Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Alhamisi Machi 12, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJINA YA ABIRIA WOTE AJALI YA BASI LILILOUA 42 MAFINGA HAYA HAPA

"Ni ajali ambayo haijawahi kutokea katika maeneo haya," ni baadhi ya maneno yaliyosikika kutoka kwa wakazi wengi wa mjini Mafinga na vitongoji vyake, ambao jana walishuhudia ajali  katika historia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEREVA KUPELEKWA MAFUNZO YA MIEZI 6 KUZUIA AJALI

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia, amesema katika kudhibiti ajali za mara kwa mara nchini, Serikali inatakiwa kuchukua hatua za haraka na kuwapeleka madereva wote wa abiria katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGANGA 55 MWANZA WAKAMATWA KWA RAMLI CHONGANISHI

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia waganga wa kienyeji 55 wanaopiga ramli chonganishi na kusababisha madhara makubwa yakiwemo ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASICHANA WADOGO WANAOBEBA MIMBA WAONGEZEKA

Msichana mmoja kati ya wanne wenye umri wa  miaka 15 hadi 19 ni mjamzito au ana mtoto, imeelezwa.Idadi hii inawakilisha maisha halisi na kuonesha kwamba kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YASUBIRI BARUA YA SPIKA KUHUSU ZITTO

Tume ya Uchaguzi imesema  hata ikipokea barua  kutoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe haina uwezo wa kuchukua hatua yoyote mpaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA 99 WAFICHA BILIONI 200 USWISI

Kushamiri kwa fedha haramu nchini kunakofanywa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu ndani na nje ya nchi, kumeisababishia taifa hasara ya bilioni 590/- (dola milioni 328) kila mwaka, imeelezwa.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOKUFA AJALI YA BASI MAFINGA SASA WAFIKIA 50

Miiliya watu wanane tu kati ya watu 50 walikufa katika ajali ya juzi, iliyohusisha basi na lori katika eneo la Changarawe, Mafinga mkoani Iringa, ndiyo iliyotambuliwa mpaka mchana.Idadi ya marehemu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

15 THINGS TO DO IN STONE TOWN, ZANZIBAR

The oldest part of Zanzibar is the medieval city of Stone Town. It is small in area but big in personality, with striking architecture, winding alleyways, mouthwatering cuisine, fragrant spices, and...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO IJUMAA

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Ijumaa Machi 13, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEAUTY INGREDIENTS FROM AFRICA THAT YOU DIDN’T KNOW YOU USE

Some of the most popular products on the market that lighten us, tighten us, lift saggy parts and protect us from the elements are made with ingredients from African plants and trees. Beauty and...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

10 CELEBRITIES WHO WERE IN A COMA AND SURVIVED

Next time you’re enjoying one of these celebrities on the big screen, or watching them bare it all on reality TV, or hearing them wailing through your iTunes, you might appreciate them a little more...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMA YA CHENGE NA WENZAKE MIKONONI MWA RAIS

Hatima ya tuhuma za Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge na wenzake kuhusu fedha walizopata kutoka iliyokuwa akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT), itapelekwa kwa Rais Jakaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Jumamosi Machi 14, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEJIFANYA KATIBU WA IKULU ATIWA MBARONI DAR

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia mkazi wa Mbagala Rangi Tatu, Haroub Mtopa (44) kwa kujifanya mtumishi wa umma kupitia cheo cha Katibu wa Rais, Jakaya Kikwete, Prosper...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO ALBINO ANUSURIKA KUUAWA NA WAWINDAJI MPIRANI

Mtoto wa umri wa miaka sita, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), anayeishi Kijiji cha Ndoleleji, amekoswakoswa na watu waliokuwa wakimvizia akiwa katika michezo, baada ya watoto wenzake kuchukua uamuzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA MZITO WAIKUMBA UDSM, WANAFUNZI WATANO KWA MPIGO WAFARIKI AJALINI

Wanafunzi watano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ni miongoni mwa watu 50 waliokufa katika ajali ya basi la Majinja, lililogongana na lori katika eneo la Changarawe Mafinga mkoani Iringa.Makamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AMFAGILIA KINANA, ASEMA HAJAWAHI KUTOKEA

Aliyekuwa Waziri Mkuu  na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), hakijawahi kupata Katibu Mkuu hodari na mchapakazi wa mfano wa Abdulrahman Kinana, tangu kuanzishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA OSAKA LAGONGA LORI LIKIWA NA ABIRIA 57 DODOMA

Abiria 57 wa basi la Osaka lililokuwa linatoka Bukoba kwenda Dar es  Salaam wamenusurika kifo baada ya basi hilo kugonga tela la lori lililokuwa limeegeshwa kutokana na kuwa bovu na kutumbukia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS AJITABIRIA MWISHO WAKE VATICAN

Akiwa katika maadhimisho ya kuanza mwaka wa pili wa utume wake katika kuongoza Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis, ametoa kauli kuashiria kuwa huenda asidumu katika wadhifa huo kwa muda...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live