MWANDISHI WA HABARI MKONGWE AFARIKI DUNIA
Mwandishi wa Habari Mkongwe, Maurus John Sichalwe amefariki dunia asubuhi ya kuamkia jana nyumbani kwake Mwananyamala Kanisani akiwa na umri wa miaka 83. Taarifa iliyotolewa na mtoto wa marehemu,...
View ArticleCONGO PROVINCE POISED TO START CERTIFIED 'CONFLICT-FREE' TIN EXPORTS
By Peter Jones (Reuters)Democratic Republic of Congo's tin producing North Kivu province may begin exports of certified 'conflict-free' minerals as soon as next week after the roll-out of a new barcode...
View ArticleHOPELESS MOYES SINKS TO MISERABLE NEW LOW AT MAN UNITED
How embarrassing from Manchester United. How feeble. How hopeless. Just how? How on earth has it got quite this bad? Champions in name for only a fortnight longer, it will be 12 months on Tuesday since...
View ArticleArticle 1
Uwanja wa Taifa jana jioni muda mfupi kabla ya tamasha la Pasaka kuanza,Tamasha la pasaka limeandaliwa na kampuni ya Msama Promotions Ltd.
View ArticlePOLICE INVESTIGATE COCAINE SCANDAL AT MAJOR FOOTBALL CLUB IN ENGLAND
Police have been called in to investigate an alleged drugs scandal at a major football club in England, according to a report.The Observer revealed on Sunday that senior members of staff at the club –...
View ArticleAJALI YA BASI YAUA WATU 10, YAJERUHI WENGINE 30
Watu 10 wamekufa papo hapo na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilayani Tarime mkoani Mara kwenda jijini Mwanza jana.Kamanda wa Polisi wa...
View ArticleWANAFUNZI VYUO VIKUU WAWASIHI UKAWA KUREJEA BUNGENI
Wanafunzi kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano. Waliyasema hayo...
View ArticleSERIKALI KUDHIBITI WASICHANA KWENDA CHINA
Serikali imesema iko katika mikakati kuhakikisha inadhibiti vitendo vya wasichana kwenda China bila sababu maalumu ikiwa ni njia ya kudhibiti vitendo vya watoto wa kike kujihusisha kwa biashara ya...
View ArticleCHUO KIKUU INDIA KUWAKOMBOA VIJANA
Chuo Kikuu cha Rajendra Singh cha nchini India kimesema kipo tayari kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kuwapatia vijana elimu ya masuala ya kibiashara waweze kujiajiri na kuwaajiri wengine...
View ArticleNDEGE ZILIZOACHWA NA NYERERE BADO ZINAFANYA KAZI
Wakala wa Ndege za Serikali umesema unajivunia kuwa na ndege mbili zilizoachwa na Hayati Mwalimu Julius Nyerere zinazohudumia viongozi wote wa Muungano hadi sasa.Ofisa Masoko wa wakala huo, Monica...
View ArticleMOTO WATEKETEZA MADUKA NA NYUMBA YA MBUNGE
Moto umezuka mjini Dodoma na kusababisha maafa katika maeneo mbalimbali ikiwemo nyumba ya Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Makilagi iliyoteketea na mali mbalimbali. Wakati nyumba hiyo ya Mbunge na Katibu...
View ArticleMKUU WA WILAYA MOSHI CHANG'A AFARIKI, KUAGWA LEO
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang’a amefariki dunia na mwili wake utaagwa leo jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya aliliambia gazeti hili jana kwamba Chang’a alifariki...
View ArticleTTCL YATOA MISAADA VITUO VYA WATOTO YATIMA
Wakati Wakristo duniani kote wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka, Kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imetumia fursa hiyo kutoa msaada wa vyakula kwa vituo vitatu vya watoto yatimaAkikabidhi msaada...
View ArticleKIWANDA EPZA CHAPATA MASOKO MAREKANI, UINGEREZA
Kiwanda cha nguo katika eneo la Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) jijini Dar es Salaam, kimepata masoko Marekani na Uingereza ambako kinauza jeans na fulana zinazozalishwa. Meneja...
View ArticleKAMPUNI ZA WATANZANIA ZAPIGIWA DEBE
Serikali imeombwa kuzijengea uwezo na kuzipa kipaumbele kampuni za ujenzi za ndani katika miradi mikubwa kwa kuwa zina uwezo wa teknolojia na vifaa vya kisasa.Hayo yalisemwa na Meneja Miradi wa...
View ArticleTANZANIA KUPATA MAABARA INAYOTEMBEA
Katika kupambana na magonjwa ya mlipuko kama Ebola, Tanzania itakuwa nchi ya pili barani Afrika kwa kuwa na maabara inayotembea.Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Taasisi ya...
View ArticleDRC, TANZANIA WATAKA MSAADA KUNUSURU ZIWA TANGANYIKA
Serikali ya Tanzania na ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetaka Jumuiya ya Kimataifa na marafiki wengine kutoa msaada wa hali na mali katika juhudi za nchi hizo kutekeleza mradi unaohusisha...
View ArticleArticle 5
Wakazi wa Dar es Salaam wakipita kwenye Daraja la Mto Msimbazi lililoharibiwa na mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini eneo la Jangwani jana.
View ArticleArticle 4
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR), Dk. Mwele Malecela akizunumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam jana kuhusu kufanyika kwa kongamano la...
View Article