Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4529 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBINGA YAPUNGUZA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imefanikiwa kupunguza vifo vya wajawazito kutoka  79 kati ya 100,000 mwaka 2010 hadi 65 mwaka 2013 hatua iliyotokana na kutekeleza mkakati wake wa kupunguza vifo vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO ALHAMISI - AGOSTI 14

       

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YAELEZEA MASHARTI YA DAFTARI LA WAPIGAKURA

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.Ufafanuzi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKTARI ATIWA MBARONI KWA MADAI YA KUUA MGONJWA

Polisi mkoani Singida inamshikilia mtu anayedaiwa kuwa daktari ‘feki’ kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mgonjwa, mkazi wa kijiji cha Iyumbu, Wilaya ya Ikungi mkoani hapa.Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AFIKIRIA KUYAONDOA MALORI YOTE DAR

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema anafikiria namna ya kuondoa malori ya mizigo katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza tatizo la foleni na kuzuia uharibifu wa barabara.Magufuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA KUMLAWITI MTOTO WA MKEWE

Mkazi wa eneo la Majengo Mjini Manyoni, Juma Saidi (32) anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumlawiti mtoto wa mkewe. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14, anasoma Kidato cha Kwanza katika  shule moja ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME AUAWA KWA KUCHOMWA NA MKUKI KIFUANI

Mkazi wa Kijiji cha Bubutole Mbuyuni, Dogani Lupondije (48) ameuawa kwa kuchomwa mkuki kifuani huku watu wengine saba wakijeruhiwa baada ya kuzuka mapigano kijijini hapo.Mapigano hayo yalizuka baina ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTA AWAPUUZA UKAWA, ADAI WAJUMBE WALIOPO WANATOSHA

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepuuza maoni ya viongozi wa wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutaka Bunge hilo lisitishwe.Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'MGONJWA WA EBOLA' ASABABISHA TAFRANI SHINYANGA

Wakazi wa Manispaa ya Shinyanga, kwa siku mbili mfululizo walikumbwa na kiwewe, baada ya kuenea uvumi kwamba kuna mgonjwa wa mwenye homa hatari ya ebola, aliyefikishwa katika Hospitali ya Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPANDISHWA KORTINI KWA KUINGIZA MAGAIDI NCHINI

Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, wanakabiliwa na mashitaka ya kuingiza wageni nchini, ili washiriki katika vitendo vya kigaidi.Jana kiongozi mwandamizi wa Jumuiya  hiyo, Mselem Ali Mselem,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAKATAA KATIBA MPYA ISIWABANE

Baadhi ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, wamependekeza kuondoa kwenye rasimu ya Katiba mpya, kipengele kinachotaka wananchi wapewe uwezo kisheria, kuwaondoa wabunge wao wasioweza kutatua kero za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 13 WAFA BAADA YA MABASI KUGONGANA USO KWA USO TABORA

Mabasi mawili yamegongana uso kwa uso wilayani Sikonge mkoani Tabora na kuua abiria 13, wakiwemo madereva wa mabasi hayo na kujeruhi wengine 73.           Moja ya mabasi hayo, lilikuwa likitokea mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI KITUO CHA VIWANDA, BIASHARA KURASINI KUANZA

Ujenzi wa mradi wa kituo kikubwa cha viwanda na biashara katika eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam unatarajiwa kuanza hivi karibuni. Matarajio hayo yanatokana na serikali kutenga Sh bilioni 53...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YABANA MAWAZIRI BUNGE LA KATIBA

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimewabana mawaziri na wabunge wake wasiohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.Moja ya hatua iliyochukuliwa na chama hicho tawala ni kupunguza idadi yao   kwenye ziara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAS YAOMBA ULINZI ZAIDI KWA MAALBINO

Katibu Mkuu wa Chama cha Maalbino (TAS), Zakia  Nsemo ameiomba Serikali iongeze ulinzi kwa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na maisha yao kuwa hatarini.Nsemo aliyasema hayo wakati akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPIGA VITA MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU

Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando amesema pamoja na utafiti wa chanjo ya Ukimwi kuwa katika hatua ya tatu, Serikali bado inajizatiti katika kuhakikisha maambukizi mapya yanapungua. Mmbando...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIU CHATANGAZA UDHAMINI KWA WANAFUNZI 1,800

Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kimetangaza kutoa udhamini kwa wanafunzi 1,800 watakaojiunga kuanzia mwaka huu wa masomo kwa kuwalipia nusu ya ada. Mpango huo wa udhamini ambao umetajwa kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RITA YABAINI UDANGANYIFU VYETI VYA KUZALIWA

Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umebaini udanganyifu uliofanywa na walimu wa shule za msingi na wazazi kughushi taarifa na kuongeza bei wakati wa kusajili na kuwapatia wanafunzi vyeti vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUNGWA WADAIWA KUNYIMWA HAKI ZAO

Wafungwa wengi hawapewi haki zao za msingi miongoni mwake, ikiwa ni kukaa muda mrefu magerezani na mahabusu bila kuonana na ndugu zao. Aidha Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetaja polisi kuwa...

View Article
Browsing all 4529 articles
Browse latest View live