MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI YAIBUKA SAME
Kumezuka mapigano baina ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Jiungeni Lolokai, kata ya Ruvu wilayani Same na tayari wakulima wanne wamejeruhiwa vibaya na silaha za jadi, na mmoja kukimbizwa katika...
View ArticleKKKT WATAKA KATIBA YA WATANZANIA
Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kikristo Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma Mchungaji Samweli Mshana, amewataka wajumbe walio katika mchakato wa Katiba kuhakikisha wanawapatia watanzania...
View ArticleWANANCHI KUFAIDI MAPATO YA MAFUTA
Serikali imeandaa sera ya petroli itakayowezesha asilimia tatu ya mapato yatakayopatikana kutokana na uchimbaji wa rasilimali hiyo kubaki katika halmashauri ya eneo hilo kwa ajili ya maendeleo ya...
View ArticleMAJAMBAZI WABAKA MWALIMU, MWINGINE APORWA MILIONI 20/-
Watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamemteka na kumvamia mwalimu mmoja na kumpora kiasi cha zaidi ya Sh milioni 20 na kisha kumbaka mwalimu mwingine wa kike katika kijiji cha Nassa Ginery wilayani...
View ArticleURAIA PACHA WABEZWA BUNGE MAALUMU LA KATIBA
Suala la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa...
View ArticleVIONGOZI 'MADALALI' WA ARDHI WAPEWA ONYO KALI
Rais Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini, wakiwemo wa Halmashauri kuacha mara moja tabia ya kujigeuza kuwa madalali wa kuuza mapori ya ardhi, bali wazingatie suala la umuhimu...
View ArticleBABU WA MIAKA 90 ATEKETEA KWA MOTO AKIWA USINGIZINI
Mkazi wa Kimara Temboni, Felix Makundi (90) amekufa papo hapo baada ya kuteketea kwa moto wakati akiwa amelala. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema kuwa mzee huyo aliteketea...
View ArticleWATU 10 WAFARIKI MBEYA BAADA YA HIACE YAJIBAMIZA KWENYE FUSO
Watu kumi akiwemo mama na mtoto wake wamekufa papo hapo na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Hiace waliyokuwa wanasafiria kugongana na lori katika mji mdogo wa Mbalizi, Wilaya ya...
View ArticleMAKUBWA YAIBUKA UTAFITI WA NGONO ZA UTOTONI DAR
Sampuli tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono, imebainisha haja ya elimu ya afya ya uzazi kukabili hali ya sasa ya tabia hatarishi...
View ArticleMAJAMBAZI WATANO WAUAWA KWA KUZAMISHWA KWENYE MAJI
Watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya...
View ArticleBINTI MDOGO KUTOKA MTWARA ASHINDA SHILINGI MILIONI 50 SHINDANO LA TMT
Mshiriki kutoka Mtwara, Mwanaafa Mwinzago ameibuka kidedea katika Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.Katika...
View ArticleBREAKING NEWS!!! ZAIDI YA WATU 60 WAFARIKI AJALI YA MABASI MUSOMA
HABARI KAMILI ZILIZOTHIBITISHWA: Abiria 36 wamekufa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili katika eneo la Sabasaba, wilayani Butiama katika mkoa wa Mara .Kamanda wa Polisi mkoani Mara,...
View ArticleMICROSOFT WAZINDUA SIMU ZA TEKNOLOJIA YA KISASA
Kampuni ya Microsoft imezindua simu tatu aina ya Nokia Lumia zilizounganishwa na mfumo wa kisasa wa teknolojia ya uendeshaji wa simu wa Windows Phone 8.1. Simu hizo ni Nokia Lumia 530, Nokia Lumia 630...
View ArticleKESI YA DOKTA MANYAUNYAU YASHINDWA KUENDELEA
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imeshidwa kuendelea kusikiliza kesi ya kujipatia Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu inayomkabili mganga wa jadi, Dunia Salumu (37) ‘Manyaunyau’ baada ya hakimu...
View ArticleWANAFUNZI 100 WATUMIA CHUMBA KIMOJA CHA DARASA
Wanafunzi 100 katika shule ya msingi ya Elerai ya jijini Arusha wanalazimika kutumia darasa moja kwa ajili ya kujisomea kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa unaoikabili shule hiyo. Hayo yalisemwa...
View ArticleMWENYEKITI WA HALMASHAURI KORTINI KWA KUTISHIA KUMUUA YONO
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe, Antony Mahwata jana alipandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Njombe akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kumuua kwa maneno Mbunge wa zamani...
View ArticleSASA NI JESHI DOGO, LA KISASA NA MASLAHI BORA ZAIDI
Serikali iko katika mkakati madhubuti wa kuliboresha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ili kuwa na jeshi dogo lenye maslahi bora, silaha za kisasa zinazokwenda na wakati na kuwa na vyombo...
View ArticleWAJUMBE WATAKA MSAJILI AWEZESHWE KUFUTA VYAMA KOROFI
Baadhi ya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba zimependekeza Msajili wa Vyama vya Siasa nchini apewe nguvu na Katiba awe na mamlaka ya kufuta chama chochote cha siasa kinachokiuka masharti ya kusajiliwa,...
View Article