Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LA LIGA: LIONEL MESSI SCORES HAT-TRICK AS BARCELONA PUT FIVE PAST LEVANTE

Lionel Messi bagged a hat-trick, with Luis Suarez coming off the bench to score a stunning scissor volley, as Barcelona thumped Levante 5-0 to close the gap on Real Madrid to just one point.Luis...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FA CUP: OLIVIER GIROUD DOUBLE PUTS ARSENAL INTO QUARTER-FINALS

Arsenalsauntered into the quarter-finals of the FA Cup courtesy of an Olivier Giroud brace in a 2-0 win over Middlesbroughat Emirates Stadium. The Gunners controlled proceedings from start to finish,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KMKM YAJIWEKA PABAYA KLABU BINGWA AFRIKA

Mabingwa watetezi wa Zanzibar, KMKM imeanza vibaya kampeni yake ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 mbele ya mabingwa wa Sudan, Al Hilal katika mpambano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOFAULU LA SABA WATAKIWA KURIPOTI KABLA YA MACHI 28

Serikali imeagiza wakuu wote wa mikoa, kuweka mikakati ya kuhakikisha watoto wote waliofaulu mitihani ya darasa la saba, wanajiunga na shule za sekondari katika kipindi hiki kabla ya Machi 28 mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAKANA KUANDAA MGOMBEA UBUNGE ARUSHA

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, imesema chama hicho hakina mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, aliyeandaliwa hadi sasa.Kimesema mgombea  mwenye sifa za kulikomboa jimbo hilo, ambalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE ZA VIPAJI ZASHINDWA KUFURUKUTA KIDATO CHA NNE

Shule za sekondari za Serikali zinazochukua watoto wenye  vipaji, zimeshindwa kung'aa kwenye matokeo ya kidato cha nne 2014 huku shule ya Ilboru ya mjini Arusha ikiwa ni shule ya kwanza ya Serikali na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHITIMU JKT KUANDAMANA IKULU KUDAI AJIRA JUMATATU IJAYO

Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wanatarajia kufanya maandamano ya siku tatu mfululizo usiku na mchana jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatatu ijayo, kushinikiza kuonana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWA ZILIZOPIGWA MARUFUKU ZAZAGAA MITAANI

Licha ya Mamlaka ya Chakula, Dawa na Vipodozi (TFDA) kufuta usajili na kupiga marufuku uuzaji wa dawa duni, zenye madhara na zisizofaa kwa matumizi ya binadamu, dawa hizo zimegundulika kuuzwa holela na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF WAITIKISA UKAWA, YATANGAZA LIPUMBA KUWANIA URAIS

Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa chama hicho, atakayewania nafasi ya Urais.Pia chama hicho, kimetoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPAMBANO MAKALI YAENDELEA KUWASAKA ‘AL SHABAAB’ TANGA

Kutokana na wahalifu waliopambana jana na polisi na Jeshi la Wananchi (JWTZ) kutokamatwa, hali ya wasiwasi imeendelea miongoni mwa wakazi wa mjini hapa.Sasa wananchi hao wameiomba Polisi kutoa tamko,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya leo Jumatatu Februari 16, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CELEBRITIES WITHOUT MAKEUP

TYRA BANKS: Many celebrities look gorgeous on the red carpet, but it is important to not forget that they have multiple makeup artists at their disposal to give them a quick touch up at a moments...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COTE D’IVORE VETERAN KOLO TOURE RETIRES FROM INTERNATIONAL FOOTBALL

Cote D’Ivoire have lost the services of a long time servant and experienced defender, Kolo Toure, following the Liverpool player’s decision to retire from the Ivorian national team after their 2015...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INCUBATORS: WHO NEEDS THEM AND HOW SUCCESSFUL ARE THEY?

Incubators have been exploding across the African continent over the last decade, aiming to maximize economic opportunity, especially for youth, where traditional employment has become less and less...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANASWA AKIWA NA LUNDO LA VYETI FEKI

Mtu anayetuhumiwa kwa utapeli, amekamatwa wilayani Hanang’ mkoani Manyara akidaiwa kuwa na vyeti bandia vitatu vya ajira tofauti akidai ni mwalimu, ofisa mifugo na polisi. Mtuhumiwa huyo, Hamis Yusufu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJIRA 40,735 ZAZALISHWA MIEZI MITATU

Ajira 40,735 zimezalishwa ndani ya miezi mitatu kuanzia Oktoba hadi Desemba mwaka jana na kufanya jumla ya ajira 173,787 kupatikana kwa kipindi cha nusu mwaka kuanzia Julai hadi Desemba mwaka jana....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUZWAGI KUSITISHA UCHIMBAJI WA DHAHABU

Kampuni ya Acacia inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Buzwagi mkoani Shinyanga, imesema ndani ya miaka miwili, itasitisha shughuli za uchimbaji na uzalishaji madini hayo, kutokana na soko kuzidi kushuka....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ULINZI MKALI KESI YA WAFUASI WA UAMSHO

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, iliimarisha ulinzi wakati kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI WA MIAKA 13 ATAWAZWA CHIFU WA WAHEHE

Mwanafunzi wa Darasa la Saba, Adam Abdul Sapi (13) ametawazwa kuwa Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, aliyefariki na kuzikwa mkoani Iringa. Rais  Jakaya Kikwete alishiriki maziko ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOSI MAMLAKA YA BANDARI ASIMAMISHWA KAZI

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande kutokana na kile kilichoelezwa kuwa uendeshaji mbovu wa utoaji wa zabuni.Aidha,...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live