Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE

  

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI TARIME YATUMIA SHILINGI BILIONI 3.2

Halmashauri ya Mji wa Tarime mkoani Mara imekusanya na kutumia Sh bilioni 3.274 katika robo mwaka hadi Machi mwaka huu. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji, Venance Mwamo alitoa taarifa hiyo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMIBIA WATAKA KUJENGA MNARA WA KIKWETE KONGWA

Rais mstaafu wa Namibia, Sam Nujoma amemwambia Rais Jakaya Kikwete kuwa sherehe za Muungano zimethibitisha Tanzania inao uwezo wa kutosha wa kijeshi wa kukabili shambulio lolote kwa Afrika kutoka nje...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTUMBWI WAPINDUKA NA KUUA MWANAFUNZI KYELA

Watu wawili akiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Mwigo wilayani Kyela mkoani Mbeya, wanahofiwa kufa maji katika Mto Kiwira.Hofu ya kufa maji watu hao inakuja baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA UPELELEZI AUAWA KWA KUCHOMWA KISU SHINGONI

Mkuu wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania,  John  Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu. Mtuhumiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARAIS EAC WAKUTANA KUANGALIA ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA

Marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanafanya mkutano maalumu kesho mjini hapa kutathmini shughuli za jumuiya, ikiwemo kupitia maombi ya Sudan Kusini na Somalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUCTA KUPIGANIA 'PAYE' ISHUKE KUTOKA ASILIMIA 13 HADI 9

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), limeazimia kuendelea kupigania kushushwa kwa Kodi ya Mshahara (PAYE) kutoka asilimia 13 inayokatwa hivi sasa hadi asilimia tisa, ili   mfanyakazi apate...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMENEJA WA BENKI YA BARCLAYS WATIWA MBARONI KWA WIZI

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa 13, wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays kwa tuhuma za kuhusika na wizi katika benki hiyo katika tawi la Kinondoni.Mameneja hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHARTI YA THELUTHI MBILI KUKWAMISHA KATIBA MPYA

Hofu ya kutopatikana kwa Katiba mpya, baada ya changamoto zilizojitokeza wakati wa awamu ya kwanza ya Bunge Maalumu la Katiba, sasa ni dhahiri.Hofu hiyo inaonekana katika mahojiano maalumu kati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ WAKABIDHIWA VITABU KWA AJILI YA MAKTABA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma.
Alikabidhi vitabu hivyo  jana Dar es Salaam kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM TANZANIA WAENDA 'PEMBEZONI' MWA NCHI

Kampuni ya Vodacom Tanzania imechaguliwa kuwa moja ya watoa huduma za mawasiliano watakaotoa mawasiliano ya simu vijijini na mijini ambayo awali haikupewa kipaumbele. Katika kufanikisha hilo, kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZINDUA SHINA MARYLAND NCHINI MAREKANI

Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba amezindua shina la chama hicho Maryland, Marekani. Uzinduzi huo ulifanyika juzi, ikiwa ni mwendelezo wa kuhakikisha wanachama wa chama hicho, wanakuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALAMU WAZEMBE WA MIFUGO KUSHUGHULIKIWA

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amesema Serikali haitasita kumchukulia hatua za kisheria mtaalamu  wa mifugo, ambaye eneo lake litabainika kukabiliwa na ukiukwaji wa sheria ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUKO WA PPF WAWAITA WASTAAFU KUHAKIKI TAARIFA

Mfuko wa Pensheni wa PPF  wamewaomba wastaafu ambao taarifa zao  hazijahakikiwa wafike katika ofisi yoyote ya PPF kuhakiki taarifa zao kabla ya Mei  3, mwaka huu.Meneja Uhusiano na Masoko wa PPF, Lulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IDA YAPIGA JEKI UJENZI WA RELI YA KATI

Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia imeidhinisha msaada wa dola za Marekani milioni 300 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo (IDA) kwa ajili ya kuongeza nguvu jitihada za Serikali katika mradi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IMF YASISITIZA UTHABITI BRN KUPUNGUZA UMASIKINI

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limesema Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) iwapo utatekelezwa kikamilifu  katika sekta kadhaa, utasaidia upatikanaji wa ajira na kupunguza umasikini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL CLOSE IN ON TOP FOUR WITH WIN OVER NEWCASTLE

Arsenal are now four points clear of Everton in the final Champions League spot after a 3-0 victory over Newcastle at the Emirates Stadium.Newcastle, who had manager Alan Pardew back on the touchline...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais Bw.Sazi Salula (katikati) akifungua rasmi kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais kilichofanyika Karimjee jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TTB, Teddy Mapunda akizungumza wakati alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu  vivutio  vya utalii vya Tanzania katika kongamano la biashara na uwekezaji jijini Abuja,...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live