Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4550 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARTINO QUITS AS BARCELONA MANAGER

Gerardo Martino stepped down as Barcelona coach after they missed out on the Liga title in a 1-1 draw with champions Atletico Madrid.Martino had been widely expected to leave, win or lose in Saturday...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL END DROUGHT WITH COMEBACK WIN OVER HULL CITY

Arsenal ended their nine-year run without a trophy as they beat Hull City 3-2 after extra time to claim the FA Cup at Wembley Stadium.Arsene Wenger’s last bit of silverware came back in 2005 when they...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu na mkewe, Bella wakiweka shada la maua juu ya kaburi la mtoto wao, Private Brian, aliyezikwa jana kwenye makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

Mwili wa mwigizaji na mwongozaji filamu mashuhuri hapa nchini, Adam Philip Kuambiana ukibebwa kutolewa kwenye Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge tayari kwa kupelekwa chumba cha maiti cha Hospitali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 13

Rais Jakaya Kikwete na mkewe, Mama Salma wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la Private Brian Salva Rweyemamu katika makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam jana. Private Brian ambaye ni mtoto wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 12

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul 'Diamond' akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kabla ya kuanza onesho lililoandaliwa na Kituo cha televisheni cha MTV Base, kwenye ukumbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAGERA WASHAURIWA KULIMA VIAZI VITAMU KIBIASHARA

Wananchi wa mkoa wa Kagera wameshauriwa kuingia katika kilimo cha biashara kwa kulima zao mbadala la viazi vitamu ili kuongeza kipato na chakula kutokana na zao kuu la biashara na chakula la mkoa huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANASAYANSI WAIKUMBUSHA SERIKALI KINGA DHIDI YA MALARIA

Wanasayansi nchini wameshauri serikali kuwekeza zaidi katika kinga kukabiliana na ugonjwa wa malaria nchini na sio kuwekeza fedha nyingi katika dawa. Wameeleza kuwa nchi nyingi duniani wameweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA ATAKA WAKAZI DAR KUWA WASAFI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik amewataka wakazi wa mkoa wake kuwajibika kusafisha mazingira yanayowazunguka na kuachana na tabia ya kuzilaumu Halmashauri za Manispaa. Akizungumza kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMO WA WAFANYAKAZI TAZARA SASA KIZUNGUMKUTI

Mgomo wa wafanyakazi wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), haujafahamika hatma yake kutokana kikao cha bodi kilichotarajiwa kufanyika juzi au jana kushindikana. Mkurugenzi Mkuu wa Tazara,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE ATAKA UFAFANUZI WACHIMBAJI TANZANITE

Mbunge wa  Simanjiro, Christopher ole Sendeka ameitaka Wizara ya Nishati na Madini kupitia waziri wake, Sospeter Muhongo  kutoa ufafanuzi wa kina juu ya kuondolewa kwa wachimbaji wadogo wa madini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU UWT AMTETEA MAMA SALMA KIKWETE

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi amesema si sawa kumshutumu Mke wa Rais Mama Salma Kikwete kuwa alitumia nafasi aliyonayo kama Mwenyekiti wa Shirika lisilo la Kiserikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANACCM WASIKITIKIA VIJEMBE VYA BUNGENI

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wamesema wanasikitishwa na tabia za viongozi wa CCM badala ya kujadili matatizo ya wananchi bungeni wanaanza kutupiana vijembe na wapinzani. Akisoma risala katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI ATAJA CHANGAMOTO ZA NGO KUTEGEMEA WAFADHILI

Idadi ya mashirika yasiyo ya kiserikali imeongezeka kutoka 3,000 mwaka 2001 hadi kufikia 6,427  Machi mwaka huu ambapo kati ya hayo mashirika 254 ni ya kimataifa. Hayo yalisemwa jana na Waziri  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VINASABA VYASAIDIA SERIKALI KUVUNA BILIONI 33.53/- SEKTA YA MAFUTA

Vitendo vya uchakachuaji mafuta vimeweza kudhibitiwa na kuiwezesha serikali kupata mapato ya Sh bilioni 33.53 tangu Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA) ilipochukua hatua ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUKO MAALUMU WAANZISHWA KUBORESHA MAKAZI YA ASKARI

Mfuko maalumu wa kukusanya fedha kwa ajili ya kuboresha makazi ya  watumishi  wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwemo  askari, umeanzishwa ukilenga kuwezesha  kupata nyumba na ofisi zaidi bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOUZA WASICHANA WADOGO KUFANYA UKAHABA CHINA WANASWA

Baada ya kuwepo malalamiko ya wasichana wadogo wa nchini kusafirishwa kwenda China  kutumikishwa katika biashara ya ngono pamoja na dawa za kulevya, sasa serikali imenasa mtandao huo.Waziri wa Mambo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKTARI ASAHAU KITAMBAA TUMBONI MWA MGONJWA TABORA

Mkazi wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mwamini Adamu ametolewa mfuko wa kizazi na kukatwa sehemu ya utumbo baada ya mganga wa idara ya upasuaji katika wilaya hiyo kusahau kitambaa tumboni kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEGE ZA ATC KARIBU KUANZA KUNG'ARA TENA HEWANI

Shirika la Ndege Tanzania (ATC), lipo karibu kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman, kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri Serikali kukamilisha taratibu...

View Article
Browsing all 4550 articles
Browse latest View live