulevya aina ya heroin, zenye thamani ya Sh milioni 38, amenyimwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
View ArticleAJINYONGA CHOONI BAADA YA KUMKUMBUKA MKEWE
Mkazi wa Mtoni Kijichi, Richard Kijazi (36) amekutwa amekufa kwa kujinyonga chooni na kuacha ujumbe kwamba amejiua kwa sababu ya kumkumbuka marehemu mkewe.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert...
View ArticleMTIHANI MPYA KIDATO CHA NNE HUU HAPA, KUSAMBAZWA MEI 10
Wanafunzi wa Kidato cha Nne, watafanya mitihani miwili ya Taifa mwaka huu, baada ya kuongezwa mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), ambao utatumika kuwapima walivyojiandaa na Mtihani wa Taifa wa...
View ArticleArticle 21
Jaji wa Mahakama kuu Mhe.Njengafibili Mwaikugile akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu katika ofisi za Mahakama kuu jijini Dar es Salaam wakati IGP alipokwenda kula kiapo cha...
View ArticleArticle 20
Wafuasi wa Shehe Ponda Issa Ponda wakipiga kelele nje ya mahakama jana baada ya kesi ya Shehe huyo kushindwa kusikilizwa.
View Article