Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Wawakilishi wa Tanzania, timu ya soka ya Azam FC imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa timu ya Ferroviario ya Msumbiji muda mfupi uliopita mjini Maputo. Kwa matokeo hayo, Azam imeyaaga mashindano hayo kwa kufungwa jumla ya mabao 2-1. Katika mechi ya kwanza, Azam ilishinda bao 1-0 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. |
↧
AZAM FC YATOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO, YACHAPWA 2-0 MSUMBIJI...
↧