UPELELEZI KESI YA LWAKATARE NA MWENZAKE BADO KUKAMILIKA
Upelelezi wa kesi ya kula njama ya kudhuru kwa sumu, inayomkabili Mkurugenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilfred Lwakatare na mwenzake bado haujakamilika.Wakili wa Serikali Genes...
View ArticleTANESCO YAKIRI ‘MADUDU’ KATIKA MFUMO WA KUUZA LUKU
Shirika la Ugavi na Usambazaji wa Umeme nchini (TANESCO), limekiri kuwepo na matatizo ya mfumo wa kununua Luku, ulioanza Ijumaa jioni wiki iliyopita hadi jana na kuwa matatizo hayo yanatokana na mfumo...
View ArticleMKE NA MUME WASOTA RUMANDE KWA KUMWOZESHA BINTI WA MIAKA 10
Mke na Mume wanaotuhumiwa kumuoza binti wa miaka 10 jana walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma Mjini huku Mahakama ikifunga dhamana yao hadi kesi hiyo itakapomalizika.Washtakiwa hao...
View ArticleWAUAJI WA ALBINO SASA WATANGAZIWA HALI YA HATARI
Rais Jakaya Kikwete amezungumzia hali ya usalama wa nchi, ikiwemo uvamizi wa vituo vya Polisi, uporaji wa silaha ulioambatana na vifo vya askari na kusema matukio hayo, baadhi yake yana dalili za...
View ArticleVILIO, SIMANZI VYATAWALA MAZISHI YA KAPTENI KOMBA
Rais Jakaya Kikwete jana ameongoza mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kuaga mwili wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba aliyefariki Jumamosi jioni katika Hospitali ya TMJ...
View ArticleNAMIBIAN PRESIDENT WINS $5M MO IBRAHIM AFRICAN LEADERSHIP PRIZE
Outgoing Namibian President Hifikepunye Pohamba has won the Mo Ibrahim Foundation’s $5 million African leadership prize, an award that recognizes good governance and has been given just five times in...
View ArticleYASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU
Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Jumatatu Machi 3, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo...
View Article12 THINGS ISABEL DOS SANTOS HAS THAT YOU DO NOT
Let’s start by listing the one thing she has and that you will never have, which has allowed her to have everything else on this list. Isabel dos Santos is the daughter of a president, the first known...
View Article10 BREAKFAST FOODS THAT BOOST YOUR METABOLISM ALL DAY
We all love to blame our weight on a slow metabolism, and want to boost ours, but what is metabolism anyway? Metabolism is the process by which your body converts what you eat and drink into energy....
View Article12 CLUBS THAT COULD WIN THE 2015 CAF CHAMPIONS LEAGUE
In two weeks, the First Round of the 2015 CAF Champions League will be played. Thirty-two teams from all around Africa will take part, and we at AFKSports have compiled a slideshow of 12 teams we...
View Article10 WAYS PATRICE LUMUMBA PAID FOR HIS BELIEFS
Patrice Lumumba was the first prime minister of the Republic of Congo and is credited with making great strides to free the region from Belgian colonization. Many of his tactics were questioned and...
View ArticleAZAM FC YAMALIZANA NA MAKOCHA WAKE
Uongozi wa Azam FC umesema umemalizana na makocha wake Joseph Omog (pichani) na Ibrahim Shikanda na wako huru kuondoka muda wowote kwani hawana wanachodai.Akizungumza na mwandishi, Meneja wa Azam FC,...
View ArticleSERIKALI YASITISHA TIKETI ZA KIELEKTRONIKI UWANJA WA TAIFA
Serikali imesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam hadi kasoro zilizopo katika matumizi ya tiketi hizo zitakapoondolewa.Kwa mujibu wa taarifa za Shirikisho la...
View ArticleSHERIA YATUNGWA KUDHIBITI OMBAOMBA
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam inakusudia kutunga sheria kadhaa ndogo, ikiwemo ya kudhibiti ombaomba na uendeshaji wa soko la samaki Feri.Sheria nyingine zinazotarajiwa kutungwa ni...
View ArticleWATANO KORTINI KWA KUMDHALILISHA ASKARI POLISI
Wafanyabiashara watatu na wanachuo watano wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida wakikabiliwa na mashitaka ya kumdhalilisha kupindukia askari polisi wa kike na kumsababishia...
View ArticleMAITI WATATU WENYE MAJERAHA WATELEKEZWA MJOHORONI
Watu watatu wanaume wasiofahamika, wamekutwa wamekufa na kutelekezwa maeneo ya Mjohoroni wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, huku miili yao ikionesha majeraha maeneo tofauti pamoja na kuvuja damu nyingi...
View ArticleMBARONI KWA KUUA WAZEE WATATU KWA MADAI WANAZUIA MVUA
Watu wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wakimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.Kauli hiyo ilitolewa na...
View ArticleTMA YATAHADHARISHA UKAME MWAKA HUU
Hali ya ukame inatarajiwa kukabili nchi kutokana na upungufu wa mvua utakaoathiri pia upatikanaji wa nishati ya umeme. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehadharisha juu ya hali hiyo na kutaka...
View ArticleBEI YA MAFUTA YAENDELEA KUPOROMOKA
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kuendelea kushuka kwa bei ya mafuta bei ambazo zinaanza kutumika Jumatano hii.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka hiyo,...
View ArticleRAIS KIKWETE AMWAGA CHOZI MAZIKO YA KAPTENI KOMBA
Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa Mbunge wa Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba ukishushwa kaburini, kwenye maziko...
View Article