WAKULIMA WA MPUNGA KASULU WALILIA SOKO
Wakulima wa mpunga katika Bonde la Titye wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wamesema changamoto kubwa ni soko la uhakika la mazao yao.Wakizungumza wakati wa ziara ya Balozi wa Ubelgiji nchini, Koen Adama...
View ArticleWHY BARCELONA SHOULD CONSIDER SELLING MESSI
By Peter StauntonThe current contractual standoff between Barcelona and Lionel Messi is only likely to end one way - with the top scorer signing a mammoth new deal which will be the richest in...
View ArticleMISSING MALAYSIAN AIRLINES
A view of oil slicks (pale line near the bottom right) spotted in an area of the South China Sea about 100 nautical miles (185 km) from Tok Bali Beach in Malaysia's Kelantan state March 9, 2014. The...
View ArticleMISSING MALAYSIAN AIRLINES
A picture taken by personell of a Vietnamese search aircraft and made available by Tienphong.vn on March 9, 2014 shows what is believed to be a piece of debris of missing Malaysia Airlines airplane at...
View ArticleARSENAL BOLSTER HOTEL SECURITY AFTER SERIES OF LATE-NIGHT PROBLEMS
Arsenal have bolstered pre-match security at their team hotels to ensure players are not disturbed the night before a match.The decision has been taken following the recent furore surrounding Olivier...
View ArticleArticle 18
Washiriki wa Shindano la kumsaka mrembo wa kitongoji cha Tabata (Miss Tabata 2014) wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa kutambulishwa katika Ukumbi wa Dar West.
View ArticleArticle 17
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa anga wakiwa kwenye banda lao wakati wa maonyesho.
View ArticleArticle 16
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akipanda mti wakati wa kampeni ya upandaji miti mjini Unguja.
View ArticleArticle 15
Sehemu ya waumini wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Iringa wakifuatilia mahubiri ya Askofu Owdenburg Mdegela wakati wa maadhimisho ya ibada ya Pasaka jana.
View ArticleWANAFUNZI WA GOBA WAFARIKI WAKIOGELEA BWAWANI
Wanafunzi wawili wa Shule ya Msingi Goba, wamekufa baada ya kuzama wakati wakiogelea katika dimbwi la maji ya mvua.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema wanafunzi hao ni Frank...
View ArticlePADRI AHOJI MAADILI YA UKAWA KWA WAASISI WA TAIFA
Hatua ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kukashifu Waasisi wa Muungano, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, imezidi...
View ArticleMEYA CHADEMA AMDUNDA MGAMBO WA KIKE ARUSHA
Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe, anadaiwa kumpiga mgambo wa kike na kusababisha alazwe katika Hospitali ya Levolosi.Msofe ambaye ni Diwani wa Kata ya Daraja Mbili kwa tiketi...
View ArticleKAULI YA MAGUFULI YAWASIKITISHA WAKAZI WA KIVULE
Wananchi katika eneo la Kivule, katika Wilaya ya Ilala wamesikitishwa na kauli ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwamba madaraja yote katika Jiji la Dar es Salaam, sasa yanapitika, wakati eneo la...
View ArticleMADIWANI WA ZANZIBAR WATOA POLE KWA JIJI LA DAR
Madiwani wa Manispaa ya Zanzibar, wametoa pole kwa uongozi wa Jiji la Dar es Salaam kutokana na mafuriko yaliyoikumba hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 25.Akizungumza jijini Dar es...
View ArticlePENGO AHIMIZA WATANZANIA KULIOMBEA BUNGE LA KATIBA
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycap Kardinali Pengo, ametuma salamu za Pasaka kwa Watanzania wote huku akisisitiza kuliombea Bunge Maalumu la Katiba.Alisema...
View ArticleWATOTO 78 WAZALIWA KWENYE MKESHA WA PASAKA
Watoto 78 wamezaliwa usiku wa Pasaka katika hospitali mbalimbali za jijini Dar es Salaam, wa kiume wakiwa 44 na wa kike 29.Kwa upande wa Hospitali ya Mkoa ya Amana, Msimamizi wa Hospitali hiyo Getruda...
View ArticleSHULE YAZAWADIA WALIMU KWA KUFAULISHA
Bodi ya Shule ya Sekondari ya Gongo la Mboto iliyopo Ulongoni B katika Manispaa ya Ilala, imetoa zaidi ya Sh milioni 2.8 kwa walimu wa shule hiyo , kama motisha baada ya kufaulisha vizuri wanafunzi...
View ArticlePADRI ATAKA WABUNGE KUACHA KUTETEA MASLAHI BINAFSI
Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutambua kwamba karama na uwezo waliopewa ni kwa ajili ya kuandaa Katiba mpya ya kuipeleka Tanzania kwa miaka zaidi ya 50 ijayo na siyo kujikita katika...
View ArticleWANAOJICHUKULIA SHERIA MKONONI WASHUTUMIWA
Mtandao wa watu wanaotumia dawa za kulevya Tanzania (TaNPUD), umeomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaochukua sheria mkononi dhidi ya watumia dawa za kulevya kwa kuwaona wao ni wahalifu na hawafai...
View Article