Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4500

Article 3

$
0
0
Wakazi wa eneo la Makunguru, jijini Mbeya wakitazama nyumba iliyoteketea moto na mali zote zilizokuwamo ndani yake kutokana na kile kilichodaiwa kuwa hitilafu ya umeme jana. Haijafahamika mara moja kama kuna majeruhi yeyote ama mtu aliyepoteza maisha kutokana na mkasa huo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4500

Trending Articles