MKAGUZI MKUU, TAKUKURU WAITWA SAKATA LA IPTL
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya...
View ArticleArticle 15
Msanii maarufu wa vichekesho na Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steve Mengere 'Steve Nyerere' (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) baada ya kuteuliwa kuwa msimamizi mkuu wa...
View ArticleArticle 14
Rais Jakaya Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, wakati alipomtembelea ofisini kwake Ikulu, mjini Kinshasha jana. Rais Kikwete alikuwa katika ziara ya...
View ArticleArticle 13
Michepuko kweli sio dili!! Daladala lifanyalo safari zake kati ya Kawe na Mbagala Rangi Tatu likiwa limenasa kwenye mtaro eneo la Kinondoni Morocco jana, wakati dereva wa basi hilo alipokuwa kwenye...
View ArticleTOURE STARS AS MAN CITY BEAT PALACE TO CLOSE GAP ON LIVERPOOL
Yaya Toure scored one and made one as Manchester City took full advantage of Liverpool's slip-up against Chelsea and closed the gap on the Reds to three points.City were visibly buoyed by Chelsea's 2-0...
View ArticleMGODI WA BUZWAGI KUFUNGWA NDANI YA MIAKA MIWILI IJAYO
Mgodi wa dhahabu wa Buzwagi uliopo Kahama mkoani Shinyanga, huenda ukafungwa ndani ya miaka miwili ijayo ili kuiepushia hasara kampuni inayochimba dhababu katika eneo hilo, African Barrick Gold.Meneja...
View ArticleHATIMA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA IPO KWA WENYE DHAMANA
Hatima ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu kwa mujibu wa sheria, iko mikononi mwa waziri mwenye dhamana.Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati...
View ArticleTUCTA YALALAMIKIA UTITIRI WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) nchini limependekeza kuwepo kwa mifuko miwili ya hifadhi za jamii ili kupunguza gharama kubwa ya kuiendesha na kwamba gharama hizo ziingizwe kwenye mafao ya...
View ArticleMBUNGE ASHAURI WAZIRI WA KILIMO ATAFUTE KAZI NYINGINE
Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) amesema haiingii akilini kuona Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika kuendelea kuwa madarakani licha ya kushindwa kusimamia maeneo muhimu ya kilimo kama wakulima...
View ArticlePOLISI YAPANGA KUNUNUA MAGARI MAPYA 700
Serikali inatarajia kununua magari mapya 700 kwa ajili ya polisi ambayo yatatumika katika shughuli mbalimbali ikiwemo Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwakani.Hatua hiyo inatokana na Serikali kujipanga...
View ArticleSERIKALI YATOA UFAFANUZI KUHUSU WAKURUGENZI MALIASILI
Serikali imesema Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori, Profesa Jafari Kideghesho, hawajawahi kufukuzwa...
View ArticleRUKSA KUIKEMEA SERIKALI INAPOKOSEA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema ruksa wabunge kukemea Serikali inapokosea lakini wasiikatishe tamaa katika mambo mazuri inayoyafanya badala yake waipe moyo. Kauli hiyo aliitoa wiki hii bungeni...
View ArticleSPIKA APIGA MARUFUKU UKAWA KWENYE BUNGE LA BAJETI
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema ni marufuku kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya shughuli zake ndani ya Bunge la Bajeti.Alisema hayo juzi bungeni baada...
View ArticleSERIKALI YAKERWA NA VITENDO VYA UCHOMAJI MAKANISA
Serikali imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema juzi...
View ArticleWALIMU, WANAFUNZI NA SHULE BORA WAJAZWA MANOTI
Serikali jana ilimwaga mamilioni ya fedha kwa wanafunzi, walimu, shule, halmashauri na mikoa iliyofanya vizuri katika elimu miongoni mwake ikiwa ni kitita cha Sh milioni tatu kilichotolewa kwa shule 60...
View ArticleRUZUKU YA PEMBEJEO KWA VOCHA YAFUTWA
Serikali imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo.Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya...
View ArticleAWAUA WAZAZI WAKE KWA SHOKA NA KUTEKETEZA NYUMBA YAO
Simanzi kubwa imetanda katika Kijiji cha Roo, Kata ya Masama Mashariki wilayani Hai, Kilimanjaro, baada ya kijana mwenye umri wa miaka 32 kuwaua wazazi wake wawili kwa kutumia panga na shoka, kisha...
View ArticleMANCHESTER CITY CROWNED EPL CHAMPIONS
Manchester City beat West Ham 2-0 at the Etihad Stadium to win the Premier League on the final day of the season, despite Liverpool coming from behind to beat Newcastle.City needed a victory to ensure...
View ArticleArticle 15
Mlezi wa Chama cha Wake wa Viongozi, Mama Tunu Pinda akipokea vitabu vyenye thamani ya Shilingi milioni 35 kutoka kwa Meneja Mkuu wa Kituo cha Kuendeleza Vipaji vya Vijana (THT), Mwita Mwaikenda, kwa...
View ArticleArticle 14
Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia watoto mapacha waliokuwa wakisubiri matibabu kwenye Hopsitali ya Ngaliema iliyopo jijini Kinshasa jana. Rais alikwenda hapo kumjulia hali Balozi wa Tanzania nchini DRC,...
View Article