Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAOMBA WANAUME WAFUNGWE KIZAZI

Wabunge wametaka kuwepo na udhibiti wa ongezeko la watu nchini kwa  kutaka wanaume wadhitibiwe katika uzazi, kama ilivyo kwa wanawake huku wengine wakitaka serikali kuboresha rasilimali bila kudhibiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUSHWA YATIMUA KAZI 400 MIZANI, MAGUFULI ASEMA HUO NI MWANZO TU

Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ITS ANYONE'S GAME AS AFCON 2015 QUARTERS KICKS OFF

After twenty-four matches, the group stages of the 2015 Africa Cup of Nations have come and gone. Equatorial Guinea have proved charitable hosts. Though the stadiums in Ebebiyin and Mongomo have been...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUDUMA YA MAJI YAREJEA DAR

Baada ya wakazi wa Dar es Salaam na Bagamoyo kukaa bila maji takribani siku nane, hatimaye baadhi ya maeneo yameanza kupata maji baada ya matengenezo yaliyokuwa yanafanyika kukamilika.Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEREVA WA OCD MANYONI AJIUA KWA RISASI

Askari aliyekuwa dereva wa Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) Manyoni mkoani hapa, Aloyce Alibinus amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni. Kamanda wa  Polisi  Mkoa wa Singida, Thobias...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAMKALIA KOONI WAZIRI NYALANDU AACHIE NGAZI

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amebanwa bungeni huku baadhi ya wabunge wakimtaka ajiuzulu, kutokana na kile kilichoelezwa amesababisha Shirika la Hifadhi la Taifa  (TANAPA) na Mamlaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI 300 WADHURIKA MGODINI BULYANHULU

Wafanyakazi zaidi ya 300 wa mgodi wa dhababu wa Bulyanhulu wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, wameachishwa kazi baada ya kupata madhara wakiwa kazini huku Bunge likieleza kwamba baadhi wako katika hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU HOLELA KATIBA MPYA MARUFUKU

Wakati nchi ikijiandaa kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, asasi za kiraia na kijamii nchini zinazotaka kutoa huduma ya elimu ya uraia na ya mpiga kura kuhusu Katiba Inayopendekezwa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJAJI WALIOTAJWA SAKATA LA ESCROW WACHUNGUZWA

Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman amesema Kamati ya Maadili ya Majaji imeanza kushughulikia tuhuma za kinidhamu na kimaadili dhidi ya majaji wawili wa Mahakama Kuu, waliotajwa kupata mgawo katika fedha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

17 CELEBRITIES WHO WERE RAISED BY SINGLE MOTHERS

If you ever hear someone say that children from single-parent homes are at a disadvantage, you can prove them wrong by pointing to these stars — 17 celebrities who were raised by single mothers. 1....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPE WAKUBWA WATUMIKA KUKABILIANA NA UKEKETAJI

Wanawake  wa Kimasai wanaopinga suala la tohara kwa watoto wamegundua njia nyingine ya kukabiliana na ukeketaji kwa kutumia kupe wakubwa.Hayo yalielezwa katika warsha ya kujipanga kupokea mradi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEDHA ZAKWAMISHA KUKAMILIKA MRADI WA DART

Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) unakabiliwa na changamoto ya kifedha katika ujenzi wa miundombinu,  kutokana na ongezeko la mahitaji ya fedha za kuukamilisha.  Bunge lilielezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPINDUPINDU CHAUA WATANO KIGOMA, 170 TAABANI

Mlipuko wa kipindupindu ulioukumba mkoa wa Kigoma, umesababisha vifo vya watu watano, huku wengine zaidi ya 170 wakilazwa hospitalini.Hayo yalithibitishwa mjini hapa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEI YA MAFUTA YAZIDI KUPOROMOKA

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka zaidi kwa bei za bidhaa za mafuta hapa nchini kuanzia leo, kutokana na bei katika soko la dunia kuendelea kuporomoka.Mwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LAMSHAMBULIA DPP KUKWAMISHA JUHUDI ZA TAKUKURU

Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) imetajwa kudhoofisha juhudi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kutokana na ama kuchelewesha au kutokutoa vibali vya kufikisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

17 BIZARRE LAWS FROM AROUND THE WORLD

It’s already hard enough communicating with a concierge, cab driver or server in a country where you don’t speak the language. Imagine having to convince a police officer you’re innocent! Skip that...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

10 FASCINATING TRADITIONS TO HONOR THE DEAD AROUND THE WORLD

Every culture has unique customs to help honor the dead and grieve those who have passed. While many customs and traditions to honor the dead transcend geographic and cultural boundaries, the following...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LAPATA WENYEVITI WAPYA

Bunge  la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepata wenyeviti  wapya wawili wa Bunge watakaosaidia na Spika na Naibu Spika kuongoza vikao vya Bunge ambao ni Mbunge wa Viti Maalumu, Lediana Mng’ong’o...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI WA WASABATO DUNIANI AJA

Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson anatarajiwa kuwasili nchini leo kwa ziara ya kikanisa ya siku nne.Taarifa iliyotolewa na kanisa hilo, jijini Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UANDIKISHAJI KIELEKTRONIKI KUHADILIWA NA BUNGE, SERIKALI

Bunge limeingilia kati mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) chini ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa kuamua  kujadili kile kilichoelezwa kwamba tume imekiuka...

View Article
Browsing all 4500 articles
Browse latest View live