Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

A MAN FACED USD 525 FINE FOR SODA REFILL

A man who faced a $525 fine for refilling an 89-cent drink at a Veterans Affairs hospital apparently will get off with a warning.When Christopher Lewis of North Charleston, S.C., refilled his drink...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI

  

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIMBABWE'S MUGABE SLAMS EUROPE'S 'HOMOSEXUAL NONSENSE'

Zimbabwe's strong man ruler Robert Mugabe lashed out at Europe's "homosexual nonsense" and condemned the refusal of its leaders to accept his grip on power in his latest marathon tirade on Friday."The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 21

Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza jambo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano) Samia Suluhu, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Muungano lililofanyika mjini Unguja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 20

Wafanyakazi wa benki ya CBA wakigawa vyakula na vitu mbalimbali kwa watoto wanaolelewa kwenye kituo cha kulea watoto yatima cha Malaika Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 19

Mabasi ya kampuni ya UDA yakiwa yameegeshwa kusubiria abiria wanaokwenda Kivukoni, Dar es Salaam.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 18

Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Muungano katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar jana. (Picha na Ofisi ya Makamu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

  

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIMBI LA WAVUVI KUUAWA ZIWANI LATIKISA SENGEREMA

Kumekuwepo na wimbi la wavuvi kuvamiwa, kunyang'anywa  mali zao na kuuawa na wahalifu katika Ziwa Victoria wilayani Sengerema.Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo, amesema hali hiyo inatishia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TMA: MSIDHARAU TAARIFA ZA UTABIRI WA HALI YA HEWA

Watanzania wametakiwa kutodharau tafiti na taarifa, zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwani mabadiliko ya mara kwa mara ya hali ya hewa yanayotokea yanaweza kuleta madhara. Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE UKAWA WAAPA HAWARUDI NG'O BUNGE LA KATIBA

Licha ya itikio la Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta la kuwa tayari kuzungumza na wajumbe wa bunge hilo wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wajumbe hao wametangaza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAZI WA SINZA AUNGUA MOTO USONI HADI MIGUUNI

Mkazi mmoja wa eneo la Sinza jijini Dar es Salaam, amejeruhiwa vibaya baada ya chumba chake kuteketea kwa moto uliozuka ghafla.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHE 500 YA KARAFUU YAPANDWA UNGUJA NA PEMBA

Zaidi ya miche ya karafuu 500,000 imepandwa Unguja na Pemba katika kipindi cha mvua za masika zinazoendelea nchini kote. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili, Dk Juma Abdallah alisema hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA TUMBI HAINA CT SCAN WALA X-RAY

Hospitali Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani ya Tumbi, ina ukosefu wa vifaa vya kupimia magonjwa mbalimbali,  vikiwemo CT Scan na X-Ray.Pia, hospitali hiyo iliyopo wilayani Kibaha, inakabiliwa na uhaba wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABIRIA WA BODABODA APIGWA RISASI TABATA MATUMBI

Mtu mmoja ambaye hajafahamika, aliyekuwa amepakiwa kwenye pikipiki, amejeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni.Abiria huyo ambaye jina lake halikupatikana, anadaiwa kupigwa risasi na askari wanaolinda Benki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE IKO TAABANI, WALIMU WAISHI KWENYE DARASA

Shule ya Msingi Mwamashimba katika Kata ya Mwamalasa wilayani Kishapu Shinyanga, inakabiliwa na ukosefu wa vyoo, madawati na nyumba za walimu, hali inayosababisha baadhi ya walimu kuishi kwenye vyumba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI ZAUA WATU SABA WILAYANI BUNDA

Watu saba wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali za barabarani  na majini wilayani Bunda Mkoa wa Mara. Kwa mujibu wa Polisi, ajali hizo ni za juzi na jana, ambapo ya kwanza ni ya gari ndogo...

View Article

MVUA YABOMOA NYUMBA 300 RORYA

Nyumba 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.Sambamba na uharibifu huo, mvua hiyo pia imeharibu ekari 500 za mazao ya mahindi, mtama, muhogo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEJEMBI ATAKA VIJANA NA WAZEE KUJIKITIKA KWENYE KILIMO

Wazee wastaafu na vijana wametakiwa kuelekeza nguvu kwenye sekta ya kilimo ili waweze kujiajiri wenyewe, kwani  ndio ukombozi wa maisha.Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Pancras Ndejembi...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live