Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4588

MZINDAKAYA AULIPUA UMOJA WA KATIBA YA WATANZANIA BUNGENI

$
0
0
Mwanasiasa mkongwe nchini,  Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4588

Trending Articles