Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - SEPTEMBA 09

    

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHINGA WAJIHALALISHIA UWEPO WAO KATIKATI YA JIJI

Wafanyabiashara ndogo (wamachinga) wamedai hatua ya kuondolewa katika maeneo mbalimbali ya jiji  wasifanye biashara, huenda ikachukua muda mrefu kufanikiwa, kwa kile walichodai wana ‘mikataba’ maalumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LAUA WATU WANNE NA KUJERUHI 35

Ajali nyingine imetokea nchini na safari hii imehusisha basi la Air Bus lililokuwa likitoka  Dar es Salaam kwenda  Tabora.Ajali hiyo iliyotokea mkoani Morogoro jana, ilisababisha  vifo vya watu wanne...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA YAONYA KUHUSU MITANDAO YA BURE

Mamlaka ya Mawasilino Tanzania(TCRA), imehadharisha juu ya matumizi ya mitandao ya bure ‘WiFi’ katika maeneo ya halaiki kufanya miamala ya fedha. Aidha Mkuu wa Kitengo cha Huduma ya Mawasiliano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRL YAKOPESHWA SHILINGI BILIONI 12

Kampuni ya Reli ya Kati (TRL) imepata mkopo wa Sh bilioni 12 kutoka Benki ya Maendeleo (TIB) kwa ajili ya kuongeza mtaji wa uendeshaji. Makabidhiano ya mkopo huo yalifanyika  jana kati ya Mkurugenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HASHIM ISSA AWA MWENYEKITI BARAZA LA WAZEE CHADEMA

Safu mpya ya Baraza la Wazee Taifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imetangazwa ambayo Mwenyekiti wake ni mkazi wa Zanzibar, Hashim Juma Issa.Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAMAD RASHID KUMVAA MAALIM SEIF URAIS ZANZIBAR

Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ametangaza kugombea urais  wa Zanzibar huku akimtuhumu na kumkosoa Katibu Mkuu wa chama chake, Seif Hamad. Alitumia  jukwaa la Bunge  Maalum la Katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHINA WA 'SAMAKI WA MAGUFULI' WADAI MELI YAO

Raia wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki kinyume cha sheria,  wamewasilisha barua kwa Msajili wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kutaka warudishiwe Meli ya Tawariq 1 na samaki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAOKOA SHILINGI BILIONI 40 ZA MISHAHARA HEWA

Serikaliimeokoa Sh bilioni 40  zinazodaiwa zilikuwa zikiingia kwenye mifuko ya watu wachache kutokana na ulipaji wa mishahara hewa. Naibu  Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa kauli hiyo  kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINE ZA KISASA ZAFUNGWA KUJIKINGA NA EBOLA

Katika jitihada za Serikali kuimarisha mifumo ya kukinga taifa na maambukizi ya virusi hatari vya homa ya ebola, mashine mpya sita za kisasa zaidi za kukagua wageni wote wanaofika nchini kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DARASA LA SABA KUANZA MTIHANI WA MWISHO KESHO

Wanafunzi 808,111 wa Darasa la Saba kesho wanaanza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika kwa siku mbili mfululizo. Akizungumza jana Kamishna wa Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUBALIANO YA KIKWETE, UKAWA KUWEKWA HADHARANI KESHO

Mazungumzo kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa, yamefanyika vizuri katika Ikulu ndogo ya Dodoma na kufikia makubaliano katika baadhi ya maeneo.Akizungumza na waandishi wa habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE KIMEELEWEKA WAFANYAKAZI TAZARA

Wafanyakazi  wa Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA)  wamelipwa mishahara yao ya miezi minne waliyokuwa wakidai . Hatua hiyo imemaliza mgogoro uliodumu muda mrefu kati ya mamlaka hiyo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YONA KUANZA KUJITETEA MATUMIZI MABAYA YA OFISI

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona leo anaanza kujitetea mahakamani dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7. Yona pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AANGUKA KWENYE BODABODA NA KUKANYAGWA NA GARI

Mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 amekufa papo hapo baada ya kudondoka kwenye pikipiki aliyokuwa amepanda na kisha kukanyagwa na gari.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASIMAMIZI WA MITIHANI DARASA LA SABA WAONYWA

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi  imewataka wasimamizi wa mitihani ya darasa la saba unaotarajiwa kufanyika leo kufanya kazi kwa umakini na kujiepusha na vitendo vya udanganyifu.Hayo yalisemwa jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO - SEPTEMBA 10

       

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATETEA VIONGOZI KUFUNGUA AKAUNTI NJE YA NCHI

Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba wametetea viongozi kufungua akaunti nje ya nchi wakisema uongozi si utumwa. Wajumbe Charles Mwijage (pichani)  na Jasson Rweikiza walisema kuwakataza wasifanye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUALA LA URAIA PACHA BADO 'JIWE GUMU' BUNGE MAALUMU

Uraia pacha kwa Watanzania walioko nje ya nchi jana uliendelea kutawala katika mijadala kwenye Bunge la Katiba huku wengi waliochangia wakikubaliana wasio na uraia Katiba iruhusu wapewe chini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MV KIGAMBONI KUANZA TENA KUTOA HUDUMA KESHO

Kivuko cha Mv Kigamboni kilichokuwa kwenye matengenezo, kinatarajiwa kuanza kutoa huduma kesho na Serikali imeokoa zaidi ya Sh milioni 300 kwa kufanya matengenezo hayo hapa nchini.Sambamba na hilo,...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live