Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA MKOMBOZI YATINGA KWA KISHINDO SOKO LA HISA DAR

Hisaza benki ya biashara ya Mkombozi,  jana ziliingia kwenye  Soko la  Hisa la Dar es Salaam  (DSE) kwa kishindo huku bei yake ikipanda kwa asilimia 50 kutoka Sh 1,000 hadi 1,500."Haya ni mafanikio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJIZALISHA NA KUTUMBUKIZA KICHANGA KWENYE NDOO

Msichana mmoja mkazi wa Mtaa wa Zaire eneo la Kijenge Kaskazini mkoani Arusha, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru chini ya ulinzi mkali wa Polisi baada ya kujizalisha mwenyewe na kisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'WALIOMUUA' DK SENGONDO MVUNGI WALETA KIZAZAAZAA KORTINI

Washitakiwa wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Edmund Mvungi (pichani), jana waligoma kutoka katika chumba cha mahakama na kukaa kizimbani kwa muda hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA KUBWA DAR MAJANGA, MTOTO ASOMBWA AKIWA AMELALA

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa jijini Dar es Salaam baada ya mvua kubwa kunyesha kwa takribani saa mbili mfululizo.Mvua iliyonyesha jijini Dar es Salaam, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI AJIZOLEA MILIONI 3/- ZA BIMA KUTOKA BAYPORT

Taasisi ya kifedha inayojihusisha na utoaji wa mikopo ya Bayport Tanzania, imempatia Sh milioni tatu mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu kishiriki cha Mkwawa (MUCE), Kennedy Kaupenda, kufuatia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA HALI YA HEWA YASEMA MSIMU WA MVUA UMEKWISHA

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015. Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk Agnes Kijazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKIMU AJITOA KESI YA UGAIDI YA SHEKE FARID

Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Hellen Riwa amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YAUA WANNE MOSHI, YAJERUHI WATATU HANDENI

Watu wanne wamekufa na watatu wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti, zilizotokea Moshi mkoani Kilimanjaro na Handeni mkoani Tanga.Katika ajali ya Moshi, watu wanne wamefariki papo hapo na wengine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO - DESEMBA 31

     

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WANAWAKE 19 WA TANZANIA KUZURU CHINA

Wabunge wanawake 19 wa Bunge la Tanzania wako China katika ziara ya siku 11 yenye lengo la kubadilishana na kujifunza kwa wenzao masuala ya uongozi na wanavyojihusisha kwenye shughuli za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA AHIMIZA WATOTO WASOME SHULE JIRANI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki ametaka  wazazi kuandikisha watoto wao katika shule zilizo jirani na maeneo wanayoishi kuwaepusha na usumbufu.Akizungumza na mwandishi,  Sadiki alisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYELAWITI MTOTO ATUPWA JELA MIAKA 30

Mahakama ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa Madibira wilayani hapa kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano.Aliyehukumiwa kutumikia kifungo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MSIERRA LEONE ALIYEUAWA AKITOROKA WASOTA MUHIMBILI

Wakati mwili wa mtuhumiwa wa dawa za kulevya, Abdul Koroma (33) aliyeuawa wakati akijaribu kutoroka ukiendelea kuhifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kipolisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEI ZA PETROLI, DIZELI, MAFUTA YA TAA ZASHUKA

Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa, imeshuka kuanzia kesho, huku watumiaji wa petroli wakipata nafuu zaidi kutokana na kuuzwa chini ya Sh 2,000 baada ya kipindi cha muda mrefu.Kutokana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC ATOA SIKU 5 ALBINO ALIYEPORWA APATIKANE AKIWA HAI

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametoa siku tano kuanzia juzi Jumatatu kwa watendaji, sungusungu na wakazi wa kijiji cha Ndami, tarafa ya Mwambashimba wilayani Kwimba kuhakikisha mtoto mwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANO WAFA AJALINI WAKIMPELEKA MJAMZITO HOSPITALI

Watuwatano wakiwamo watatu wa familia moja wamekufa na wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUKRANI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABIRIA WAHOFIWA KUFA MAJI ZIWA TANGANYIKA

Watu saba wanahofiwa kufa maji na wengine 49 wameokolewa kutokana baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kukumbwa na dhoruba katika eneo la vijiji vya mwambao wa kusini wa ziwa Tanganyika.Kamanda wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMUUA MDAI WAKE KWA KUKERWA KUDAIWA 80,000/-

Mwanamke mmoja Caseline Mzee (75) mkazi wa kijiji cha Guta Wilayani Bunda, Mkoani Mara, ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kunyongwa shingo na kisha mwili wake kutupwa ndani ya mto ukiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ILALA YAANDIKISHA WATOTO 23,113 DARASA LA KWANZA NA LA AWALI

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imeshaandikisha wanafunzi  23,113 wa awali na darasa la kwanza kwa ajili ya kuanza masomo katika shule mbalimbali za manispaa hiyo.Ofisa Habari wa Manispaa hiyo, David...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live