Wanamuziki wa bendi ya Shengen Academy wakishambulia jukwaa kwenye Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni. Hawavumi lakini wamo. Ni jina geni kidogo lakini limesheheni wanamuziki wenye majina makubwa katika medani ya muziki. Bendi hii iko chini ya uongozi wa Rais Liva Hassan Sultan. (Video ya ziro99blog).
↧