Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4580

Article 15

$
0
0
Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Dk Julie Makani akihojiwa na waandishi wa habari katika hafla ya kuhamsidha jamii kuhusu ufahamu wa ugonjwa wa sikoseli 'seli mundu' iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Ugonjwa  wa sikoseli hurithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili wenye vinasaba vya ugonjwa huo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4580

Trending Articles