Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all 4558 articles
Browse latest View live

AFCON: DR CONGO CLAIM THIRD PLACE AFTER PENALTY SHOOT-OUT VICTORY OVER EQUATORIAL GUINEA

$
0
0

Democratic Republic of Congo were awarded third place at the African Cup of Nations after a penalty shoot-out victory over Equatorial Guinea following a goalless draw at the Estadio de Malabo.

Cedric Mongongu coolly slotted home the winning penalty after Javier Balboaand Raul Fabiani missed earlier spot-kicks for Equatorial Guinea.
Both sides had opportunities to win the match in normal time with Crystal Palace's Yannick Bolasie going closest for DR Congo and Rodriguez Ruben Belima squandering a second-half chance for the hosts.
A bronze medal was a deserved reward for DR Congo after a memorable tournament in which they unexpectedly reached the semi-final.
It means hosts Equatorial Guinea finish the tournament empty-handed but can hold their head high having been ranked 118 in the FIFA rankings prior to the tournament.

KEY EVENTS
4' - CHANCE! A routine cross from Equatorial Guinea is misjudged by Kidiaba in DR Congo's goal who completely misses the ball but Mongongu just about clears up the mess.
20' - CHANCE! Bolasie picks out Bokila with a delightful through-ball and the latter tries to square the ball across goal instead of going for a shot but his attempted pass is blocked and it goes out for a corner.
39' - CHANCE! Bolasie latches onto a wonderful pass from the full-back, shows his marker a clean pair of heels and finds himself behind the defence, but somehow fires the ball wide of the target! Best chance of the game so far.
52' - CHANCE! What a sitter! Mabwati produces a dazzling run, riding three or four tackles and as he bears down on goal he cuts it back to Makiadi who can't get a connection on the ball. Any sort of touch would have produced the opening goal.
57' - CHANCE! Juvenal collects the ball just outside the area, and with just one thing on his mind, he shoots at goal and sees his effort fizz just wide of the post.
65' - SAVE! Bolasie collects the ball on the flank, cuts in and produces a really dangerous shot at goal which Ovono does well to push past the post.
78' - CHANCE! Equatorial Guinea found themselves in a two vs two situation as Belima advances with the ball but instead of playing it across goal for his team-mate Nsue, he blasts the ball well over the bar. What a wasted opportunity.
Penalty shoot-out:
- BALBOA MISSES! Over the bar! He has been poor throughout this match and that just sums up his day.
- FABIANI MISSES! Equatorial Guinea have missed their second penalty as the spot-kick is saved!
- MONGONGU SCORES! DR Congo have finished as the third-placed team in the AFCON!

TALKING POINT
A memorable tournament for both sides - Equatorial Guinea failed to impress off the pitch but on it they were a breath of fresh air. Ranked 118th in the FIFA Ranking and appearing in only their second major tournament, they caused shock after shock to reach the latter stages. DR Congo entertained throughout - a 4-2 victory over neighbours Congo the highlight - and have a medal to show for their efforts.

MAN OF THE MATCH
Cedric Mabwait (DR Congo) - Was a constant thorn in the side for Equatorial Guinea, producing two magnificent individual runs which almost culminated in goals. Scored the opening penalty of the shoot-out to settle the nerves of his team-mates.

PLAYER RATINGS
DR Congo: Kidiaba 7, Issama 6, Mongongu 7, Zakuani 7, Kasusula 6, Makiadi 7, Mbemba 7, Mabwati 8, Bokila 6, Bolasie 8, Kage 7. Subs: Mbokani, Kabananga, Mabidi.
Equatorial Guinea: Ovono 7, Evuy 7, Rui 6, Bohale 6, Zarandona 6, Juvenal 7, Balboa 5, Randy 6, Belima 6, Kike 6, Nsue 7. Subs: Fabiani 6, Doualli 6, Maye 6.

ALBINO VIJIJINI HATARINI KUPATA SARATANI YA NGOZI

$
0
0

Watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanaoishi vijijini, wana hatari ya kupata magonjwa ya saratani ya ngozi, kutokana na kutokuwa na elimu ya afya bora na utunzaji wa ngozi.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu wa Ngozi mkoani Dodoma, Ludovick Kowo, katika warsha ya mafunzo ya afya bora na utunzaji wa ngozi kwa albino wilayani Kongwa.
Alisema kutokana na ukosefu wa elimu ya utunzaji wa afya ya ngozi kwa walemavu waishio vijijini, walemavu hao wana hatari kubwa ya kupatwa na saratani ya ngozi na kuongeza kuwa ukosefu huo wa elimu, unatokana na umasikini.
Pia alisema walemavu walio wengi, hawana elimu ya kutosha ya utunzaji wa afya zao, hali inayochangiwa na ukosefu wa kipato cha kuwasaidia katika kujikwamua na hali ngumu na  ununuzi wa dawa hizo.
Akizungumza kwenye mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la Kufadhili Asasi za Kiraia (FCS), Kowo alisema Sh milioni 45 zimetolewa kwa ajili ya utoaji wa elimu ya afya bora na utunzaji wa ngozi.
Alisema ufadhili huo utaziwezesha wilaya mbili ikiwemo ya Kongwa na Mpwapwa na kata 12 kupata elimu itakayowasaidia kuepukana na magonjwa hayo, ambayo yamekuwa tishio na kusababisha vifo.
Mwenyekiti huyo amezitaka taasisi na mashirika na serikali,
kuwezesha walemavu kwa kuwapa mitaji, itakayowawezesha kuunda vikundi vya ujasiriamali ili waondokane na hali ngumu ya maisha.
Alilitaka shirika hilo kutoa kipaumbele katika utoaji wa elimu ya afya, kwa kuangaliza zaidi walemavu wanaoishi vijijini, ambako wana changamoto nyingi za maisha kuhusu namna ya kukabiliana na utunzaji bora wa afya zao.

TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUANZA KAZI JULAI

$
0
0

Serikali imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai  mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani alisema serikali imekubali kuanzisha tume hiyo ya kuhudumia walimu nchini ili kuepuka walimu kuhudumiwa na wizara mbalimbali.
Alisema tume hiyo itaanza rasmi mwezi huo na kuingizwa kwenye bajeti ijayo, huku madeni ya walimu ya mishahara yakiwa ni  yaliyohakikiwa Sh bilioni sita na ambayo hayajahakikiwa ni Sh  bilioni tatu.
Alisema ili kukabiliana na madeni ya walimu, sasa serikali imeagiza taasisi zote ziweke kipaumbele katika malipo ya likizo iwe kulipwa mapema kama mishahara.
Awali, Kamati ya Huduma za Jamii ilitaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi  ili kuwatambua walimu na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kwa walimu nchini kwa kuitumia Tume ya Utumishi wa Walimu.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Margaret  Sitta alisema kamati inapongeza kusudio la serikali kuanzisha Tume ya Utumishi wa Walimu nchini katika mwaka wa fedha 2015/16.
Alisema kamati inashauri tume hiyo kuanzishwa haraka ili kukabiliana na adha zinazowakabili walimu nchini na kurejesha hadhi ya taaluma ya ualimu nchini. 

MIKOA SITA TAABANI KATIKA UJENZI WA MAABARA

$
0
0

Mikoa sita 'imevurunda' katika ujenzi wa maabara katika shule za sekondari baada ya kushindwa kufikia malengo. Ni mikoa mitatu pekee ndiyo imefanya vizuri kwa kuvuka nusu ya malengo.  
 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alitaja mikoa ambayo haikufika hata robo ya malengo kuwa ni  Mtwara (asilimia 21), Lindi (asilimia 20), Tabora (asilimia 17), Dodoma (asilimia 12), Rukwa (asilimia 11) na Kigoma (asilimia 10). 
“Tunaweza kusema hii ndiyo mikoa ya mwisho katika kutekeleza agizo la Rais.  Mikoa 16 ambayo sikuitaja hapa iko katika kundi la asilimia kati ya 26 hadi 49,” alisema Pinda kupitia hotuba yake ya kuahirisha Bunge la 18.  
Pinda alitaja mikoa mitatu iliyofanya vizuri kuwa ni Njombe uliofanikiwa kukamilisha ujenzi kwa asilimia 96 wa maabara za shule za sekondari, Ruvuma iliyokamilisha kwa asilimia 81 na Morogoro ambao ni watatu kwa kujenga vyumba kwa asilimia 53.   
Waziri Mkuu alipongeza Ruvuma na Njombe kwa kutekeleza vizuri maelekezo ya Rais, akisema imeonesha mfano mzuri. Alisema  Morogoro ni wa tatu. Alisema Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake kwa wananchi, Desemba 31 mwaka jana, aliongeza miezi sita zaidi hadi Juni 2015 kwa ambao hawajakamilisha ujenzi wa maabara hizo, ili wakamilishe.  
Pinda alisema matarajio ya Rais Kikwete ni kwamba muda huo unatosha kwa kila sekondari nchini kuwa na vyumba vitatu vya maabara .
“Hivyo, ninawataka wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, mameya, wenyeviti na wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya na miji nchini kuhakikisha maagizo haya yanatekelezwa. Aidha, ninatoa rai kwa waheshimiwa wabunge na madiwani kutoa msukumo stahiki katika utekelezaji wa maagizo haya kwa maslahi ya Taifa letu,” alisema.
Kwa upande wa Serikali, Pinda alisema Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), haina budi kuhakikisha agizo linatekelezwa ndani ya muda uliotolewa; yaani Juni mwaka huu.
Aidha, alisisitiza katika usimamizi, Tamisemi ihakikishe  vyumba vya maabara vinavyojengwa vinakuwa na ubora stahiki na vinalingana na thamani ya fedha zilizotumika.  
Amesema ubadhirifu wa aina yoyote usipewe nafasi na watakaobainika kuhusika wachukuliwe hatua za kisheria mapema.
“Nitapenda Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi waendelee kufuatilia suala hili na kunipa taarifa mara kwa mara,” alisema.  
Mwaka 2012, Rais Kikwete akiwa ziarani katika mkoa wa Singida, alielekeza kila shule ya sekondari nchini iwe ina vyumba vitatu vya maabara ifikapo Novemba 30,  2014.
Tangu wakati huo hadi sasa, utekelezaji unaendelea na kwa mujibu wa Waziri Mkuu, hali ya ujenzi wa vyumba vya maabara  inaonesha hadi  Desemba mwaka jana, vyumba 3,607 sawa
na asilimia 34 ya mahitaji ya vyumba 10,653 vya maabara nchini vilikuwa vimejengwa.
Aidha, vyumba 6,249 sawa na asilimia 59 ya mahitaji, vilikuwa vinaendelea kujengwa na asilimia saba vilikuwa havijaanza kujengwa.    
Wakati huo huo Pinda alisema bajeti ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ni Sh bilioni 218 na ya Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, ni Sh bilioni 268. 
“Naelewa kwamba changamoto kubwa ni upatikanaji wa fedha hizi kwa muda muafaka. Hata hivyo, kipaumbele cha Serikali ni kuhakikisha kwamba fedha zinapatikana na kazi hii muhimu inafanyika kama ilivyopangwa,” alisema.  
Kuhusu Katiba Inayopendekezwa, Waziri Mkuu alitoa mwito kwa wakuu wa mikoa wote nchini, kuhakikisha wanasimamia kikamilifu usambazaji wa nakala zake.
Aidha ametaka wananchi wahimizwe kusoma Katiba hiyo, ili washiriki kikamilifu katika upigaji kura ya maoni utakaofanyika Aprili 30 mwaka huu.

DEREVA BODABODA ATUHUMIWA KULAWITI CHEKECHEA KIBAHA

$
0
0
Dereva bodaboda Ismail Lucas (16), mkazi wa Kwa Mathias wilayani Kibaha mkoani Pwani, anatuhumiwa kumlawiti mtoto  ambaye ni mwanafunzi wa Chekechea.

Mama wa mtoto huyo (jina limehifadhiwa) alisema kuwa kutokana na tukio hilo, mwanawe (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa vibaya.
Alisema kuwa tukio hilo lilitokea saa 3:00 asubuhi eneo la Tanita wakati mtoto huyo alipokuwa akitokea dukani akiwa ameongozana na mwenzake, mtoto wa mama yake mkubwa mwenye umri wa miaka saba, ambaye alikuwa amewaagiza mkate.
“Mama yake mkubwa aliwatuma dukani Kwa Mrisho ambapo walinunua mkate na walipokuwa wakirudi, walikutana na mtuhumiwa ambaye alimrubuni mwanangu kuwa ameangusha chenji  iliyorudi dukani hivyo aende akampe,” alisema.
Alisema kuwa mtuhumiwa huyo ambaye alikuwa na pikipiki, alimchukua na kumpeleka kwenye vichaka ambavyo viko jirani na barabara huku mwenzake akiwa analia kuomba msaada.
“Alikwenda naye huko vichakani na kumfanyia vitendo hivyo,  mama mmoja Clara Edwin alikuwa akipita hapo na alipomwona mtoto aliyekuwa akilia  alimwuliza imekuwaje, akamwambia mwenzangu kachukuliwa na mtu asiyemfahamu na kuelekea eneo la tukio, ndipo mtuhumiwa alipokimbia na kuacha pikipiki yake,” alisema.
Alisema kuwa yeye hakuwepo nyumbani, lakini alijulishwa kuwa mwanawe kafanyiwa mchezo huo, ambapo alipomwona mwanawe akiwa kwenye hali ile, alipoteza fahamu.
“Majirani walinisaidia baada ya muda nilizinduka na kumpeleka mtoto kituo cha Polisi cha Kwa Mathias na baadaye Hospitali ya Mkoa ya Tumbi kwa ajili ya matibabu ambapo hadi sasa anaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu,” alisema.
Kwa upande wake, Clara ambaye ndiye aliyemuokoa mtoto huyo, alisema yeye baada ya kwenda kule vichakani mtuhumiwa alikimbia kusikojulikana na wasamaria  waliipeleka pikipiki hiyo kwenye kijiwe anachofanyia kazi na ndipo walipobaini kuwa ni ya Lucas.
“Wasamaria wema wakishirikiana na madereva bodaboda wenzake, walifika nyumbani kwao na kumkuta mlezi wake ambapo walimwambia asimruhusu kuondoka hadi polisi watakapofika, ambapo walimchukua na kumpeleka kituoni,” alisema.
Akithibitisha kutokea tukio hilo,  Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei (pichani juu) alisema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na atafikishwa mahakamani mara upelelezi utakapokamilika.

WAJIFUNGUA KWA VIBATARI MIAKA MITANO MASASI

$
0
0
Wajawazito wakazi wa kata za Sululu na  Matawale katika Halmashauri ya  Mji wa Masasi mkoani Mtwara, wamekuwa wanajifungua kwa kutumia vibatari  muda wa usiku zaidi ya miaka mitano sasa.


Diwani wa  Kata ya Sululu, Peter Mrope alisema hayo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa habari hizi. 
Alisema kuwa hali ya zahanati sio nzuri na zaidi ya miaka mitano wakazi wake na kata ya jirani ya Matawale, wanapougua au kujifungua wakati wa usiku, wauguzi na madaktari wanatumia vibatari ili wapate kumhudumia mgonjwa aliyefika muda huo.
Alisema zahanati hiyo iliyopo kijiji cha  Makalani, haina huduma za umeme au nishati ya jua, kiasi  huduma za afya kuzorota.
Mrope alisema baadhi ya wauguzi na watumishi  hawaipendi zahanati hiyo, kutokana miundombinu yake sio rafiki kwa watumishi.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Andrew Mtumisha alikiri kuwapo tatizo la ukosefu wa huduma ya umeme, linalosababisha wajawazito na wagonjwa wa magonjwa mbalimbali kutibiwa kwa kutumia vibatari katika zahanati ya Sululu.
Alisema tatizo hilo ni la muda mrefu. Alisema hakuna miundombinu ya umeme tangu  zahanati ikiwa katika Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara.
Alisema  baada ya kugawa  maeneo ya mipaka na utawala kati ya Halmashauri  ya Mji na Halmashauri ya wilaya, kata ya Sululu ilipangwa kuwa ya Halmashauri ya Mji wa Masasi  mwaka 2012.
Alisema kipindi hicho, Mfuko wa Jimbo ambao uko chini ya Mbunge wa jimbo ulishaanza, lakini zahanati hiyo haijapata nishati ya jua ili kuondoa  tatizo la wagonjwa kujifungua kwa kutumia vibatari.
Alisema ofisi ya Mbunge na Uongozi wa Mfuko wa Jimbo, unapaswa kukagua maendeleo ya zahanati hiyo  na kuweza kubaini tatizo hilo.
Alisema kikao cha Baraza la Madiwani cha Januari 30, mwaka huu kiliagiza Ofisi ya Mkurugenzi kununua na kuweka umeme wa jua  kwa muda wa mwezi mmoja.
Mkurugenzi wa  Mji wa Masasi, Fortunatus Kaguro alikiri kupewa maazimio ya kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kununua nishati ya jua.

MUSWADA MAHAKAMA YA KADHI KUJADILIWA BUNGE LIJALO

$
0
0

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza sababu za Bunge kushindwa kujadili miswada kadhaa, ikiwemo uliohusu Marekebisho ya Sheria ya Kiislamu, inayotambua Mahakama ya Kadhi.
 
Akihitimisha shughuli za mkutano wa 18 wa Bunge jana, Pinda alisema muswada huo umesogezwa mbele, ili Kamati ya Bunge ipate nafasi na muda wa kupitia na kutoa ushauri kwa Bunge.
Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba 2 wa mwaka 2014, unaohusu Muswada wa Marekebisho ya Sheria hiyo ya Kiislamu Sura 375 ni miongoni mwa ambayo haikujadiliwa.    
Mingine iliyopangwa kujadiliwa katika mkutano huo wa Bunge, ni  Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa mwaka 2014 na Muswada wa Sheria ya Takwimu wa mwaka 2013.   
“Hatukuweza kuijadili miswada hiyo katika mkutano huu, ili Kamati husika zipate nafasi na muda wa kupitia na kutoa ushauri kwa Bunge lako Tukufu.
“Ni matumaini yangu kwamba miswada hii itapata nafasi ya kuwasilishwa na kujadiliwa katika mkutano ujao wa 19 wa Bunge lako Tukufu,” alisema Pinda.   
Katika mkutano huo,  wabunge walipokea na kujadili taarifa mbalimbali zilizowasilishwa na Kamati za Bunge za kisekta na zisizo za kisekta.
Wakati huo huo katika hotuba yake, Pinda aliwaambia wabunge kwamba hali ya uzalishaji na upatikanaji wa chakula nchini kwa ujumla, imeendelea kuwa ya kuridhisha katika maeneo mengi, kutokana na mavuno mazuri katika msimu wa kilimo wa 2013/2014.
Kuhusu mwenendo wa malipo ya madeni ya ununuzi wa mahindi kwa msimu wa 2014/2015, Pinda alisema hadi kufikia Desemba 2014 Serikali ilikuwa inadaiwa Sh bilioni 89 na wakulima waliouuzia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) mahindi.   
Hadi kufikia Januari 29 mwaka huu, kwa mujibu wa Waziri Mkuu,  Serikali ilikuwa imelipa wakulima hao Sh bilioni 15 na kubakiza deni la Sh bilioni 74. 
Alisema katika juhudi za Serikali za kutatua changamoto ya deni hilo,  mwezi huu inatarajia kulipa Sh bilioni 40 na kubakia na deni la Sh bilioni 34 ambazo zitalipwa kutokana na mkopo wa benki ya CRDB wa Sh bilioni 15 na Bajeti ya Serikali.

MOTO WATEKETEZA BABU, BIBI, WATOTO NA WAJUKUU DAR

$
0
0
Watu sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto  jijini Dar es Salaam.

Janga hilo la moto limetokea jana saa 10:30 alfajiri katika eneo la Kipunguni A, Ukonga Banana, wilayani Ilala.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki (pichani) alisema kuwa moto huo ulizuka ghafla katika nyumba inayomilikiwa na mstaafu huyo wa Jeshi, David Mpira anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 55 na 60.
Alisema wengine waliokufa katika ajali hiyo ni mke wa marehemu, Selina Yegela anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 50 na 55, ambaye pia ni mstaafu wa iliyokuwa Kampuni ya Kuhudumia Ndege (DAHACO), sasa Swissport.
Aidha, moto huo pia umesababisha vifo vya watoto wawili wanaokadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20 na 30 ambao ni, Lucas Mpira na Samwel Yegela.
Kamanda Nzuki alisema wajukuu wa marehemu nao wamekufa katika ajali hiyo, ambao ni Selina Emmanuel (9) mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Minazi Mirefu na Pauline Emmanuel (3), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Tumaini iliyopo Kitunda.
“Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, tunaendelea na uchunguzi na tunashirikiana na Shirika la Umeme (Tanesco) ili kubaini chanzo kilichosababisha moto huo,” alisema Nzuki.
Maiti wamehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na uchunguzi bado unaendelea.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

$
0
0
Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya Jumapili ya leo, Februari 8, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo kushoto. Kupata yaliyoandikwa kwenye magazeti usikose kuperuzi blogu hii kila siku.

YOUNG CONGOLESE ENTREPRENEUR LESSONS FROM RUNNING A FOOD BUSINESS

$
0
0

“They say that if the DRC was developed, many African countries will follow, because the food potential we have here can feed the world.”

This is according to Benedict Mundele, a 21-year-old Congolese entrepreneur who wants to make a change in her country. She is the founder of Surprise Tropicale, an organic local food canteen and catering company that aims to promote a sustainable and healthy lifestyle in her community in the capital Kinshasa.
The idea came to her while studying hospitality and researching food produced in tropical environments. She was shocked to discover that the DRC imported so much of the food it should be producing in abundance. Furthermore, a lot of the food it does produce gets exported cheaply, processed in other countries, and sold back to the country at more expensive prices.
“Like mangos,” she highlighted. “Mangos are grown in tropical climates like the DRC. But we have mango juice sold in our country that comes from elsewhere where it is not tropical. It is very expensive and a lot of people can’t afford it.
“It was Congo’s food poverty that inspired me to do something,” she said. “We have the potential to produce many foods but it’s being wasted. And people are suffering because they don’t have anything to eat.”

Being the difference

Mundele was 16 when she started Surprise Tropicale, which began by supplying breakfasts to members of the Kuvuna Foundation, a youth skills empowerment and leadership organisation.
Today, the company produces its own organic snacks and meals, such as chips made from coconut or ginger. She also runs her own take-away outlet, and supplies produce to nearby shops. She only sells food produced locally and is hoping to promote a healthy lifestyle.
Her entrepreneurial vision and efforts led to her selection as an Anzisha Prize finalist last year, a competition that recognises young Africans who are using entrepreneurship to bring positive change to their community. She was also  named one of the promising young World Economic Forum (WEF) ‘Global Shapers’ and was selected to attend the WEF on Africa, held in Nigeria, last year.

Tackling the challenges

But according to Mundele, her vision is far from complete and she is still struggling to overcome two major challenges. The first is a lack of consumer trust in locally-produced food and products.
“It’s difficult. In the DRC, and even across the rest of Africa, people think good things come from outside the continent. They don’t realise what we can create here can be even better. And it’s difficult to change that mentality.”
Another challenge is getting consumers to adopt a healthier lifestyle. For example, Mundele soon discovered most of her customers wanted less-healthy meals and sweets from her fast-food outlet. She started to sell these as a necessary source of revenue, but believes her take-away is partly a failure. “It does not allow me to reach my objective [of promoting health food],” she explained.
Part of the reason is that her outlet is positioned near a sports field, and most customers are looking for protein such as take-away chicken, rather than organic tropical fruit.
“I have now learnt I need to think more carefully about where I position my store, and what the needs of the customers are. Then I can better adapt my offering to their needs, as well as stay true to my vision.”
Mundele aim is to supply larger supermarkets, hotels and airports, where there is a stronger appreciation for organic and tropical foods.

Land of opportunity

“The DRC is not like other countries where you have incentives and programmes for young entrepreneurs,” explained Mundele. “It’s a huge country, and if you do something you could be pretty much on your own.”
However, her message to young Congolese is to stop waiting for solutions from western countries and start taking the initiative themselves. If they look around them, she noted, they will see there are still so many unexploited opportunities in Africa, and especially the DRC.
“I want young people to change their thinking and not to believe that it is better overseas. Because in the DRC and Africa there are more opportunities than anywhere else. It just needs hard work and concentration to capture these opportunities, and ultimately transform the continent.”
  
This article is from the Africa Leadership Academy’s Anzisha Prize, which recognizes and celebrates African entrepreneurs between the ages of 15 and 22 who are using business to solve problems in their communities.

THE 17 WORST FOODS FOR SLEEP

$
0
0

If you live your life at full-speed from the moment your feet hit the ground in the morning, until the moment you turn off your nightlight, but you still feel restless, you might be eating the wrong foods before bedtime. Stay away from these 17 foods guaranteed to keep you tossing and turning.

1. Bacon cheeseburger
You’d think super-filling foods would knock you out, but it depends on what they’re filling you up with. In the case of a bacon cheeseburger, you’re being filled up with a large amount of fat, which stimulates production of stomach acid, which can lead to sleep-disruptive heartburn.
2. Alcohol
Alcohol in general is bad for sleep because it metabolizes quickly, causing blood sugar fluctuations that can wake you up several times throughout the night. One study found that a bourbon or vodka drink with a non-caffeine mixer increased the amount of time women stayed awake during the night by 15 minutes.
3. Coffee
You’re probably smart enough not to drink a cup of Joe right before bed, but even drinking the stuff in the early afternoon can keep some people up at night. Try removing it from your diet after noon every day for a week and see how your sleep changes.
4. Dark chocolate
Dark chocolate actually contains caffeine. A 1.55-ounce Hershey’s milk chocolate bar contains 12 milligrams of caffeine and the special-dark bar contains 20 milligrams of caffeine. That’s the same amount of caffeine in a half-ounce espresso. Chocolate also contains theobromine, a stimulant that can cause a rapid heart rate and restlessness.
5. Red Bull
You probably knew that Red Bull can be damaging to your sleep, but you may not have known just how damaging because the nutrition information on one of these little blue cans can be impossible to interpret. An eight-ounce Red Bull contains 80 milligrams of caffeine, which is the equivalent of a one-ounce espresso.
6. Five-Hour Energy
If you were hoping simply switching energy drinks would do the trick, you should know that a 5-Hour Energy drink contains 200 milligrams of caffeine, so drinking one of these little bottles is like drinking 16 ounces of coffee.
7. Mountain Dew
Mountain Dew MDX, as well as Jolt Cola and Vault contain 71 milligrams of caffeine in every 12-ounce serving. That’s reaching the limit of what the U.S. Food and Drug Administration recommends.
8. Pepsi
You’re not safe consuming the more “classic” sodas either. Pepsi or Sprite contain both citrus and sodium benzoate, which can irritate the gastrointestinal tract and induce acid reflux—an insomniac’s nightmare.
9. Spicy food
One Australian study found that men who added Tabasco sauce and mustard to their dinners experienced more trouble falling asleep and staying asleep than men who ate dinner without the stuff. Spices can also lead to heartburn, another sleep disturber.
10. Chicken
This one’s a bit shocking since it’s a dinnertime staple, but chicken, along with any sort of protein, is not the best choice to eat at night. Your body requires a lot of time and energy to digest protein, so if you eat a lot of it before bed, your body is focused on breaking that down instead of making you sleep.
11. Aged cheese
Even though a glass of warm milk might help you sleep, not all dairy is good to have at night. We know–grilled cheeses are so comforting! But if you’re a cheese aficionado and use aged cheese like Parmesan or Asiago, the amino acid tyramine could keep you awake.
12. Deli meat
If you like to hit a deli after a late night of drinking with friends, stick to a tuna sandwich. A sandwich piled high with cured meats will also have tons of that tyramine that keeps you extra alert.
13. Tomato sauce
A big bowl of spaghetti might sound like the right carb-heavy dinner to put you to sleep, but don’t top it with tomato sauce. Tomatoes are high in acid, which can provoke acid reflux and heartburn–not conducive to sound sleep.
14. Ginseng tea
You should probably stay away from tea close to bed time anyways if you don’t want your bladder to wake you up every few hours, but if you have to have it, stay away from Ginseng tea. The herb acts as a stimulant which can cause hypertension and keep you up.
15. Soy
It isn’t just your anger over that inevitably high sushi bill keeping you up–all the soy in that soy sauce and edamame appetizer is loaded with tyramine which is  keeping you awake.
16. Ice cream
Resist the temptation to pair your night time shows with a bowl of ice cream. Ice cream is loaded with fat, and your body will go into working overtime during the night trying to digest that, which will keep you awake. Plus, high amounts of sugar have been shown to cause nightmares.
17. Celery
If you’re trying to eat more celery because the water and fiber content fills you up, great! But save it for your lunch time salads and skip the night time peanut butter on celery sticks. Celery is a diuretic, so it will cause your bladder to wake you up all night.

10 TRICKS TO HELP STOP SNORING

$
0
0

Snoring is a serious pain for everyone involved – you, your partner, and really anybody that has the misfortune to be in a 3-room radius from where you’re running a chainsaw in your sleep. Though some snoring may be caused by deeper medical problems, these tricks may help you stop snoring today.

1. Avoid sleeping pills and sedatives
If you have taken sleeping pills or sedatives to help you sleep, they may also increase your snoring. These things relax the muscles in the back of the throat and can interfere with breathing.
2. Invest in a humidifier
Dry air can irritate membranes in the nose and throat and increase potential snoring. Especially if you are dealing with a stuffed nose or other cold symptoms, a humidifier can really make a big deal by helping to keep the passages moist.
3. Sleep on your side
Gravity works against you when it comes to snoring, as it makes it more likely for your tongue or soft tissues to drop and obstruct your airway if you sleep on your back. Sleeping on your side can help minimize this.
4. Quit smoking
Smoking is obviously bad for your health, but can also help contribute to snoring. Cigarette smoke irritates the lining of the nasal cavity and throat, and can cause swelling and blockages. The decreased airflow may cause snoring.
5. Lose weight
Weight loss is actually a seriously effective method to stop snoring. Though it isn’t 100 percent effective, sudden weight gain can make you start snoring, even if you hadn’t previously. Gaining weight around your neck squeezes the internal diameter of the throat and makes it collapse during sleep, triggering snoring. Dropping those pounds can make a big difference.
6. Don’t head to bed drunk
Alcohol is similar to other sedatives, in that it reduces the resting tone of the muscles in the back of your throat. This allows soft tissue to collapse in your throat, triggering snoring.
7. Check yourself for allergies
Much like having a cold, chronic respiratory allergies may cause snoring by blocking your ability to breathe through your nose while sleeping. Though some allergies are seasonal, check to see if you’re allergic to anything in your bedroom, such as down comforters or pillows. Trying new materials in your bed may make a huge difference.
8. Keep regular sleeping patterns
Pulling back-to-back all nighters before hitting the sack means that you’ll sleep harder and deeper than usual, making your muscles floppier. This can trigger snoring, but can be avoided by maintaining good, regular sleeping habits, known as “good sleep hygiene.”
9. Open those nasal passages
If you have a stuffed up nose, you’re more likely to snore. Try clearing your nasal passages before bed by blowing your nose, taking a steamy shower, or trying a saltwater rinse. Nasal strips are also an option, as they help to lift nasal passages and open them up while you sleep.
10. Hydrate!
Water can solve an incredible number of problems, and snoring may be one of them. When you’re dehydrated, secretions in your nose and soft palate become stickier, contributing to snoring. Hydrating can help lubricate these and prevent the worst of it.

17 CRIMES WE ALL COMMIT EVERYDAY

$
0
0

Sure, we all like to think that we’re law-abiding citizens. And when it comes to murder and anarchistic government overthrows, we usually manage to resist. But it’s the little things that we can’t seem to stop ourselves from doing. Here are 10 crimes we all commit every day.

1. Jaywalking

Honestly, who has time to walk around the perimeter of an intersection when you could just cut across the middle? Or wait for one of those annoying “Don’t Walk” signs to change, when there’s clearly no cars coming? We just look both ways and hustle on over, right?

2. Speeding

Same as the jaywalking thing – ain’t nobody got time to go the speed limit. Plus, when it’s 4 in the morning and there are no cars on the road, and you’ve got a three-lane highway spread out empty before you, I challenge anybody to not put the pedal to the medal and go zoom.

3. Leaving dog poo

Come on, you know you do it. It’s hard to look hot while carrying around a bag of dog poop.

4. Seat belts

This is something we should all do, because it’s really not that hard, but occasionally laziness or forgetfulness prevail. Plus, you were just going around the block! Although, to be fair, at that point, you should probably just be walking.

5. Phoning while driving

Another stupid one derived from laziness, or an inability to be patient, we’re all guilty of checking out phones from time to time while behind the wheel. You know it’s stupid, you know it’s not worth it, and you know you can’t help yourself.

6. Littering

Whether you meant to do it or a candy wrapper blew out of your pocket and across the street, we’ve all littered in our lifetime. As comedian Louis C.K. put it, one day, God is going to come back and see what we’ve done with Earth and just be like, “What did you do?!”

7. Facebook hacking

Tampering with somebody’s Facebook profile is always hilarious – who doesn’t love making it seem as though somebody has just pooped in their pants, or is issuing a public declaration of love for Justin Bieber? But “hacking” somebody’s profile is illegal, just like it’s illegal to steal somebody’s identity. Just be careful you don’t piss them off too much, or they’ll be totally justified in pressing charges.

8. Illegal downloading/streaming

Yes, the music/film industries deserve proper payment for their work. But when movie theaters are charging $16 a pop, and you really don’t want to wait for it to come out on DVD, it may seem like you don’t have a choice. And Netflix is expensive, too!

9. Reading other people’s mail

It’s a felony, but sometimes you really don’t want to wait for your roommate to come home to ask if you can borrow their latest issue of Sports Illustrated. Just don’t open their bills or love letters, and you’ll probably be in the clear.

10. Failing to report tips

For industry workers that make most of, or even just a small portion, of their dough in tips, it’s illegal to not disclose that information to the government. Even if you’re just walking with a handful of coins each night, you’ve got to make sure the proper authorities know!

11. Sharing your medication

Even if it’s just a painkiller, or flu medicine you need to be 18 to get over the counter, sharing medication prescribed to you with somebody else is illegal. You might think you’re helping them but you could be harming yourself.

12. Connecting to unsecured Wi-Fi

You’ve probably been to a venue that didn’t have its own Wi-Fi network, so you clicked around on networks your computer was picking up from nearby locations. One probably allowed you access, but your computer showed a warning message saying it was an “unsecured network.” You went ahead anyways, because you needed Wi-Fi, but that can be a felony.

13. Breaking the terms of services

Be sure you actually read the terms of services agreement for websites that require you to sign one. Breaking the terms on the agreement can be charged as a felony. Lying about your age to sign up for a social media platform, or to enter an alcohol-related website are just some examples of breaking such terms.

14. Singing happy birthday

The circumstances will dictate if it’s a crime, but singing a known song in public can be viewed as copyright infringement. The number of people who can hear you and the volume of your song will determine whether or not this is a crime.

15. Playing cards

Check your state’s gambling laws before breaking out a friendly game of cards at home in which somebody could win money. In some states, you must prove a legitimate friendship (i.e. non-commercial relationship) with the other players, or players are prohibited from charging a “fee” to play the game.

16. Hanging at home in your birthday suit

Even if you are in your own home, in most states, if people can see you naked, or if there are children present, you have broken a law just by hanging in your birthday suit on your own property.

17. Failing to register your dog

Registering your dog isn’t only so animal control can figure out whom to return your pooch to if he gets lost—it’s also the law. Most places even require you renew your dog’s license each year.

YANGA YAISAMBARATISHA MTIBWA SUGAR 2-0 NA KUKAA KILELENI

$
0
0
Timu ya soka ya Yanga imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuifumua Mtibwa Sugar mabao 2-0 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii.

Katika mchezo huo mkali na wakuvutia uliochezeshwa na mwamuzi Israel Nkongo wa Dar es Salaam akisaidiwa na John Kanyenye wa Mbeya na Josephat Bulali wa Tanga, ulishuhudia miamba hiyo ikienda mapumziko bila kufungana licha ya kosakosa nyingi hasa kwa upande wa Yanga kupitia kwa Simon Msuva na Amisi Tambwe.
Katika dakika ya 39, Yanga ilipata pigo baada ya beki wa kushoto Edward Charles kuumia na nafasi yake kuchukuliwa na Juma Abdul.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku Yanga ikitawala kwa kiasi kikubwa na kuelekeza mashambulizi makali langoni mwa Mtibwa lakini umakini wa safu ya ulinzi ya timu hiyo ukaweza kudhibiti madhara yasiweze kutokea langoni mwao.
Mabadiliko yaliyofanywa na kocha wa Yanga, Hans van Pluijm kumtoa Kpah Sherman na kumuingiza Mrisho Ngassa yalibadilisha kabisa sura ya mchezo huo na kuliweka lango la wapinzani wao katika hali ngumu ndani ya dakika saba za mwanzo.
Dakika ya 53, Ngassa almanusura aipatie timu yake bao baada ya mpira aliopiga kugonga mwamba wa juu wa lango la Mtibwa.
Dakika mbili baadaye, Ngassa alisawazisha makosa na kufanikiwa kuiandikia Yanga bao la kwanza baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Msuva kuwatoka mabeki wa Mtibwa na kumimina krosi safi iliyomkuta mfungaji.
Wakati Mtibwa wakiendelea kujiuliza, Ngassa tena akaiandikia Yanga bao la pili katika dakika ya 62 akitumia vema pasi aliyotanguliziwa na Haruna Niyonzima na kisha kuwazidi mbio mabeki wa Mtibwa kabla ya kumpiga chenga kipa Said Mohammed na kufunga kwa urahisi.
Baada ya bao hilo, Yanga ikatawala kwa kiasi kikubwa mchezo huo wakitumia nafasi ya wachezaji wa Mtibwa ambao walionekana dhahiri kuchanganyikiwa na kukata tamaa hali iliyowafanya kukoswakoswa mabao mengine.
Kwa matokeo hayo, Yanga sasa imefikisha pointi 25 baada ya kushuka dimbani mara 13 na kuiacha Azam ikishika nafasi ya pili kwa kujikusanyia pointi zake 22 kutokana na mechi 12 ilizocheza.
Yanga iliwakilishwa na Ally Mustapha, Mbuyu Twite, Edward Charles/Juma Abdul (dk 39), Rajab Zahir, Nadir Haroub, Salum Telela, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Amisi Tambwe, Kpah Sherman/Mrisho Ngassa (dk 53) na Andrey Coutinho.
Mtibwa: Said Mohamed, Andrew Vincent, David Luhende, Ally Lundenga, Salim Mbonde, Shaaban Nditi, Ally Shariff/Ramadhani Kichuya (dk 62), Henry Joseph, Ame Ally, Ibrahim Rajab Jeba/Mohammed Ibrahim (dk 27) na Jamal Mnyate/Vincent Barnabas (dk 60).

SUMATRA YAWAPIGA DARASA WAMILIKI WA MABASI YA MASAFA MAREFU

$
0
0
Mamlaka ya Udhibiti Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imewanoa wamiliki wa mabasi ya masafa marefu  kuhusu usimamizi na udhibiti wa sekta ya usafiri wa barabara ili wazaidie  kupunguza na kutokomeza kabisa ajali baada ya kuwapatia semina maalumu.

Semina hiyo maalumu ya siku mbili iliyoanza juzi mjini Morogoro imewashirikisha viongozi wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania ( TABOA) wakiongozwa na Mwenyekiti wao Taifa, Mohamed Hood, na kufunguliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Shaaban Mwinjaka.
Dk Mwinjaka katika hotuba yake ya ufunguzi, aliwataka  wamiliki  wa mabasi kuwatumia madereva  wenye  weledi  ili kupunguza  ajali ikiwa na hatua ya kuwaendeleza kielimu katika vyuo  vya serikali  na vya ufundi stadi Veta.
Mbali na hayo, aliwataka wamiliki wa mabasi kushirikiana na vyombo vingine  kwa ajili ya kubaini mienendo ya madereva wao hasa suala la ulevi wanapokuwa kazini na mwendokasi, wakitambua  mabasi yao wameyanunua kwa gharama kubwa na pia yamebeba uhai wa maisha ya binadamu.
Hata hivyo, alisema aliwahakikishia wamiliki wa mabasi ya masafa marefu kuwa, Kamati iliyopewa jukumu ya kuangalia namna ya kurekebisha sheria za makosa yanayowahusu wamiliki na kwa madereva wao imefikia hatua nzuri na muda si mrefu utawekwa hadharani.
Pamoja na hayo, pia aliwataka wamiliki wa mabasi kuhakikisha  wanakuwa karibu kufuatilia kila jambo linalofanywa na dereva wake, kwani mwisho wa yote basi litabaki kuwa ni mali ya mmiliki na dereva ni mfanyakazi wake.
Naye Kamanda wa Kikosi  cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga  alisema  ajali za barabarani zinazohusisha  mabasi  hazitaweza  kupungua iwapo sheria  na kanuni  za mwaka 2007 kanuni 317 hazitazingatiwa  na wamiliki wa vyombo  hivyo  sambamba  na madreva  wao.
Naye  Mkurugenzi  Mkuu wa SUMATRA, Gilliard Ngewe, mada sita  ziliandaliwa na kutolewa kwa wamiliki wa mabasi ya masafa marefu, ikiwemo ya nafasi ya wamiliki wa vyombo vya usafiri katika kuimarisha usalama barabarani sambamba na nyingine ya kanuni ya taratibu za uwasilishaji makalamiko.

WAAFRIKA WAADHIMISHA MWAKA MPYA WA KICHINA

$
0
0
Waafrika wanaoishi na kusoma jijini hapa, wameshiriki na wenyeji katika sherehe za mwaka mpya wa China (Spring Festival) unaoadhimishwa kwa wiki moja kuanzia Februari 19 mwaka huu.

Walisherehekea mwishoni mwa wiki badala ya wakati husika kutokana na juma hilo kuwa na shughuli nyingi za China na pia watu wengi wakiwemo wenyeji husafiri nje ya miji kama Beijing kwa likizo muhimu ambayo wengi huipata mara moja kwa mwaka.
Sherehe hizo za Waafrika zilifanyika katika Kituo cha Kiafrika cha Beijing (BeijingAfrican Center) mjini hapa na kuhudhuriwa na watu mbalimbali kutoka mataifa ya Afrika na wenyeji Wachina.
Mratibu wa sherehe hizo na mwasisi wa kituo hicho, Tracy Qi ambaye ameishi Afrika Kusini kwa miaka 15, alisema lengo la sherehe hizo ni kuunganisha China na nchi za Afrika katika masuala muhimu ya kiutamaduni, kiuchumi na kijamii.
“Tunatengwa na mipaka ya kijiografia lakini sisi sote ni ndugu, nimeishi Afrika Kusini nusu ya maisha yangu nilionayo kwa sasa, nimefika Tanzania pia, hivyo ninawafahamu Waafrika walivyo wakarimu na wenye upendo, nia ya sherehe hizi ni kuwaleta watu pamoja, kufurahia na kujifunza tofauti zetu ili tuishi salama na kwa upendo,” alisema Qi.
Katika sherehe hizo, vyakula mbalimbali vya Kiafrika ikiwamo ugali, maharage, samaki, kisamvu, nyama za utumbo, sambusa, chapati na pilau pamoja na kahawa vilipikwa na wanafunzi wa Kiafrika kutoka Tanzania, Kenya, Msumbiji na Zimbabwe na kusababisha watu kugombea wakitaka kuhakikisha wanakula kila aina ya chakula cha Kiafrika. Kahawa iliandaliwa na wananchi wa Ethiopia.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mawasiliano cha China (CUC) na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti cha Afrika chuoni hapo, Profesa  Zhang Yangiu aliyewaongoza wanafunzi wa Kiafrika kupika na kushiriki sherehe hizo, alisema ni fursa nzuri kujifunza utamaduni wa Kiafrika kwa kuwa nchi nyingi za Afrika ni rafiki wa kindugu wa China.
Nao wanafunzi wa CUC walioshiriki sherehe hizo, walisema kwa nyakati tofauti kuwa, wamejifunza mambo mengi na wakapendekeza kila mara kuwepo na hafla ya kuwakutanisha na wenyeji (Wachina) ili kueleza zaidi mazuri ya Afrika na kutoa nafasi ya wananchi wa China kulielewa Bara la Afrika zaidi.
“Fursa hii ni ya pekee, inapaswa kuendelezwa, tukutanishwe kwa mijadala, tuelezane masuala yanayotuhusu, tuifahamu China na Wachina wazifahamu nchi zetu maana wengi wanadhani Afrika ni nchi moja kumbe hawajui ni zaidi ya nchi 52,” alisema James Mwita kutoka Kenya.
Mwaka mpya wa China hufanyika kila mwaka kulingana na kalenda ya Kichina inayozingatia mwandamo wa mwezi. Katika sherehe hizo, masuala mbalimbali ya kiutamaduni hufanyika, hupikwa vyakula maalum huku kukiwa na mavazi ya rangi maalumu ya mwaka na watu hupeana zawadi, ikiwemo fedha kwa mtindo mbalimbali ukiwamo ule wa kuziweka katika miavuli.

SHERIA MPYA YA VIBALI VYA AJIRA YAJA

$
0
0
Wizara ya Kazi na Ajira iko  katika mchakato wa kuandaa Sheria mpya ya utoaji wa vibali vya ajira kwa wageni ili kudhibiti kuajiriwa kwa wageni ili kufanya kazi ambazo Watanzania wenyewe wanaweza kuzifanya.

Alisema mchakato huo uko karibu kukamilika na utapelekwa bungeni kutokana na ratiba na kueleza kuwa itasaidia kudhibiti wafanyakazi wageni wanaoingia nchini bila utaratibu maalum na kusababisha kuajiliwa kwenye kazi ambazo wenyeji wanaweza kufanya.
Waziri katika wizara hiyo, Gaudentia Kabaka aliliambia Bunge kuwa sheria hiyo itatoa mwongozo juu ya utoaji vibali, kwani sasa kumekuwa na sehemu nyingi hivyo kuwa na sehemu moja pamoja na adhabu kwa wageni wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.
Alisema hivi karibuni walibaini wageni 300 walioingia nchini kufanya kazi katika kiwanda cha saruji cha Dangote, Mtwara kwa kazi zinazoweza kufanywa na watanzania.
Wakati huo huo, wafanyakazi zaidi ya 350 wa Kampuni ya mgodi wa Bulyanhulu waliodai kuachishwa kazi baada ya kupata madhara wakiwa kazini wametakiwa kwenda kwenye  Wakala wa Usalama na Afya  Mahali pa Kazi (OSHA)  kupimwa ili kuthibitisha iwapo walipata madhara hayo kutokana na kazi walizokuwa wakifanya ili kuweza kutibiwa.
Alisema kuwa OSHA ndiyo wenye mamlaka ya kuthibitisha kuwa wafanyakazi hao wameathirika na kwa  utaratibu walitakiwa kupeleka OSHA barua kutoka kwa mwajiri ili kuweza kupimwa na kujua athari walizopata wakiwa kazini lakini tangu wafukuzwe kazi mwaka 2007 hawakupeleka barua hiyo.
“Tumegundua kuwa wafanyakazi hao hawakuwa na uhusiano mzuri na chama cha wafanyakazi hivyo kusababisha ufuatiliaji wa suala hilo kuwa mgumu hivyo ninawaagiza kwenda OSHA Dar es Salaam wakapime kwani wako tayari wao pamoja na wengine 50 waliofukuzwa “alisema Kabaka.
Pia alitaka chama cha wafanyakazi migodini (TAMICO) kuwaunganisha wafanyakazi hao ili kufuatilia kwa pamoja na kuepusha kuwa mmoja mmoja.
Mbunge wa Kisarawe, Suleiman Jafo (CCM) alisema wafanyakazi hao wamekuwa wakihangaika katika ofisi mbalimbali ikiwemo kwenye Wizara ya Kazi na Ajira kufuatilia suala hilo.

UTAFITI WAWAPATIA VIJANA USHINDI WA KISHINDO URAIS 2015

$
0
0
Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (TEDRO), limesema katika utafiti walioufanya kuhusu ushiriki wa vijana katika siasa na matarajio kuelekea uchaguzi mkuu 2015, umeonesha kwamba endapo mgombea urais kijana atapendekezwa atakubalika kwa asilimia 82.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa shirika hilo, Jacob Kateri alisema katika wananchi hao waliohojiwa pia asilimia 11 walisema vijana hawatakubalika na asilimia saba walisema hawajui.
Alisema utafiti huo umeandaliwa na kufanyika Tanzania Bara na maeneo yaliyohusishwa ni kanda za kijiografia ili kuwezesha uhusishwaji mpana wa Watanzania na katika kila wilaya wamehojiwa wananchi wa vijiji vitatu kwa kuzingatia siasa za eneo husika.
Aidha alisema utafiti huo umeonesha sababu mbalimbali zinazoweza kuwa kichocheo cha vijana kuingia katika siasa ambapo zilizochukua uzito ni uzalendo kwa asilimia 67 ambapo wananchi walisema vijana wengi wameingia katika siasa kwa sababu ya uzalendo.
“Sababu nyingine ni kimbilio baada ya kukosa ajira kwa asilimia 57, uwezo mdogo wa watangulizi wao katika nafasi husika kwa asilimia 60, mafanikio ya wanasiasa vijana walio mahiri asilimia 72, vyama vya siasa kuwapa nafasi vijana katika vyama vyao kwa asilimia 59 na kukubalika kwa vijana kwa asilimia 63,” alisema.
Aidha alisema wanasiasa vijana waliopendekezwa kupitia chama tawala aliyeoonekana kuongoza kwa kukubalika ni Mwigulu Nchemba kwa asilimia 38, Dk Emmanuel Nchimbi kwa asilimia 26, January Makamba kwa asilimia 24, William Ngeleja kwa asilimia 11 na Lazaro Nyalandu kwa asilimia 10.
Wengine ni Hamisi Kigwangala kwa asilimia saba, Deo Filikunjombe kwa asilimia tano, Esther Bulaya kwa asilimia 2 na waliosema hakuna anayefaa walikuwa asilimia 9 na asilimia 13 walipendekeza wengine wasio vijana.
Utafiti huo pia unaonesha kwamba kijana anayepewa nafasi kubwa endapo atasimamishwa kupitia upinzani anayeongoza  ni Zitto Kabwe kwa asilimia 18, James Mbatia kwa asilimia 16, Tundu Lissu kwa asilimia 14, Halima Mdee kwa asilimia nne na David Kafulila kwa asilimia sita.
Wengine ni Julius Mtatiro kwa asilimia nne, John Mnyika kwa asilimia saba, Joshua Nassari kwa asilimia mbili, Moses Machali kwa asilimia nne na asilimia 11 ya wananchi walisema hawajui na asilimia 16 walisema hawaoni anayefaa.
Hata hivyo, utafiti huo ulionesha kwamba endapo wakishindanishwa vijana wote bila kujali itikadi zao anayeongoza  kwa kukubalika ni Mwigulu Nchemba kwa asilimia 27, Zitto Kabwe kwa asilimia 19, January Makamba kwa asilimia 14, James Mbatia kwa asilimia 11 na Emmanuel Nchimbi kwa asilimia nane.
Wengine ni Lazaro Nyalandu kwa asilimia saba, Tundu Lissu kwa asilimia tano, Hamis Kigwangala kwa asilimia nne, wengine waliotajwa wasio vijana ni asilimia nne na wasiofaa walikuwa ni asilimia mbili.
Mapema Mkurugenzi wa Mafunzo wa Utafiti wa TEDRO, Jackson Coy alisema utafiti huo wameufanya bila shinikizo kutoka kwa mtu yeyote na waliufanya kuhusu siasa kutokana na kwamba mwaka huu utafanyika uchaguzi mkuu.
Alisema lengo la utafiti huo limechambua ushiriki wa vijana katika siasa kama wagombea, mchango wa wanasiasa vijana katika kufuatia misingi ya utawala bora na uwajibikaji, utekelezaji wa ahadi za wagombea kwa wapiga kura na matarajio ya wananchi kwa vijana katika kuelekea uchaguzi mkuu.
“Utafiti tunaoendesha ni mwendelezo wa uchambuzi wa changamoto za elimu, ndani ya dira ya TEDRO na programu ya mchango wa elimu katika kufungua fursa za ajira, siasa ikiwa ni mojawapo ya fursa zenye kimbilio la vijana,” alisema.
Hadi sasa TEDRO inaendesha utafiti wa Mitandao ya Kijamii inavyoathiri wanafunzi wa sekondari na kutazama njia rafiki katika kutumia mitandao hiyo kama njia ya kujifunzia na kuendeleza sekta nzima ya elimu.
Utafiti huu uliotarajiwa kuhusisha wilaya 24 Tanzania Bara, umeendeshwa katika wilaya 18, kila wilaya ikiwa imewakilishwa na wahojiwa 45 waliochaguliwa 15 kutoka kila kijiji; hivyo utafiti huu kuhusisha vijiji 54 kwa ujumla.
Wilaya ambapo utafiti umefanyika ni Njombe Mjini, Ludewa, Mbeya Mjini, Kilwa, Lindi Mjini, Mtwara Mjini, Morogoro Mjini, Kisarawe, Kinondoni, Tanga Mjini, Vunjo, Arumeru, Singida, Kasulu, Kigoma Mjini, Bukoba Vijijini, Biharamulo na Mwanza Mjini (Nyamagana).
Katika utafiti huu uliohusisha watu 910, taarifa binafsi za wahojiwa zilizokusanywa ni pamoja na zile zinazohusu umri wa wahojiwa, jinsia, hali ya ndoa, kazi, kiwango cha elimu na vyama vya siasa vinavyoongoza majimbo sehemu uchaguzi ulipofanyika. 
Lakini wakati matokeo hayo ya utafiti yakianikwa, kwa upande wa CCM, Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akiwa mjini Songea, Ruvuma alikokuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 38 ya chama hicho, alisema chama chake bado hakina mgombea mpaka sasa.
Aidha, alitumia fursa hiyo kuwataka Watanzania kuwashawishi wanaoonekana kuwa na uwezo wa kuongoza huku wakiwa hawana 'madoa’ waweze kujitosa katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.

ARE EGYPTIANS PAYING THE PRICE OF PROTEST?

$
0
0

“They call him ‘Youssef the terrorist’,” says Om Youssef, “So when I visit him in the police station, I tell them I’m the mother of the terrorist, what else can I say?”

Youssef is 15 years old. He was arrested late last September on his way to class. Since then he has been held in a police station in his hometown of Fayoum, south of Cairo. The date for his trial has not yet been set.
Om Youssef did not know where her son was for four days after his arrest. While he was under investigation he says he was beaten and electrocuted.
Youssef is accused of causing an explosion at a kiosk in the city. He admitted the charges after those four days with the police.
Gen Abu Bakr Abdel Karim, an aide to the Interior Minister, denies that beating and electrocution take place in Egyptian police stations.
“If that were ever to happen,” he says, “police officers would be held accountable.”
Protests ‘only way’
Youssef’s lawyer, Yasmine Hosam El-Din, was finally able to see him on the fifth day after his arrest, and a photograph she took shows his face covered in scratches. She says there is no evidence against him.
Youssef’s father was killed when an anti-government sit-in in Cairo was violently dispersed in 2013. His mother believes that is why her son was arrested – because the police are afraid he will take revenge for his father’s death.

12 SIMPLE WAYS TO BE MORE ATTRACTIVE

$
0
0

We want one thing common: being more attractive. But the purpose for being attractive varies. What’s yours? Well, you needn’t share! To strike your attractive physique, maintain these tips and you will be surprised seeing how magically they work!

1. Keep Smile

Keep a smile on your face. When you smile, you look more friendly and approachable. People feel comfort to deal with you. No matter what your are feeling inside, smile!

2. Maintain Facial Hair

It is important to take care of facial hair. Men should shave regularly. If you want to maintain long beard, you should keep that neat and trim. Women should shape eyebrows properly.

3. Keep Hair Tip-top

Your hair is just like your crown! So take care of it. A nice look is the first step to attract someone. Get regular haircuts as it is important for your hair to be healthy. Keep your hair clean and tidy. It is really important for attractive appearance.

4. Wear Fit Clothes

Your dress is really important. People like one who is dressed properly. So, take care of what you are wearing. Buy the clothes that fit you properly. Oversized or too tight clothes make you look odd.

5. Maintain Proper Eye Contact

Proper eye contact is important when you are talking to someone. If you maintain eye contact properly, people will feel important and be happy. Some people feel shy to maintain eye contact. That’s not a big problem. Start with your close ones. Maintain proper eye contact while talking to them. Then, try it with strangers.

6. Walk Confidently

Be confident while walking. Do you know how to walk with confidence? Keeping your body relaxed and holding eyes and head up help you look confident. Making you look confident is a great part of being attractive.

7. Smell Nice

No one likes one who smells bad. All your efforts to make yourself attractive can end in smoke if you smell bad. So be careful about this fact. Take shower every day and use deodorant regularly. Brush your teeth properly. You may use medication to get rid of bad breath.

8. Be Relaxed

Are you seared all the time thinking what others are thinking of you? If yes, you should fight to kick away this habit. Be confident and open yourself to others. Communicate with them and be easy. Nervousness isn’t liked. So, be confident and relaxed while dealing with people.

9. Laugh and Make Laugh

There’s a saying, “laughter is a good medicine”. When you laugh, people around you feel comfortable and are more likely to be happy with you. Laughter can make you look attractive. Most importantly, if you can make people laugh you make them happy. And you are treated with the same emotions.

10. Body Language

Your body language is important. If you look busy in your body language, people are likely to avoid you. They will think that you don’t want to be disturbed. But if you are easy and relaxed, people will feel comfortable to approach you.

11. Ask Questions

Don’t try to speak about you all the time. While gossiping with someone ask questions. But don’t ask anything inappropriate. When you ask questions, people think that you are interested to know about them and they feel important.

12. Wear Bright Color

Wear colorful clothes. Be careful to avoid some colors which can be inappropriate because of the tone of your skin or the ambience of the place to go. Usually, bright colors attract people. You also look more confident.
Viewing all 4558 articles
Browse latest View live