Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Sehemu ya malori yakiwa kwenye foleni ya zamu ya kupakia mizigo katika Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo eneo la Obajana, Jimbo la Kogi, kilomita 400 Kaskazini Mashariki mwa jiji la Lagos,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 12

Waombolezaji wakiwa wamebeba moja kati ya miili ya wazazi wawili waliouawa juzi kwa shoka na mtoto wao tayari kwa mazishi katika kijiji cha Masama-Roo, Machame Mashariki, wilayani Hai katika mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBUKU YAZINDUA BIDHAA MPYA

Kampuni ya Dar Brew maarufu zaidi kama Kibuku, imezindua rasmi bia mpya ya asili ya ‘Kibuku Super’, iliyowekwa katika chupa maalumu, ambayo mteja anaweza kuondoka nayo.Akizungumza na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTEKELEZAJI MATOKEO MAKUBWA TPA WAENDELEA VIZURI TPAI

Utekelezaji wa mkakati wa Matokeo Makubwa Sasa katika Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), umeelezwa kwenda vizuri.Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na TPA ya kati ya Julai 2013 na Machi 2014 kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXIM BANK YATOA MAGODORO 60 HOSPITALI YA MWANANYAMALA

Benki ya Exim ya Tanzania imeadhimisha Sikukuu ya Mama Duniani kwa kuchangia magodoro 60 katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mwananyamala  jijini Dar es Salaam. Imefanya hivyo ili kutoa heshima kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISINGI YA UTAWALA BORA YAENDELEA KUWEKWA

Serikali ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyia kazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini, kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti ya Hali ya Utawala Bora iliyoandaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI YA WIZARA YA KILIMO NA USHIRIKA YAPITA

Pamoja na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.Maboresho hayo ni pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MREMA AIOMBEA HERI NDOA YA CHADEMA, NCCR NA CUF

Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba   ni ndoa ambayo   kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA TIBAIJUKA ATAJA VIKWAZO VYA UPANGAJI MIJI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema  zoezi  la upangaji miji, haliwezi kufanikiwa, iwapo wanaohusika hukimbilia mahakamani huku  kesi zikichukua muda mrefu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANUFAA YA MWEKEZAJI KIWANDA CHA SARUJI MTWARA HAYA HAPA

Rais Jakaya Kikwete amejionea manufaa wanayopata wananchi waliozunguka kiwanda kikubwa cha saruji duniani, ikiwemo kujengewa nyumba, kupata huduma za uhakika za umeme, maji na vijana wao kupelekwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNYIKA ATAKA BAJETI YA WIZARA YA MAJI ISISOMWE LEO

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ameshauri bajeti ya Wizara ya Maji isisomwe leo bungeni,  badala yake irudishwe kwenye kamati ya bajeti  waifumue kwa kuiongezea fedha.  Katika mkutano na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA BUNGE LA BAJETI KUENDELEA LEO

Mkutano wa 15 wa Bunge la Bajeti, unaingia wiki ya pili ya vikao vyake, ambavyo wizara zinawasilisha bajeti zake huku leo Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira zikiwasilisha bajeti zake. Bunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI NDIZO SABABU ZA KIFO CHA BALOZI WA MALAWI

Maofisa wa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wenzao wa Serikali ya Malawi, wameendelea na maandalizi msiba wa ghafla wa Balozi wa Malawi nchini, Flossie Chiyaonga.Akizungumza jana na waandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITA DHIDI YA UJANGILI SASA NI KIMATAIFA

Tanzania imesaini mikataba minne na Jumuiya za Kimataifa na wadau wa kuhifadhi mazingira, kwa ajili ya kupambana na ujangili na uhalifu wa wanyamapori katika hifadhi na mbuga za wanyama nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOKO HARAM REVEAL MISSING SCHOOL GIRLS WILL ONLY BE RELEASED IF ISLAMIST...

The schoolgirls kidnapped by Islamic militant group Boko Haram have been paraded on video. The terror group said all of them had been converted to Islam while being held and all were shown wearing...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 17

Rais Jakaya Kikwete na mkewe, Mama Salma wakitoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Flossy Gomile-Chidyaonga kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 16

Baadhi ya wauguzi waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani wakifuatilia kwa makini hotuba ya mgeni rasmi Rais Jakaya Kikwete (hayupo pichani) mjini Arusha jana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu, unaosimamiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), jijini Dar es Salaam jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Wauguzi wa Zanzibar wakiimba wimbo wa Siku ya Wauguzi Duniani wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani yaliyofanyika kwenye Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya Kidongo Chekundu, Zanzibar jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIGO YAJA NA NJIA RAHISI ZAIDI YA KUTUMA NA KUPOKEA PESA

Kampuni ya simu za mikononi ya Tigo Tanzania, imezindua huduma mpya ya kutuma na kupokea fedha kwa njia rahisi na ya ufanisi zaidi kwa wateja wenye simu zenye programu aina ya android na iOS, ambayo ni...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live