Quantcast
Channel: ziro99blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4510

TAARIFA ZA HIVI PUNDE AJALI YA BASI LILILODAIWA KUUA 48

$
0
0
Taarifa tulizopata hivi punde kuhusiana na habari za kupinduka kwa basi ambapo ilisemekana abiria 48 walipoteza maisha mapema leo ni kwamba watu wanne tu ndio waliothibitishwa kufariki dunia kutokana na ajali hiyo.
Ajali hiyo ilihusisha basi la kampuni ya Air Bus lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Tabora ambapo lilipofika eneo la Berega, Gairo ndipo likapinduka.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4510

Trending Articles