Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATATU - AGOSTI 11

   

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMANNE - AGOSTI 12

     

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM YATOA SHILINGI MILIONI 40 KWA USALAMA BARABARANI

Kampuni ya Mawasiliano  ya Vodacom Tanzania, imetoa msaada wa Sh milioni 40 kwa Serikali kupitia Baraza la Taifa la  Usalama Barabarani na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani.Hii ni kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUNGUSUNGU WADAIWA KUUA WANAKIJIJI WAWILI

Watu wawili wakazi wa Kata ya Ipande – Itigi, wilayani hapa, mkoani Singida wamekufa papo hapo baada ya kupigwa na kisha kuchomwa moto na watu waliojitambulisha kuwa ni sungusungu.Mwenyekiti wa kijiji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA MAGAVANA WA BENKI KUKUTANA

Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa 30 wa mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki (BOG) utakaofanyikia jijini Dar es Salaam, mwezi huu.Kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyotolewa jana jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COMORO YAOMBA WALIMU KUTOKA ZANZIBAR

Serikali ya Comoro imeiomba Zanzibar kuwapatia walimu watakaofundisha masomo yakiswahili katika shule na vyuo nchini humo.Hayo yalisemwa na Balozi wa Comoro nchini, Dk Ahmad Badrual-Ahmad, Mazizini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMATANO - AGOSTI 13

     

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

URAIA PACHA WAPASUA VICHWA VYA WAJUMBE

Suala la uraia wa nchi mbili, linaonekana kupasua vichwa vya wanakamati hasa wanaotoka Zanzibar, kutokana na historia ya nchi hiyo.Kutokana na unyeti wa suala hilo imeelezwa na Katibu wa Bunge Maalumu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAMICO YATOA SHILINGI MILIONI 800 KWA MAENEO YA MGODI BUHEMBA

Serikali kupitia Shirika  la  Madini la Taifa (Stamico) limetoa  takribani Sh milioni 800 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, nyumba ya mwalimu na kituo cha afya katika eneo la mgodi wa Buhemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI 'SHEHE BWANGA' AFARIKI BAADA YA KUUGUA GHAFLA KIKAONI

Diwani wa Kata ya Mzingani (CCM), Fadhili Bwanga (60) maarufu kwa jina la ‘Shehe Bwanga’ amekufa akipatiwa matibabu ya awali katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga ya Bombo (pichani) baada ya kuugua ghafla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE BUNGE LA KATIBA APIGA KURA AKIWA KITANDANI HOSPITALINI

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi 201, Thomas Mgoli (pichani kushoto), ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amelazimika kupiga kura hospitalini, kushiriki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUONGOZA KWA WATAALAMU WA GESI AFRIKA

Utekelezaji wa ahadi ya Rais Jakaya Kikwete, ya kumwachia mrithi wake mazingira ya kuongoza nchi tajiri, umeanza kutoa mwanga, ambapo Tanzania sasa inajiandaa kuongoza Afrika kwa kuwa na wataalamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA WATAKA CAG KUKAGUA MATUMIZI BUNGE MAALUMU LA KATIBA

Wajumbe wa Bunge Maalamu la Katiba, kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu kwenye matumizi ya fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI NDIZO HOSPITALI ZITAKAZOTIBU WAATHIRIKA WA EBOLA

Pamoja na kuwa mpaka sasa hakuna mgonjwa mwenye virusi vya homa hatari ya ebola, wala anayehisiwa kuwa na ugonjwa huo nchini,  Serikali imeshajiandaa kukabiliana na ugonjwa huo, ambao umeshaua zaidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNILEVER TANZANIA WAZALISHA AJIRA ELFU SABA

Kampuni ya Unilever Tanzania Limited imesema kutokana na Tanzania kuwa soko kubwa la bidhaa zao wametoa ajira kwa watu 7,000 kwa kuwekeza zaidi ya dola za Marekani milioni 70 (Sh bilioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITUO VYA USHAURI KWA WATOTO VYATENGEWA FEDHA

Serikali imetenga fedha kwa ajili ya vituo vyote vinavyotoa ushauri na kurekebisha watoto walio chini ya umri wa miaka 18 vilivyo chini ya Idara ya Ustawi wa jamii nchini.Msemaji wa Wizara ya Afya na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGONJWA YA AKILI SASA TISHIO KWA VIJANA

Asilimia 61 ya wagonjwa wa akili katika Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza inasadikiwa kuwa ni vijana, hali ambayo imeelezwa inachangia ongezeko la umasikini katika jamii.Mratibu wa Magonjwa ya Akili wa...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live