Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGASSA KINARA WA MABAO LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Licha ya Yanga kutolewa mapema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini mshambuliaji wake Mrisho Ngassa ndiye anayeongoza kwa upachikaji mabao mpaka sasa.Michuano ya Ligi ya Mabingwa ipo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPELEKWA NJE KUJIFUNGWA KUTENGENEZA MATANGAZO

Kampuni inayojishughulisha na utengenezaji  wa matangazo ya  Drive Dentsu imepanga kuendeleza wataalamu katika eneo hilo nje ya nchi kuwezesha kupata uzoefu zaidi. Akizungumza na waandishi wa habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITENGO CHAUNDWA TAKUKURU KUKABILI 'WALAFI'

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya kukabili watu wenye madaraka serikalini wanaojilimbikizia mali isivyo halali. Alisema vigogo watakaobainika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SABA MBARONI KWA TUHUMA ZA KUPORA NA KUUA WANAWAKE

Watu saba wamekamatwa Jijini Arusha  kwa tuhuma za kuhusika kwenye mauaji ya unyang’anyi wa kutumia silaha kwa wanawake.Wanadaiwa pia kusababisha   kifo cha mtoto, Christen  Nickos mwenye umri wa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATAJIRI WAJIMEGEA HIFADHI ZA MISITU

Baadhi ya matajiri wanadaiwa kujimegea maeneo ya hifadhi mbalimbali, ikiwemo maeneo ya hifadhi ya Mikoko jijini Dar es Salaam kwa kutumia ramani bandia. Misitu mingine inayodaiwa kuvamiwa kwa mtindo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO - AGOSTI 27

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YAHOFU TAARIFA POTOFU ZA EBOLA KUKIMBIZA WATALII

Wizara ya Maliasili na Utalii imetaka ufanyike utafiti wa kina  ukiambatana na utoaji taarifa sahihi kuhusu ugonjwa wa ebola  kuepuka kupotosha na kusababisha watalii kuhofu kuingia nchini. Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALARIA YAUA MHAMIAJI HARAMU WA ETHIOPIA

Mmoja wa raia wa Ethiopia waliokamatwa kwenye msitu wilayani Bagamoyo wakituhumiwa kuwa wahamiaji haramu na kulazwa hospitalini kutokana na matatizo ya afya, amefariki akipatiwa matibabu. Dawita Alalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'HAKUNA MJUMBE BUNGE MAALUMU ANAYEDAI POSHO'

Ofisi ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AELEZA MKE WA KIGOGO TANESCO ALIVYOPATA ZABUNI

Kaimu Meneja Mwandamizi wa Ununuzi wa Shirika la Umeme (Tanesco) Makao makuu, Atanaz Kalikamwe ameieleza mahakama jinsi mke wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa shirika hilo, William Mhando...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE KUKUTANA NA WAJUMBE WA UKAWA

Vyama vyote vya siasa nchini vikiwemo vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vitakutana na Rais Jakaya Kikwete kabla ya mwisho wa wiki hii, kujadiliana na kushauriana juu ya maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAPA AJITOSA VITA DHIDI YA VIONGOZI WALAFI

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuunga mkono mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi. Akizungumza jana wakati akifungua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADA SEKONDARI SASA KUFUTWA, JK AAHIDI ELIMU BURE

Serikali inajipanga kufuta ada za sekondari, ili elimu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, itolewe bure.  Rais Jakaya Kikwete, alisema hayo juzi katika mkutano wake na wanajumuiya ya Chuo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YARIDHISHWA NA MRADI WA DART

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia ameridhishwa na tathmini ya Mkutano wa Mashauriano wa awamu ya kwanza wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWEKEZAJI AAGIZWA KUJENGA MTAMBO WA KUZALISHA UMEME

Serikali imetaka mwekezaji katika Mgodi wa Chuma wa Liganga na wa Makaa ya Mawe Mchuchuma, Tanzania China International Mineral Resources Limited (TCIMRL), kuanzisha mtambo wa kuzalisha umeme kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJIJI VITANO KULIPWA FIDIA MILIONI 287/- ZA UHARIBIFU WA WANYAMA

Serikali imetenga jumla ya Sh milioni 287 kuwalipa fidia wananchi wa vijiji 5 karibu na hifadhi ya wanyama Serengeti upande wa Wilaya ya Tarime mkoani Mara.Fidia hiyo inatokana na uharibifu uliofanywa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAPOTEZA SHILINGI TRILIONI MOJA KILA MWAKA

Tanzania imekuwa ikipoteza tani 18 za dhahabu kila mwaka, zenye thamani ya zaidi ya Sh trilioni moja, kutokana na ujanja wa wawekezaji katika uchimbaji wa madini.Imeelezwa kuwa watu hao huenda kinyume...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - AGOSTI 28

         

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWANDA CHA DANGOTE KUANZA UZALISHAJI SARUJI MWAKANI

Kiwanda cha saruji cha Kampuni ya Dangote, kinachojengwa  mkoani Mtwara kinatarajia kukamilika ujenzi wake na kuanza uzalishaji wa saruji mwishoni mwa mwaka 2015, ambapo mwekezaji wake, raia wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMA YA KESI YA LUKAZA FEDHA ZA EPA OKTOBA 8

Hatima ya washitakiwa wawili wa kesi ya wizi wa Sh bilioni sita za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), itajulikana Oktoba 8 mwaka huu wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live