Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASIMU YA MAHAKAMA YA KADHI ZANZIBAR YAIVA...

Msikiti mkongwe wa Chake Chake, Pemba.Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Rasimu ya Mahakama ya Kadhi imekamilika na inatazamiwa kuwasilishwa katika ngazi za makatibu wakuu kabla ya kufikishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEMUUA KIKATILI DEREVA WA BODABODA NAYE AUAWA KIKATILI...

Jacob Mwaruanda.Wananchi  wamemuua mtuhumiwa wa  mauaji  wakati akijaribu kutoroka kutoka  mjini  Namanyere  wilayani Nkasi, mkoani Rukwa.Mtuhumiwa huyo Denisi  Gagala  (31 ) mkazi  wa Kitongoji  cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO 124 WAZALIWA MKESHA WA SIKUKUU YA KRISMASI DAR...

Baadhi wa wazazi katika Hospitali ya Mwananyamala.Watoto 124 wakiwemo wa kiume 80 wamezaliwa katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi katika hospitali za Dar es Salaam  huku wengi wakiwa wa kiume.Watoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GESI, MAFUTA, DHAHABU NA PEMBE ZA NDOVU KUIANGAMIZA TANZANIA...

Mtambo wa Gesi ya Msimbati.Watanzania wametakiwa kuwa makini na mali na rasilimali za nchi, ikiwemo gesi, mafuta, pembe za ndovu na dhahabu kwani zimeanza kuonesha dalili za kugawa Taifa.Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AMUUA MPENZI WAKE KWA KUMVUTA KORODANI ZAKE...

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Usiulize wilayani Meatu kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake kwa kumvuta korodani, kutokana na wivu wa kimapenzi.Kamanda wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALAJI NYAMA YA NGURUWE HATARINI KUPATA UGONJWA WA KIFAFA...

Nyama ya nguruwe.Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAZIRI WANNE WALIOTIMULIWA WAZUNGUMZIA KILICHOWASIBU...

Mawaziri waliotimuliwa, kutoka kushoto ni David Mathayo, Shamsi Vuai Nahodha, Emmanuel Nchimbi na Khamis Kagasheki.Baada ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri watatu na mmoja kujiuzulu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBARONI KWA KUSAFIRISHA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA...

Polisi mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24  zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUAWA KWA KUKUTWA UCHI KWENYE SHIMO LA DHAHABU...

Mkazi wa Kijiji cha Kapanda  Wilaya ya Mlele  Mkoa wa Katavi, Yunge  Maboja  (70)  amekufa  baada ya kushambuliwa  na wananchi  kwa kupigwa na  silaha za jadi, ngumi na mateke  baada ya kukutwa mtupu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEI YA VITALU UTAFITI WA GESI ASILIA HAIKAMATIKI...

Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuyaalika rasmi makampuni ya wazawa yenye uwezo wa kifedha na kitaalamu kushiriki katika zabuni  ya kutafuta wawekezaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI YAPIGA MARUFUKU ULIPUAJI FATAKI MWAKA MPYA...

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku ulipuaji wa fataki wakati wa sherehe za mkesha wa Mwaka Mpya, kutokana na sababu za kiusalama.Imeelezwa kwamba zuio hilo, linatokana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOMBA LA GESI LAAJIRI VIJANA 400, WATAALAMU 200 WAZAWA PIA KUAJIRIWA...

Mradi wa ujenzi wa bomba la gesi umetengeneza ajira mpya 400 kwa vijana tangu ulipoanza Agosti.  Aidha, kuna mpango wa kuajiri wataalamu wa gesi, mafundi sanifu na mchundo wazawa wasiopungua 200 katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

APIGWA HADI KUFA KATIKA FUMANIZI LA MAPENZI KIGOMA...

Mtu mmoja mkulima na mkazi wa eneo la Kumsenga wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, aliyefahamika kwa jina la Yusuph Pascal, ameuawa kwa kupigwa na vitu mbalimbali katika tukio linalodaiwa kuwa ni fumanizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASILIMIA 96 YA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KUJIUNGA SEKONDARI...

Asilimia 96.15 ya wanafunzi wa darasa la saba waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu na kufaulu, ndio waliochaguliwa kujiunga na sekondari za serikali.Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUA MKEWE KWA KUMCHARANGA MAPANGA BAADA YA KUDAIWA UNYUMBA...

Kamishna Dhahiri Kidavashari.Mwanamke  mkazi  kitongoji  cha Tulieni  kijijini Tumaini  wilayani  Mlele, Rehema  Lubinza (47) ameuawa  kikatili  kwa  kucharangwa  na mapanga na mumewe  kisha  mwili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA PAPA ATAKASA KANISA LILILOPIGWA BOMU ARUSHA...

KUSHOTO: Askofu Fransisco Padilla. KULIA: Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi la Olasiti siku lilipopigwa bomu.Hatimaye Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi la Olasiti jijini hapa lililopigwa bomu...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live