Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4529 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAIDIZI ALIYECHOMWA MWILINI AELEZEA MADHILA YA MWAJIRI WAKE

Msichana Yusta Kashinde (20) aliyejeruhiwa kwa kuchomwa na pasi na kung'atwa sehemu za mwili na mwajiri wake Amina Maige (42), ametoa ushahidi wake mahakamani na kueleza kuwa mshitakiwa alimpiga na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO MLEMAVU ATEKETEA KWENYE MOTO

Mtoto Rebecca James ambaye ni mlemavu wa miguu na aliyekuwa haongei, ameteketea  hadi kufa baada ya nyumba yao kuwaka moto. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema moto huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA SHIVJI AITWA KUSAIDIA BUNGE MAALUMU

Bunge Maalumu la Katiba, limemwalika Mhadhiri mashuhuri wa masuala ya Katiba, Profesa Issa Shivji, kuwasaidia aina ya Muungano na namna mambo yake yatakavyoingizwa kwenye Katiba.Pia Bunge hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA YATUNGWA KUDHIBITI ULAFI WA VIONGOZI

Mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma, kutenganisha viongozi, mali na biashara zao, ili kuzuia ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma unaoendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIILI YA MAREHEMU 13 WA AJALI YA MABASI TABORA YATAMBULIWA

Maiti za watu 13 kati ya 16 waliokufa katika ajali ya mabasi yaliyogongana juzi mkoani Tabora, zimetambuliwa na ndugu zao. Ajali hiyo ilitokea juzi   saa 8 mchana katika kijiji cha Mlogolo wilaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHINA WA 'SAMAKI WA MAGUFULI' WAACHIWA HURU

Baada ya kusota rumande kwa miaka mitano hatimaye raia wawili wa China waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuvua samaki katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania bila kibali wameachiwa huru katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU SABA WATIWA MBARONI KWA MAUAJI YA ALBINO

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limewakamata watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha mlemavu wa ngozi, Munghu Mugata (40) aliyeuawa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwake usiku wa Mei 12 mwaka huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID WAFANYA KWELI MBELE YA RAIS KIKWETE DAR

Magwiji wa Real Madrid wamethibitisha kuwa timu yao ndio miamba ya soka duniani, baada ya kuishinda timu ya Tanzania XI kwa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Mbele ya Rais Jakaya Kikwete,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDA, WAMILIKI WA DALADALA WAUNGANISHA NGUVU DART

Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) na  wamiliki wa daladala mkoa wa Dar es Salaam wameunganisha nguvu zao kwa pamoja kwa lengo la kuendesha mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART).Uamuzi huo ulifikiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAZI WA MAKONGO JUU ATUHUMIWA KULAWITI

Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Msose Michael (35) mkazi wa Makongo Juu Jijini Dar e Salaam kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili ambao aliwachukua kwa wazazi wao kwa ajili ya kazi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASUALA YA KADHI, URAIA PACHA YAPATIWA UFUMBUZI

Kamati ndogo ya Uongozi ya Bunge Maalumu la Katiba iliyoundwa na Mwenyekiti Samuel Sitta, kupatia ufumbuzi masuala manne ambayo kamati nyingi zimeshindwa kufikia muafaka, imeyapatia ufumbuzi mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WAMIMINIKA KITUO MAALUMU CHA ALBINO

Watoto wenye ulemavu  wa ngozi  katika kituo maalumu cha kulea  watoto hao Buhangija Manispaa ya Shinyanga, wamezidi kuongezeka kituoni hapo  kutokana na wimbi la mauaji ya albino  kuibuka tena. Hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI - AGOSTI 24

       

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIJI, WAFANYABIASHARA WAZIKA TOFAUTI ZAO MWANZA

Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza umesema kuwa umeumaliza mgomo wa takribani siku tatu ambao umekuwa ukifanywa na wafanyabiashara wa kati jijini hapa. Akizungumza juzi, Mkurugenzi wa jiji Hassan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YAMWAGA MSAADA WA SIMU KWA ALBINO

Jeshi  la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Kampuni ya Sapna Electronic, imewapatia  simu 20 watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) waishio jijini humo, kwa ajili kuongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO ZAHANATI YENYE MGANGA MMOJA TU KWA MIAKA SABA

Zahanati ya kijiji cha Nafuba, kilichopo katika kisiwa ndani ya Ziwa Victoria wilayani Bunda mkoani Mara, ina mganga mmoja tu ambaye amekuwa akilazimika kuifunga anapopata dharura na kusababisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFDA YAKAMATA 'OFISA WAKE' BANDIA

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na jeshi la polisi imemtia mbaroni mtu aliyejifanya ni ofisa mamlaka hiyo na kutumia mwanya huo kujihusisha na vitendo vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTA ADAI KULIVUNJA BUNGE KWA SASA NI HASARA

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema Katiba ya sasa yenye miaka 50 imewezesha kutungwa kwa sheria  na kanuni zinazoleta maumivu kwa wananchi na kusema lengo la kutungwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAUMINI WAMBURUZA KORTINI ASKOFU WAO

Askofu wa Kanisa  la EAGT Kanda ya Magharibi, Raphael  Machimu  amefikishwa mahakamani na waumini wa kanisa hilo. Uamuzi huo unatokana na kupinga kufukuzwa kwa Mchungaji wao  David Mabushi, wakisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WAJENGA MAJUMBA YA KISASA KUPITIA BODABODA

Jiulize unaweza kufanya nini na Sh 2,000 tu unayoikamata kwa siku? Kwa wengi, wanaweza kukiona kiasi hicho cha fedha kuwa ni kidogo mno, lakini si ukweli.Na katika kuthibitisha hilo, kundi la vijana...

View Article
Browsing all 4529 articles
Browse latest View live