Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4500

BASI LA NAJMUNISA LAPASUKA GURUDUMU KISHA KUPINDUKA NA KUUA...

$
0
0
Kamanda David Misime.

Watu wanne waliokuwa wanasafiri kwa basi la kampuni ya Najmunisa wamekufa papo hapo baada ya basi hilo lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kupata ajali eneo la Mbande, nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo, basi hilo likiwa kwenye mwendo kasi lilipinduka baada ya tairi la mbele kupasuka na  kugonga mti, huku wanne hao wakifa papo hapo na wengine wakijeruhiwa vibaya, kiasi cha kukimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4500

Trending Articles