OPERESHENI TOKOMEZA UJANGILI YAENDA NA MAWAZIRI WANNE...
KUTOKA KUSHOTO: Balozi Khamis Kagasheki, Dk Emmanuel Nchimbi, Shamsi Vuai Nahodha na Dk David Mathayo.Rais Jakaya Kikwete ametangaza kutengua uteuzi wa mawaziri wake wanne kufuatia wabunge kuungana...
View ArticleWAZIRI MUHONGO AMSHUKIA REGINALD MENGI KUHUSU UMILIKI WA VITALU...
Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) na Reginald Mengi.Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema baadhi ya wazalendo nchini wanamiliki vitalu kwa asilimia 70 lakini baadhi yao...
View ArticlePADRI KATOLIKI KIZIMBANI KWA KUSHINDWA KUTUNZA MTOTO SINGIDA...
Kanisa Katoliki limeingia kwenye kashfa baada ya mmoja wa mapadri wake katika Jimbo Katoliki Singida, Deogratius Makuri kufikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Utemini mjini hapa, akituhumiwa kushindwa...
View ArticleZITTO AAPA KUENDELEA KUPIGANIA DEMOKRASIA CHADEMA...
Kabwe Zitto katika moja ya mikutano yake Kigoma.Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini mkoani Kigoma, Kabwe Zitto amesema kuwa ataendelea kupigania haki yake ya kidemokrasia na uwajibikaji ndani ya chama...
View ArticlePINDA ATANGAZA VITA NA WALAFI SERIKALINI, 866 WASHUGHULIKIWA...
Mizengo Pinda.Watumishi 866 wa serikali wamechukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria kwa ubadhirifu wa fedha katika halmashauri mbalimbali nchini.Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri Mkuu...
View ArticleMAZIKO YA MANDELA UTATA MTUPU, BAADHI WAHOJI KAMA ALIVIRINGWA NGOZI YA...
Jeneza lenye mwili wa Mzee Nelson Mandela wakati wa heshima za mwisho kijijini Qunu.Siku ya maziko rasmi ya kiongozi wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela katika kijiji alichokulia cha...
View ArticleHOTUBA YA MIZENGO PINDA AKIHITIMISHA MOJA YA MIKUTANO YA KUVUTIA YA BUNGE...
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 14 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 21...
View ArticleSERIKALI KUAJIRI WALIMU 26,000 KUANZIA MWEZI UJAO...
Kassim Majaliwa.Serikali imetangaza kutoa ajira mpya 26,000 za walimu kuanzia Januari mwakani, ikiwa ni mpango endelevu wa kupunguza uhaba wa walimu katika shule za msingi na sekondari nchini.Naibu...
View ArticleWAZEE WACHACHAMAA WINNIE KUTEUA KIONGOZI WA FAMILIA YA MANDELA...
Winnie Mandela.Wazee wa ukoo wa kichifu wa Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, AbaThembu, wameelezea kukasirishwa na kauli ya mke wa zamani wa kiongozi huyo, Winnie, kumteua mwanawe wa kike,...
View ArticlePOLISI WAKIRI KUFANYA MAKOSA OPERESHENI TOKOMEZA UJANGILI...
Haya ni moja ya mateso yanayodaiwa kufanywa dhidi ya raia wakati wa utekelezaji operesheni hiyo.Jeshi la Polisi, limekuwa la kwanza kati ya taasisi saba zinazohusika moja kwa moja, kukiri udhaifu...
View ArticleMUME NA MKE WAMCHANGIA MTALAKA NA KUMNYOFOA MDOMO RUVUMA...
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linafanya uchunguzi kuhusu tukio la mume na mke kumshambulia mtalaka wake Faustina Komba (35) mkazi wa jiji la Mbeya kwa kumpiga ngumi, makofi na kumng'ata mdomo wake wa...
View ArticleKANISA LAAMRIWA KUZIMA KENGELE ZAKE, KISA? ZINA MADHARA KWA AFYA...
Kanisa la St. Mary's.Kanisa moja limefungiwa kupiga kengele zake usiku sababu kelele hizo 'zina madhara kwa afya'.Kengele hizo katika Kanisa la St. Mary's huko Ashwell, Hertfordshire, zimekuwa...
View ArticleMJANE MWEUPE SAMANTHA ANASWA AKIONDOKA KAMBI YA MAFUNZO YA KIGAIDI KWA NGAMIA...
Samantha Lewthwaite.Mjane mweupe wa Uingereza anaaminika kuwa anasuka mipango mipya ya mashambulio ya ugaidi kutoka kwenye kambi ya mafunzo inayohusishwa na Al Qaeda baada ya kuonekana akiondoka kwa...
View ArticleLIPUMBA AIONYA CHADEMA KUHUSU MGOGORO...
Profesa Ibrahim Lipumba.Chama cha Wananchi (CUF) kimekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumaliza mgogoro wake ili kuweka nguvu kwenye Bunge la Katiba linalotarajiwa kuanza...
View ArticleMAENEO YA PWANI KUKUBWA NA DHORUBA...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehadharisha juu ya kutokea upepo mkali utakaoambatana na mawimbi makubwa katika maeneo ya pwani mwa bahari ya Hindi leo.Taarifa iliyotolewa na TMA kwa vyombo...
View Article