NDEGEVITA YA JWTZ YAANGUKA NA KUTEKETEA MWANZA
Ndegevita ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyokuwa katika mazoezi, imeanguka na kuteketea moto huku rubani wake akiumia wakati akijiokoa katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza.Taarifa...
View ArticleKOBE 250 WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE ZANZIBAR
Kobe wadogo 250, wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakiwa njiani kusafirishwa kwa njia ya magendo kwenda Malaysia.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,...
View ArticleKIVUKO CHA DAR-BAGAMOYO KUTUMIA MASAA MAWILI TU KWA SAFARI
Kivuko cha Mv Dar es Salaam, kinachotarajiwa kutoa huduma ya usafirishaji wa abiria kutoka Dar es Salaam kwenda Bagamoyo, jana kilifanyiwa majaribio ya safari ambapo kilitumia saa tatu, huku ikielezwa...
View ArticleHATIMA YA WANAOSAKA URAIS WA CCM LEO
Kamati Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia...
View ArticleYASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI
Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Jumamosi Februari 28, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha...
View ArticleYANGA YASONGA MBELE KOMBE LA SHIRIKISHO, AZAM KIBARUANI LEO
Yanga imeingia raundi ya kwanza ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kufungwa mabao 2-1 na BDF XI ya Botswana katika mechi ya marudiano ya raundi ya awali usiku wa kuamkia leo mjini...
View ArticleCELEBRITIES WITHOUT MAKEUP
KATE MOSS: Many celebrities look gorgeous on the red carpet, but it is important to not forget that they have multiple makeup artists at their disposal to give them a quick touch up at a moments...
View Article12 THINGS YOU DIDN’T KNOW ABOUT DOCTORS WITHOUT BORDERS IN AFRICA
As our hearts go out to Paris and France, recently attacked by anti-Semitic hijackers of Islam and the world, it’s comforting to honor a French-born organization that helps heal the world.During the...
View ArticleBREAKING NEWS!!! KAPTENI JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA
Habari zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kwamba Mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM), Kapteni mstaafu John Damian Komba amefariki dunia.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, Kapteni Komba amefariki...
View ArticleLUIS SUAREZ STARS AS BARCELONA CLOSE GAP ON REAL MADRID
Luis Suarez capped a fine week with another goal as Barcelona moved to within a point of Real Madridwith a 3-1 victory at Granada in La Liga. Suarez, who struck twice in the midweek triumph over...
View ArticleWAYNE ROONEY BRACE DOWNS SUNDERLAND
Wayne Rooney grabbed a brace to help Manchester United bag all three points at Old Trafford but there was controversy in the second half as referee Roger East sent off Wes...
View ArticleEL MERREIKH YAIFUNGASHA VIRAGO AZAM, KMKM NAYO NJE
Safari ya timu ya soka ya Azam FC kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika imefikia kikomo baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-0 mbele ya vijana wa El Merreikh ya Sudan katika mechi iliyomalizika...
View ArticleSAIDO BERAHINO STUNNER GIVES WEST BROM 1-0 WIN OVER LETHARGIC SOUTHAMPTON
West Brom moved eight points clear of the relegation zone thanks to Saido Berahino’s outstanding volley in the opening moments of their 1-0 win over Southampton. With just over a minute played, Craig...
View ArticleSIMBA YAWARARUA MAAFANDE WA PRISONS 5-0
Timuya Simba leo jioni ilitoa kipigo kikali kwa Prisons ya Mbeya kwa kuibugiza mabao 5-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara uliopigwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.Ushindi huo mnono wa Simba...
View ArticleVIONGOZI WA DINI KUCHUNGUZWA MIENENDO YA UTUME WAO
Serikali imetakiwa ichunguze viongozi wa madhehebu ya dini ya Kikristo na Kiislamu nchini, ili ijiridhishe na mienendo ya utume wao wa kuhubiri injili na sala kwa wananchi.Lengo la uchunguzi huo,...
View ArticleHIVI NDIVYO MAUTI YALIVYOMKUTA KAPTENI JOHN KOMBA
Ni huzuni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jimbo la Mbinga Magharibi, Taifa, marafiki na familia, baada ya kufikwa na msiba mkubwa wa kiongozi, Mbunge,...
View ArticleTIBAIJUKA, CHENGE, NGELEJA WASIMAMISHWA CCM
Kamati Kuu ya CCM (CC) imewasimamisha uongozi wa vikao vya chama, vigogo watatu wa chama hicho, akiwemo Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kutokana na...
View ArticleYASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI
Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Jumapili Machi 1, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo...
View ArticleOIL & GAS AFRICA: DISPUTES SIMMER OVER EXPLORATION RIGHTS IN EASTERN AFRICA
The discovery of large reserves of oil and gas has raised the profile of eastern Africa countries, with the potential of joining world’s energy producers. But the new found reserves have brought a...
View ArticleTAZARA SASA KUSUKWA UPYA KIMFUMO NA UTENDAJI
Serikali ya Tanzania na Zambia zimekubali kulisuka upya Shirika la Reli la nchi hizo (Tazara), kwa kufanya marekebisho ya kimfumo na kiutendaji ili kutatua matatizo ya kimuundo na kimenejimenti...
View Article