Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumko wa bei wa taifa kwa mwezi Februari umeongezeka hadi kufikia asilimia 4.2 kutoka asilimia 4.0.Mkurugenzi waSensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa NBS,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘WAGANGA’ WALAANI MAUAJI YA ALBINO

Shirikisho la Vyama vya Tiba Asili Tanzania limelaani  mauaji wanayofanyiwa walemavu wa ngozi, vikongwe na kunajisi watoto yanayofanyika kwa baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.Akizungumza na waandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAAMEDI 700 WATUNUKIWA VYETI VYA KIMATAIFA

Kampuni ya bia ya Serengeti imewatunuku vyeti wahudumu wa baa 700, walioshiriki mafunzo ya kimataifa ya Diageo Master Academy (MBA), yaliyoandaliwa kwa ajili ya kuwapa wahudumu hao ujuzi wa kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTUHUMIWA FEDHA ZA ESCROW AJIKOROGA

Mkurugenzi Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Dk James Diu, amejichanganya mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kuhusu matumizi halisi ya fedha alizozipokea kutoka kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WACHOMA MAKAZI YA WACHIMBAJI 3,500 MIRERANI

Moto mkubwa uliozuka usiku wa kuamkia jana katika machimbo ya madini ya tanzanite yaliyopo Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara, umeteketeza kabisa makambi ya migodi 17, ikiwemo mitambo ya uchimbaji, na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI AHUSISHWA KUUA MWANAJESHI AMBONI

Wakazi 10 wa jijini hapa, akiwemo mwanafunzi wa sekondari wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wakikabiliwa na makosa matano tofauti kuhusu tukio la kuwanyang’anya polisi silaha pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOUIS VAN GAAL CRITICISES ANGEL DI MARIA, HITS OUT AT PRESS AFTER FA CUP EXIT...

Louis van Gaal hit out at Angel Di Maria after the Argentinian was sent off for grabbing referee Michael Oliver's shirt in Manchester United's FA Cup quarter-final defeat to Arsenal. The Gunners set up...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF YAFUNGA PAZIA LA WAGOMBEA UBUNGE, UDIWANI

Chama cha Wananchi (CUF) jana kilihitimisha zoezi la uchukuaji fomu za kuwania ubunge na udiwani.Akizungumzia zoezi hilo, Msemaji wa Chama hicho, Abdul Kambaya alisema mwisho wa kuchukua fomu kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDIO CHANZO CHA MBU ANAYELETA HOMA YA DENGUE

Asilimia kubwa ya mazalio ya mbu Aedes aliyeambukiza virusi vya Dengue katika jiji la Dar es Salaam mwaka jana, huzaliwa kwenye vyombo vya plastiki na matairi ya magari, utafiti umebaini.Aidha, kiwango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ASHINDA MILIONI 10 ZA MENGI

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ardhi, Viana Mulokozi ameibuka mshindi wa Sh milioni 10 za shindano la 3N,  linaloendeshwa na  Mwenyekiti  wa Makampuni ya IPP, Dk Reginald Mengi.Licha ya Viana ambaye ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJAMZITO AFARIKI BAADA YA KUANGUKIWA NA MTI KOROGWE

Ndugu wawili akiwemo mwanamke mwenye ujauzito wa miezi saba, wamefariki dunia katika kijiji cha Zege kata ya Dindira wilayani Korogwe, wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa vibaya baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA WA MTOTO ALBINO, WAGANGA 10 WATIWA MBARONI

Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu 17 wakiwemo waganga wa jadi 10 wakihusishwa na tukio la kikatili  katika kijijini cha Kipeta, Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga  ambako mtoto mlemavu  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO ZITTO ALIVYOTIMULIWA CHADEMA NA KUVULIWA UBUNGE

Hatima ya ubunge wa Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), sasa iko njia panda.Hali hiyo inatokana na hatua ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Jumatano Machi 11, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKWELI KUHUSU MTOTO WA FLORA MBASHA HUU HAPA

Mwimbaji wa nyimbo za injili, Florence Mayala maarufu kama Flora Mbasha amekiri kuwa mtoto aliyejifungua hivi karibuni ni wa Emmanuel Mbasha (32) na kwamba bado anampenda mumewe huyo.Flora alidai hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS!!! ABIRIA WOTE WAHOFIWA KUFA AJALI YA BASI LA MAJINJA MAFINGA

Habari zilizotufikia zinasema kwamba watu wapatao zaidi ya 60 wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Changarawe, wilayani Mafinga,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAWAKAMATA WAPIGA RAMLI 225

Jeshi la Polisi nchini limesema limewakamata wapiga ramli  225 katika Mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga Katavi, Rukwa na Kagera.Kati ya hao, 97 tayari wamefikishwa mahakamani kwa makosa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PADRI FEKI WA MOROGORO APANDISHWA KIZIMBANI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imempandisha kizimbani Josephat Asenga (47) mhasibu wa kujitegemea ambaye ni padri feki mkazi wa mtaa wa Lusanga, kwa mashitaka ya udanganyifu na kujifanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFISADI MWINGINE WA MILIONI 700 WIZARA YA NISHATI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa maelekezo kwa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG) kufanya uchunguzi wa Sh milioni 699 zinazodaiwa kutolewa na Wizara ya Nishati na Madini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASOMI WAIPIGIA MAGOTI CHADEMA IMSAMEHE ZITTO

Wasomi na wachambuzi wa masuala ya siasa nchini, wamekishauri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumsamehe Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto kwa kuwa bado anahitajika kujenga chama...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live