Quantcast
Channel: ziro99blog
Browsing all 4630 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TACAIDS WAFAFANUA DAWA YA KUFUBAZA VIRUSI VYA UKIMWI

Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imethibitisha kwamba dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi  (ARVs) zinapatikana na zenye ubora zaidi tofauti na taarifa za baadhi ya vyombo vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DUNIA YASAIDIA ELIMU KUPITIA BRN

Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia (WB) imeidhinisha Dola za Kimarekani milioni 112 kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kuimarisha sekta ya elimu kupitia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).Kwa mujibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI UJENZI WA RELI YA KATI KUFANYIKA DESEMBA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali ina mpango wa kujenga reli mpya ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kupitia mikoa ya kati na kuelekea Isaka hadi Burundi ambayo ujenzi wake utazinduliwa rasmi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI - JULAI 12

       

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AAMURU KITUO CHA MABASI DODOMA KUHAMISHIWA NJE YA MJI

Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli ameagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kuhamishia kituo kikuu cha mabasi cha Dodoma  nje ya mji, ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKILI WA SERIKALI BADO AENDELEA KUSOTA RUMANDE

Wakili  wa Serikali, Yasinter Rwechungula (44)  Mkazi wa Boko njia panda, anayekabiliwa na kesi ya kupiga na kujeruhi mwili ameendelea kusota rumande kutokana na kutotimiza masharti ya dhamana.Hakimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WATEKETEZA VIBANDA 63 VYA BIASHARA

Vibanda 63 vya wafanyabiashara ndogo nyuma ya stendi ya Jamatini Manispaa ya Dodoma vimeteketea kwa moto na kusababisha uharibifu mkubwa wa mali.Chanzo cha moto huo uliozuka usiku wa kuamkia jana,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNDUKI YA ASKARI WA FFU YATUMIKA KWENYE UJAMBAZI

Tukio la ujambazi ambalo liliua watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi, limechukua sura mpya baada ya silaha waliyokuwa wakitumia majambazi hao kugundulika kuwa ilikuwa ikimilikiwa na askari wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI ZAAGIZWA KUWAPA NHC VIWANJA BURE

Rais Jakaya Kikwete ameziagiza halmashauri zote nchini kutenga maeneo ya ardhi kwa ajili ya kulipatia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) bila gharama ili liweze kutekeleza mradi wake wa ujenzi wa nyumba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP AAHIDI KUWAKAMATA WALIPUAJI MABOMU ARUSHA

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu amesema jeshi hilo lina uhakika wa kuwapata watuhumiwa wa mabomu mkoani Arusha na kwingineko nchini, pamoja na kudhibiti matukio hayo baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AINA MPYA YA MAUAJI YA WASICHANA YAIBUKA LINDI

Wasichana saba wamepoteza maisha wilayani Nachingwea mkoani Lindi baada ya kubakwa na kunyongwa kisha kuwekewa vijiti na chupa kwenye sehemu zao za siri.Wasichana hao wamepoteza maisha kwa nyakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA TATU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAPILI - JULAI 13

         

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI WA MIAKA 10 ABAKWA NA WANAUME KWA ZAMU

Jeshi la polisi mkoani Ruvuma linawatafuta wakazi wawili wa kijiji cha Silo kata ya Linda wilaya ya Nyasa kwa tuhuma za kumbaka  msichana  wa miaka 10 , mwanafunzi  wa darasa la pili katika shule ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WHERE THE WORLD CUP FINAL WILL BE WON AND LOST

As one of the finest World Cups in football history draws to a close we take a look at four key battles that are sure to shape the showpiece final at the Maracana stadium.Sami Khedira v Lionel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERMANY - ARGENTINA MATCHPACK: THE FINAL COUNTDOWN

It might not be the way Brazilians wanted the World Cup to end but Sunday's final between Argentina and Germany will provide a nerve-jangling climax to the best tournament in history - even though the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 21

Wachezaji wa Uholanzi, Dirk Kuyt (kushoto) na Arjen Robben akifurahia jambo baada ya kuvishwa medali kufuatia ushindi wa mabao 3-1 walioupata dhidi ya Brazil na hivyo kushika nafasi ya tatu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 20

Mchezaji wa Brazil, David Luiz akimfariji mwenzake, Oscar mara baada ya kumalizika kwa mechi yao ya kusaka mshindi wa tatu dhidi ya Uholanzi kwenye Uwanja wa Estadio Nacional mjini Brasilia ambapo timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 19

Nahodha wa Uholanzi, Robin van Persie akikumbatiana na kipa wake, Michel Vorm wakati wakitoka uwanjani baada ya kufanikiwa kuivurumusha Brazil mabao 3-0 na kushika nafasi ya tatu katika fainali za...

View Article
Browsing all 4630 articles
Browse latest View live