Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE ADUNDWA NA KUTIMULIWA KWA KUASI KANISA ANALOSALI MUMEWE...

Biblia Takatifu.Bila  yeye mwenyewe  kutarajia,  mke wa  ndoa  amejikuta  akicharazwa bakora na kutimuliwa  nyumbani  na  mumewe baada ya  mama  huyo kuacha kuabudu katika  madhehebu  ya Katoliki...

View Article


HII NDIO PENALTI YA 'KIZEMBE' ZAIDI ILIYOIGHARIMU CHELSEA KWENYE SUPER CUP...

    Hii ndio penalti ya 'kizembe' zaidi katika mechi kubwa iliyopigwa na Romelu Lukaku ambayo iliigharimu timu ya Chelsea ya England na kujikuta ikishuhudia Bayern Munich ya Ujerumani ikibeba Super Cup...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAISLAMU WANASWA WAKIVUNJA NA KUCHOMA MOTO MAKANISA...

Mmoja wa Waislamu hao akivunja msalaba uliokuwa juu kabisa ya kanisa.Video bayana imefichuliwa kutoka Misri ikionesha kuvunjwa kwa kanisa moja la Misri, na sasa kuthibitisha madai kwamba wafuasi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIO UKWELI KUHUSU HALI YA SASA YA MZEE NELSON MANDELA...

Mzee Nelson Mandela.Mzee Nelson Mandela bado yuko hospitalini akiwa mahututi lakini hali yake ikiendelea kuimarika, ofisi ya rais wa Afrika Kusini ilisema jana.Katika taarifa, ofisi ya Rais Jacob Zuma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU - EXTRA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AWEKA NADHIRI YA KUFANYA MAPENZI NA WANAUME LAKI MOJA DUNIANI KOTE...

Ania Lisewska.Mwanamke mmoja wa Poland ameripotiwa kuweka nadhiri ya kusafiri katika kila mji duniani katika uchunguzi usio wa kawaida kulala na wanaume 100,000.Ania Lisewska kutoka mjini Warsaw...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE, WAJUA? KIATU CHAKO SASA CHAWEZA KUKUTAJIA UMRI ULIONAO...

Kuna njia nyingi za kuweza kutambua umri wako. Lakini wataalamu wamegundua njia ya ajabu ambayo hakika huwezi kuamini kwa urahisi. Sasa kiatu chako kinaweza kukupatia umri ulionao kwa sasa. Kivipi?...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZO LA LEO...

******************************************** Ukiona kuku anakula mchele usimfukuze, maana na yeye pia atakuja kuliwa kwa wali!***********************************************

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIXTUS MAPUNDA ATEULIWA KATIBU MKUU MPYA WA UVCCM...

Mkutano wa UVCCM.Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), limemwidhinisha kwa kauli moja aliyekuwa Kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Sixtus Mapunda, kuwa Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa.Kikao hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO ASKARI WA JWTZ ALIVYOUAWA NCHINI DRC...

Askari wa Tanzania wakiwa kazini huko nchini DRC.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeleezea namna mwanajeshi wake, Meja Khatibu Shaaban Mshindo, alivyouawa baada ya kuangukiwa na bomu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU BUSH WA MAREKANI 'AMUUA MZEE MANDELA'...

KUSHOTO: Jim McGrath. KULIA: Gari la wagonjwa lililombeba Mzee Mandela kwenda nyumbani kwake mjini Johannesburg jana.Rais wa 41 wa Marekani, George H.W. Bush alitangaza jana asubuhi kifo cha Rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII JAYDEE, AFANDE SELE NA JB WATAJWA KUJIUNGA CHADEMA...

KUTOKA KUSHOTO: Jacob Stephen 'JB', Judith Wambura 'Jaydee' na Selemani Msindi 'Afande Sele'.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea kuwavuta wasanii kujiunga na chama hicho, ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE MANDELA ATOKA HOSPITALI, MADAKTARI WAHAMIA NYUMBANI KWAKE...

Gari la wagonjwa linaloaminika kumbeba Mzee Mandela (picha ndogo) kuelekea nyumbani kwake.Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, ameruhusiwa kutoka hospitali na sasa yupo katika makazi yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ASIMULIA ALIVYOTEKWA, KUBAKWA NA KUNDI LA WANAUME KWA MIEZI 15...

Amanda Lindhout na Nigel Brennan baada ya kusilimu na kuwa Waislamu.Mhudumu wa kike aliyegeukia uandishi wa habari amefichua mkasa wake mbaya mno wa miezi 15 akiwa ameshikiliwa mateka na magaidi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUBANI WA BRITISH AIRWAYS ADAIWA KUFANYA MAPENZI NA MAMIA YA WATOTO AFRIKA...

JUU: Moja ya nyumba hizo za kulelea watoto. CHINI: Ndani ya nyumba hiyo ya kulelea watoto iliyoko Kenya. KULIA: Simon Wood akiwa amembeba mmoja wa watoto hao.Rubani wa British Airways ametumia nafasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZO LA LEO...

********************************Ukiona unahisi woga kulala peke yako, basi lala na njaa!********************************

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHARIRI NA MWANDISHI WAKE WAKANA KUCHOCHEA MGOMO WA ASKARI...

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.Washitakiwa wawili katika kesi ya kuchapisha makala ya uchochezi iliyokuwa ikihamasisha askari wa majeshi nchini kutotii amri ya wakuu wao, wamekana...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live