Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4593 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIFO CHA MAMA MJAMZITO CHAZUA TAFRANI SUMBAWANGA...

Kifo cha mjamzito aliyekuwa akijifungua katika kituo cha afya Mtowisa, wilayani Sumbawanga,  kimezua tafrani baada ya wananchi kushambulia gari la kubeba wagonjwa  wakitaka kulichoma kwa madai kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGILI SASA WAFANYA KUFURU, WAUA TEMBO WAWILI KILA SIKU...

Tembo 60 wameuawa na majangili kwenye hifadhi mbalimbali nchini  katika mwezi mmoja tangu operesheni tokomeza isitishwe. Mauaji hayo yametajwa kufanyika katika Hifadhi za Selous, Rungwa, Burigi, Katavi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHAEL SCHUMACHER MAHUTUTI BAADA YA KUBAMIZA KICHWA KWENYE JABALI...

KUSHOTO: Schumacher alipokuwa akitamba kwenye Formula One. KULIA: Akiserereka kwenye barafu.Bingwa wa zamani wa mbio za magari za Formula One, Michael Schumacher yuko hoi mahututi hospitalini baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA DINI YA KIYAHUDI ASHITAKIWA KWA KUFYEKA UUME WA KITOTO KICHANGA...

KUSHOTO: Rabbi Mordechai Rosenberg. JUU: Oparesheni hiyo ilidumu kwa saa 8. CHINI: Sherehe hizo zilifanyika mahali hapa.Mkuu wa dini ya Kiyahudi kutoka Pittsburgh, Pennsylvania anashitakiwa kwa kufyeka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMANDA ERNEST MANGU ATEULIWA KUWA MKUU MPYA WA JESHI LA POLISI

IGP Ernest Mangu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana amemteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.Taarifa iliyotolewa jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI: VINYWAJI VYA KUONGEZA NGUVU MWILINI NI HATARI KWA AFYA...

Vinywaji baridi vyenye lengo la kuongeza nguvu vinadaiwa kuwa hatari kwa afya ya watumiaji baada ya kubaini baadhi ya kemikali husababisha madhara mwilini. Watumiaji wa vinywaji hivyo wamehadharishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI TATU YAENDELEA KUTAWALA RASIMU YA KATIBA MPYA...

Jaji Joseph Warioba akihutubia wakati alipowasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba, Dar es Salaam, jana.Muundo wa serikali tatu umeendelea kuwa ndani ya Rasimu ya Katiba iliyokabidhiwa jana kwa Rais Jakaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA WALIONASWA NA KONTENA LENYE MENO YA TEMBO JANUARI 16...

Polisi wakikagua kontena hilo mara baada ya kukamatwa Zanzibar hivi karibuni.Upelelezi wa kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 7.5 inayowakabili watu sita waliokamatwa Zanzibar,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATISHIA KUJITUPA KUTOKA JUU YA MNARA KUSHINIKIZA AONANE NA RAIS KIKWETE...

Jamaa huyo kama anavyoonekana katika picha mbalimbali wakati wa tukio hilo.Mkazi wa Kipera mkoani Morogoro, Hassan Kibwana jana alifunga mwaka kwa mtindo wa aina yake, baada ya kupanda juu ya mnara wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEI MPYA YA UMEME KUANZA MAKALI LEO, GESI YA MAJUMBANI NAYO BEI JUU...

Nyaya za umeme.Maumivu ya huduma ya umeme leo yanaanza kuwapata wananchi baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) kulikubalia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kupandisha bei ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASIMU YA KATIBA MPYA YAKATAA WABUNGE WENYE ELI YA DARASA LA SABA...

Jaji Joseph Warioba akikabidhi Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya kwa Rais Jakaya Kikwete, Dar es Salaam juzi.Rasimu mpya ya Katiba imekataa watu wenye elimu ya chini ya kidato cha nne kugombea ubunge. Pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALAMU ZA HERI NA FANAKA ZA MWAKA MPYA 2014...

Tunawatakia wasomaji wetu na Watanzania wote kwa ujumla Heri na Fanaka za Mwaka Mpya 2014. Tunatumia fursa hii kuwashukuruni wote kwa kutuunga mkono kwa kipindi chote cha mwaka 2013 pamoja na michango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDICHO KIINI CHA AJALI YA MELI YA MV KILIMANJARO...

Mawasiliano duni kati ya Mamlaka ya Usafiri wa Baharini na nahodha wa meli ya MV.Kilimanjaro II, yanadaiwa kwa kiasi kikubwa yamechangia vikosi vya uokozi, kushindwa kufika katika eneo la ajali kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAULI ZA MABASI MOSHI-DAR ZAPANDA HADI KUFIKIA 50,000/-...

Stendi Kuu ya mabasi Moshi.Nauli kutoka mkoani Kilimanjaro kwenda Dar es Salaam zimepaa kutoka Sh 18,000 hadi Sh 50,000.Hali hiyo inatokana na ulanguzi wa tiketi, unaodaiwa kufanywa na mawakala wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WAJITOKEZA KUMZIKA DK MGIMWA KIJIJINI KWAKE IRINGA...

Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal na mkewe, Zakia Bilal (kulia) wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dk. William Mgimwa katika viwanja vya Karimjee, Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE AENDELEA KUWAGARAGAZA AKINA MBOWE NA WENZAKE...

Mashabiki wa Zitto Kabwe wakishangilia ushindi wa Mbunge huyo mahakamani jana.Wafuasi wanaounga mkono uongozi wa Chadema chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe, jana waliondoka mahakamani kwa huzuni, baada...

View Article
Browsing all 4593 articles
Browse latest View live