Article 2
Ng’ombe wakipita katikati ya mji jirani na Soko kuu la mjini Tabora hali inayochangia uchafuzi wa mazingira hivi karibuni.
View ArticleKLOPP RULES HIMSEFL OUT OF THE RUNNING FOR MAN UNITED JOB
Borussia Dortmund manager Jurgen Klopp has ruled himself out of the running to become the next Manchester United boss.Klopp is currently the second favourite for the job with the bookmakers but insists...
View ArticleArticle 20
Mkuu wa Idara ya Udhibiti na Tahadhari wa Bank Of Africa (BOA) Tanzania, Mwanahiba Mzee akimpatia chakula, Nelson Mwijage kwa ajili ya mgonjwa wake Gilbert Mutalemwa (aliyelala) katika Hospitali ya ya...
View ArticleArticle 19
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akichangia hoja Bungeni mjini Dodoma jana.
View ArticleArticle 18
Mmomonyoko! Sehemu ya nyumba ya mkazi wa Dar es Salaam ikiwa imebomolewa na mmomonyoko wa udongo katika uliopo eneo la Tabata Relini, huku ikidaiwa bado kuna watu wanaendelea na maisha yao ndani ya...
View ArticleArticle 17
Mkurugenzi wa Chuo cha Utawala wa Umma cha Zanzibar, Arusi Masheko Ally (kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo cha Diplomasia, Kurasini, Dk. Bernard Archiula (kushoto kwake) wakitiliana saini mkataba wa...
View ArticleKESI YA AKINA MRAMBA KUENDELEA TENA LEO
Kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake, itaendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya...
View ArticleASKARI MAJAMBAZI WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 JELA
Mahakama ya Mkoa wa Mbeya imewahukumu watu watano wakiwemo askari wawili wa polisi na magereza kwenda jela miaka 30 kila mmoja kwa kosa la unyangÕanyi wa kutumia silaha.Waliohukumiwa ni aliyekuwa...
View ArticleBABA AUA BINTI YAKE KWA KUPALILIA VIBAYA SHAMBA
Mkazi wa Kijiji cha Ng'ereng'ere Kata ya Nyamaraga wilayani Tarime katika Mkoa wa Mara, Michael Bokoyo (64) anatuhumiwa kumuua binti yake mwenye umri wa miaka 10 kwa mpini wa jembe akimtuhumu...
View ArticleSITTA APONGEZA WAJUMBE KWA KUFIKA BUNGENI KWA WAKATI
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amewapongeza wajumbe wa Bunge kwa kufika kwa wakati katika vikao na kusisitiza kuwa kazi walio nayo ya kutunga Katiba si kazi ya mchezo kwani...
View ArticlePINDA AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA DC CHANG'A
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameongoza viongozi kadhaa na baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuuaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang'a ambaye aliyefariki Jumapili kwenye...
View ArticleUJENZI WA HOTELI ZAIDI HIFADHI YA NGORONGORO SASA BASI
Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali haitaruhusu ujenzi wa hoteli nyingine katika Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro, akisisitiza kuwa zile 50 zilizopo sasa zimetosha."Kwa wale wawekezaji waliokuwa na...
View ArticleHUKUMU YA VIGOGO WA SUMA JKT KUTOLEWA LEO
Hukumu ya vigogo wa Shirika la Uchumi la Jeshi la Kujenga Taifa (Suma JKT) wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka kwa kununua vifaa chakavu vya ujenzi, inatarajia kutolewa leo katika...
View ArticleOLUOCH AOMBA WANANCHI WAULIZWE KUHUSU MUUNGANO
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuchukua hatua ya kuwasilisha muswada katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hati ya dharura ili kuifanyia...
View ArticleKANISA LA FULL GOSPEL LAKUMBWA NA MAFURIKO
Waumini wa Kanisa la Full Gospel la Mjini Ifakara , wilayani Kilombero, katika Mkoa wa Morogoro, baadhi yao waliokolewa na boti la Halmashauri ya wilaya hiyo baada ya jengo lao kukumbwa na mafuriko ya...
View ArticleNYUMBA ZA WENYE KIPATO CHA JUU KUJENGWA MSASANI
Liu Yupeng (kulia) akiongea na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana.Eneo linalotazamana na fukwe za Msasani jijini Dar es Salaam linatarajiwa kujengwa nyumba 98 za kiwango bora zikiwalenga wananchi...
View ArticleRAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RC
Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Paschal Mabiti, akiomboleza vifo vya watu 11 waliopoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea mkoani humo juzi. Katika...
View Article